Professier
Member
- May 5, 2023
- 78
- 105
IT anasahau hadi watu wa fani yake. Halaf sijui kwanini anaishiaga tar 19/3 hawa wa tar 20/3 na kuendelea wana kigundu gani..?
Sasaivi wanaitwa kwenye usaili subiria nyomi lake mwezi wa saba huko.Watendaji wa kijiji sasa hivi wamepumzishwa kidogo
Na wapishi , madereva na masekretariutumishi limekua litaasisi la malecture kila siku matangazo ya malecture tu.wasengenyaji kweli
Majamaa yamegoma kutoa Placement Kwa Electrical EngineersHongereni kwa mliolamba asali leo,Electrical Engineers tuendelee kukaza moyo
machoko kweli yaanNa wapishi , madereva na masekretari
huyu raisi amechangia kiasi kikubwa sana katika hili.sijui aliwaza nini kuweka mifumo miwili ya kuajiri maana hapo wewe unalalamika wenzio nyuma ya pazia wanaingia kiulaini tena taasisi nzitonzito sie tunasubiri mamikeka ya tutorial assistantDaaa hizi pdf za PSRS izi zinakatisha tamaa💔,kuna kutoboa kweli uku? Shida iko wapi kutoa vpdf vya kuunga unga? Maelfu yanayopiga interview hawatuonei huruma jmn😭,Tumewakosea nn
kwanini wasitumie mofumo na technologia ni kitu cha siku mbili tuSahihi utumishi ina nguvu kazi ndogo ni wakati wao sasa na wao wapate kibali cha kuajiri ili kuongeza nguvu kazi ili kuboresha ufanisi wa kaz ziende kwa haraka
Mtu anaombewa nafasi anaambiwa hakuna anajibu usiniambie ivo nafasi hakuna,aah sawa mkuu basi ngoja tuangalie mkuu mara uyo mtu anapigiwa simu anambiwa njoo j3 na vyeti vyako uripoti😭😭,tena izo taasis zinazoajir wenyewe ndo ovyo kabisa ni mwendo wa 1 call na its order hakuna wa kupinga.huyu raisi amechangia kiasi kikubwa sana katika hili.sijui aliwaza nini kuweka mifumo miwili ya kuajiri maana hapo wewe unalalamika wenzio nyuma ya pazia wanaingia kiulaini tena taasisi nzitonzito sie tunasubiri mamikeka ya tutorial assistant
Alooooh mpk bwana T-pain imekuchoma Leo umetoa ya moyonihuyu raisi amechangia kiasi kikubwa sana katika hili.sijui aliwaza nini kuweka mifumo miwili ya kuajiri maana hapo wewe unalalamika wenzio nyuma ya pazia wanaingia kiulaini tena taasisi nzitonzito sie tunasubiri mamikeka ya tutorial assistant
Watu wana mengi basi tu wngine wanajikaza kisabuni,sindano zinawaingia lknAlooooh mpk bwana T-pain imekuchoma Leo umetoa ya moyoni
Wacha wapambane mkuu life Yao ngumu sana vijijini huko wengine wanagonga mpk bundi wanaaga duniaNaona sahivi ni watendaji wa kijiji kila nikichungulia ajira portal....
Una lipi la kusema mkuu,tupo live?🤣mida yao
mie sina usemi sasa hivi liwalo na liweUna lipi la kusema mkuu,tupo live?🤣
naona pinacoladee upo attention web sasa hivi tayari kushuhudia masecretary waendesha ofisi na madereva wanavyolamba asali 🤣 🤣Una lipi la kusema mkuu,tupo live?🤣
Daaah npo live mkuu,nahis sku nikilamba asali sitakua onlinenaona pinacoladee upo attention web sasa hivi tayari kushuhudia masecretary waendesha ofisi na madereva wanavyolamba asali 🤣 🤣
hawa utumishi mambo yameshakua mengiDaaah npo live mkuu,nahis sku nikilamba asali sitakua online
Daaah kazi kweli kwelihawa utumishi mambo yameshakua mengi