Blender
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 3,441
- 5,309
HiZo nakumba ni Kwa ajili ya fomfoo, Sasa humu wengi ni diploma na kuendeleaWaloitwa polisi....je humu kuna alotoboa?View attachment 2562881
HiZo nakumba ni Kwa ajili ya fomfoo, Sasa humu wengi ni diploma na kuendeleaWaloitwa polisi....je humu kuna alotoboa?View attachment 2562881
Mazaga one alikua vizuri sana kwenye kujenga hoja, sasa hivi anaharibu kabisa.NB: mleta uzi aliuliza kwanini utumishi wanachelewesha placement
Mkuu me mwenyewe ni msaka mrija wa Asali kama mlivo nyie na wengine, tatizo lenu mtu akiwa na mawazo tofauti na yenu anageuka kuwa Adui yenuKwa hiyo SS ivi jina likitoka kwenye placement na tukichunguza kwenye list ya written hayupo, inatulazimu tukubali TU ni database.
Psrs sawa tumeshawaelewa endeleeni na huo wizi wakishamba
Kazi nzima ni taasisi husika wanafanya kwa weledi na ufanisi wa Hali ya juu kumtafuta mtu au watu wanao wahitaji Kwa ajili ya kuleta tija kwenye taasisi zao,Taasisi ndo inapeleka taarifa zako baada ya ukaguzi wa vyeti.
Hiyo ndio identity yake ,alikuwa akijifanya ni miongoni mwetu , lakini spana zilivyozidi akashindwa kujizuiaMazaga one alikua vizuri sana kwenye kujenga hoja, sasa hivi anaharibu kabisa.
Nilishajibu huko juu,kabla kuquote uwe unasoma comments zote sawa???? Tusichoshane
Vipi majina yenu yalionekana kwenye tangazo la kuitwa kazini kutoka database? Brela interview za March 2022?sijarudi mkuu coz sio wao ata walio nitafuta...kifupi ilikuwa hivi tulifanyaga interview ya brela..wakachukuwa watu walio itwa lakin baada ya muda tukapigiwa mm najamaa yangu flani ivi..na wcf wakadai wametoa majina yetu kwenye data base ya utumishi hivyo tufike ofisin na vyeti vyetu orginal tukaenda navyo wakachukua kopi pale.wakadai watatupigia cm...tukasubili weeee mwisho tukawatafuta wakadai mmoja wenu hana pass yakingereza mwingine kiswahili duh tukaona apa ni ndoige kwani walivyo fika utumishi si walicheki kila kitu.
Mimi naomba niseme upande wa mhasibu daraja la 2 yeye ni waliofanya interview za mda na lga na hata mtu akiserch atamkuta na ameajiriwa kwenye halmashaur yetu kama atapenda kuja basi nina imani j3 ataripot na ni wale waliofanya Nov 23 zile za cpaMkuu hadi nakuja kuandika hapa najua kila kitu kuhusu watu kuitwa kikanda, kwahiyo kuhusu Ku search jina la muhusika nilifanya hivo kote na sikuliona
Kitu kingine, me pia nilikuwa ni mkandwaji japokuwa nilifanikiwa kufika Oral ila najijua kuwa sikufanya vizuri, kwahiyo sitoshangaa kama nitakosa hiyo Ajira
Sipo hapa kutetea secretariat ya Ajira, bali nilikuwa najaribu kuweka mambo sawa, maana ata Mie nilivoona post ya Kada yangu namie nika react kama ilivo kwa watu wengine
ila ili kujiridhisha ndomana nikaamua Ku search hilo Jina, ndomana pale juu nikashauri yesamrich ajaribu Ku search nayeye, me sikujua kama kashacheki
Sioni mantiki ya kuanza kubishana kama watoto inashangaza sana, Kwa kutumia busara tu ilikuwa ni easy tu, kujibiwa kuwa nimeshacheki na Jina lilikuwepo sidhani kama ingemcost chochote
Kuna maisha baada ya hizo Ajira za utumishi, kama ni kazi wote tunzitaka ila tunajua fika kuwa hatuwezi kupata wote, tujifunze kukubali na kuridhika, tujiandae kisaikolojia mapema maana wengine wanahisi wanastahili kupata hizo kazi kuliko wengine
Piga retweet hapa mpaka imfikie acheni kulia machozi ndani ya maji
Shukrani mkuu Kwa kutumia muda wako kunijuza hiki kitu, nimekupata uzuriMimi naomba niseme upande wa mhasibu daraja la 2 yeye ni waliofanya interview za mda na lga na hata mtu akiserch atamkuta na ameajiriwa kwenye halmashaur yetu kama atapenda kuja basi nina imani j3 ataripot na ni wale waliofanya Nov 23 zile za cpa
ahhahahah mkaguzi hatafuti kosa yeye anaangalia specification inasemaje na ww umetekelezaje ukiwa kinyume na specification we jiandae kutiwa kamban na auditor wa aina yoyote yule 😃😃😃😃😃😃Sema weakness mojawapo ya waaguzi ni kutafuta sana makosa.
