sam mirror 1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2022
- 591
- 1,420
+255262963652 (utumishi dodoma)
Hebu wacheki apo siku za kazi kuanzia saa mbili mwisho saa kumi.
Hebu wacheki apo siku za kazi kuanzia saa mbili mwisho saa kumi.
+255262963652 wacheki apaumeongea kikubwa sana.......balikiwa ......sema sio kalibu na mawasiliano yao changamoto
Hapo hauwez kubadilisha, labda uwasiliane nao ndo waanze kurekebisha wao, otherwise hauwez badilisha academic qualification kutoka juu kurud chiniHabari wana JF. Naomba kuuliza nawezaje kubadilisha fani kwenye account yangu ya PSRS mana nimekosea nikaweka kada nyingine ambayo sina kwenye academic qualification hivyo naomba kazi inakataa na haiwezi kubadilika kuja chini ila inataka kubadilika kama ni kada ya elimu ya juu...na maanisha kama ni dploma hitaki ushushe certificate ila upeleke dgree.....msaada kwaanae jua kubadilisha tafadhali.
Hongera sana. Taasisi gani mkuu?Kiupande wangu bado sijaitwa Kazini kuanza Majukumu Ila Mshahara wa mwezi April nimelipwa.. ikimaanisha Check no yangu ilishakuwa tayari..
Kuhusu suala la kuitwa kazini nadhani after May 1 tutaitwa mzigoni
Si kweli. Itigi hakuna Funza. Huku ni home, nimekuja kusalimia kidogo kisha kesho nirudi hukooooo nikaendelee kusubiri pdf.Mwambie tu jamaa aende akaripoti ITIGI na asisahau buti nzito kuna funza sana
Black Mamba wapo porini sana hukoo. Ila kutoka Itigi hadi Mitundu ni kweli fursa ya Kilimo ipo. Nimeona pdf ilopita kuna mmoja kwenye kada yangu amepangiwa Itigi. Ata enjoy sana kama ataamua kutumia muda wake vizuri. Kama upo humu nitafute nikupe A B CsPia kuna wale nyoka Black mamba wa kutosha na kuna fursa ya kilimo cha alizeti na Asali mkuu
Hongera sana mkuu. Kila la kheri. Halmashauri wanapaponda ila kuna hela, nimejionea mwenyewe.Wandugu
Namshukuru Mungu kwenye pdf ya Jana na Mimi nimo nimepangiwa halmashauri.
Baada ya kufanya kazi private kwa miaka name hatimaye nahamia gavoo.
Msikate tamaa katika wengi wewe ni Mmoja wapo.
Kwa uwezo wake mungu na sio kutoa tuuu na naimani pia tuwe miongoniniimani yetu watacheka tena soon
Bora halmashauri kuliko privateHongera sana mkuu. Kila la kheri. Halmashauri wanapaponda ila kuna hela, nimejionea mwenyewe.
Ndiyo hivyo mkuu.kwa iyo uyo jamaa una maana amefanya oral moja tu ambayo majibu yake bado hayajatoka ila amepangiwa placement Halmashaurini ambako hakufanya oral interview?
Okay, kwa hiyo wakaona wampange kwengine siyo kule alipoomba ?Bwana Mr spider usiogope hio inatokea sana itakuwa alifanya vizuri zaidi oral yake usiogope
, mkuu umenichekesha aisee japo na mimi nipo jirani sana na hiyo halmashauri kwa sasa. Lakini jamaa hajapangwa ItigiMwambie tu jamaa aende akaripoti ITIGI na asisahau buti nzito kuna funza sana
Mitundu nilikuwepo hapo jumamosi iliyopita.Black Mamba wapo porini sana hukoo. Ila kutoka Itigi hadi Mitundu ni kweli fursa ya Kilimo ipo. Nimeona pdf ilopita kuna mmoja kwenye kada yangu amepangiwa Itigi. Ata enjoy sana kama ataamua kutumia muda wake vizuri. Kama upo humu nitafute nikupe A B Cs
Daaah miaka nane private? Kampuni nzuri? ningekuwa mimi nishagombana na maboss kitambo maana private nyingi bila kuwa chawa hamwendi mbele, Hongera sana mkuuWandugu
Namshukuru Mungu kwenye pdf ya Jana na Mimi nimo nimepangiwa halmashauri.
Baada ya kufanya kazi private kwa miaka nane hatimaye nahamia gavoo.
Msikate tamaa katika wengi wewe ni Mmoja wapo.
Kazi ilikuwa ngumu sana kwani kada yangu nilikuwa mwenyewe so napiga kazi hadi siku za sikukuu.Daaah miaka nane private? Kampuni nzuri? ningekuwa mimi nishagombana na maboss kitambo maana private nyingi bila kuwa chawa hamwendi mbele, Hongera sana mkuu
mkuu hongera sana .Kazi ilikuwa ngumu sana kwani kada yangu nilikuwa mwenyewe so napiga kazi hadi siku za sikukuu.
Daah hongera ndani ya miaka nane mimi nishafanya na kampuni 4Kazi ilikuwa ngumu sana kwani kada yangu nilikuwa mwenyewe so napiga kazi hadi siku za sikukuu.