Yaani mkaguzi asipokukuta na kosa anaona hajafanya kazi.
Na pia siwezi sema kwamba mda na lga zile kazi zimeanza kutoka may b huyu mhasibu aliwahi kufanya interview zingine za nyuma pia akawepo database ila leo tu nilikuwa na afisa utumishi nikamwambia umeona tumeletewa watumishi wengi mno kama 8 hivi alkiwemo na mchumi akasema ndio tuliomba hapa juzi kibali mbadala baada ya watumishi wengine kuacha kazi na wengine kufariki na kuhama pia ....sasa uhakika wa kwamba ni mda na lga au ni database sina ila huyo mhasibu nimemuangalia ni alifanya interview 23 Nov mda na lga ndio tumeletewaMimi naomba niseme upande wa mhasibu daraja la 2 yeye ni waliofanya interview za mda na lga na hata mtu akiserch atamkuta na ameajiriwa kwenye halmashaur yetu kama atapenda kuja basi nina imani j3 ataripot na ni wale waliofanya Nov 23 zile za cpa
Kwa kizaramo tunasema AJIRA YA KUDUMU NA MALIPO UZEENIPermanent and pensionable contract
Sasa lengo la kukagua ni nini mkuu?Sema weakness mojawapo ya waaguzi ni kutafuta sana makosa.
Yaani mkaguzi asipokukuta na kosa anaona hajafanya kazi.
Ilikuwa mwaka gani hiyo?? Na je una Ushahidi wa SMS au chochote kile kuonyesha ukisemacho ndicho???sijarudi mkuu coz sio wao ata walio nitafuta...kifupi ilikuwa hivi tulifanyaga interview ya brela..wakachukuwa watu walio itwa lakin baada ya muda tukapigiwa mm najamaa yangu flani ivi..na wcf wakadai wametoa majina yetu kwenye data base ya utumishi hivyo tufike ofisin na vyeti vyetu orginal tukaenda navyo wakachukua kopi pale.wakadai watatupigia cm...tukasubili weeee mwisho tukawatafuta wakadai mmoja wenu hana pass yakingereza mwingine kiswahili duh tukaona apa ni ndoige kwani walivyo fika utumishi si walicheki kila kitu.
mimi nimeona kosa lenu ni kuuliza na hali walishawaambia watawapigia. Watu wengi niliowahi kuwasikia na kesi kama yako wote walitafutiwaga sababu za kuwadisqualify.sijarudi mkuu coz sio wao ata walio nitafuta...kifupi ilikuwa hivi tulifanyaga interview ya brela..wakachukuwa watu walio itwa lakin baada ya muda tukapigiwa mm najamaa yangu flani ivi..na wcf wakadai wametoa majina yetu kwenye data base ya utumishi hivyo tufike ofisin na vyeti vyetu orginal tukaenda navyo wakachukua kopi pale.wakadai watatupigia cm...tukasubili weeee mwisho tukawatafuta wakadai mmoja wenu hana pass yakingereza mwingine kiswahili duh tukaona apa ni ndoige kwani walivyo fika utumishi si walicheki kila kitu.
Hata mimi pia kwenye private orga.. moja iv niliulizaga wakaniundia sababu ikaishia hapo.sijarudi mkuu coz sio wao ata walio nitafuta...kifupi ilikuwa hivi tulifanyaga interview ya brela..wakachukuwa watu walio itwa lakin baada ya muda tukapigiwa mm najamaa yangu flani ivi..na wcf wakadai wametoa majina yetu kwenye data base ya utumishi hivyo tufike ofisin na vyeti vyetu orginal tukaenda navyo wakachukua kopi pale.wakadai watatupigia cm...tukasubili weeee mwisho tukawatafuta wakadai mmoja wenu hana pass yakingereza mwingine kiswahili duh tukaona apa ni ndoige kwani walivyo fika utumishi si walicheki kila kitu.
Arekebishe mwamba wetu anaegemea upande mmoja sana. 😄😄😄Mazaga one alikua vizuri sana kwenye kujenga hoja, sasa hivi anaharibu kabisa.