mtzedi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 5,603
- 5,611
Ulifanya oral lini?Mbn mm kwenye app haijabadilika
Ulifanya oral lini?Mbn mm kwenye app haijabadilika
Kapigine rt wapwa
Well said brooAngalau umsaidia kuleta ushahidi maana watu kwa sasa washajiwekea nadharia kuwa kuna faulu zinachezwa na PSRS. Hata kama zipo ila sio kwa kiwango tunachokifikiria.
Naunga mkono.hakuna haki huko utumishi. waachie taasisi ziendeshe usaili zenyewe. kuna kitu nilishuhudia binafsi kwenye saili moja hivi ila siwezi sema huku. pia mimi nilikuwa naamini wanatenda haki kumbe amna kitu. tokea siku hiyo nishuhudie vile nilichukia sana psrs.
Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
hivi jamii forum haina option ya kumblock mtu husione comments zake??? me huyo jamaa natamani nifanye hivyo mana huwa ana comment negativity tu kwenye huu uzi wa walamba asali.We jamaa acha ujinga.Mbona unakuwa msomi mpuuzi hivi.Humu ndani tupo vijana Wasomi ongea vitu vyenye busara basi.
Kaa vizuri na wenzako wakupe mbinu za kufaulu,sio kukaa kuwalalamikia PSRS ilhali unakaa mitandaoni humu unaanza kuandika Upuuzi ambao haukuongezei Chochote,Baadhi ya Vijana wa Kitanzania Shida sana ikiwemo wewe.
Una ujinga mwingi Mzee.Wanaume hatupo hivyo!!!!!
Jamaa miyeyusho sanahivi jamii forum haina option ya kumblock mtu husione comments zake??? me huyo jamaa natamani nifanye hivyo mana huwa ana comment negativity tu kwenye huu uzi wa walamba asali
kama hiyo option ipo kwa anae jua anielekeze nimblock chap nisiwe naona anachopost hapa
Huwa anateuliwa afisa mmoja kutoka utumishi anaenda halmashaur husika kwenye hizo interview za watendaji na hata za mkataba za halmashaur huwa anakuja na analipwa posho na halmashaur husika ila kuhusu maswali anatumiwa asubuhi na tume ya utumishi kabla ya interview kuanza na kufungua maswali ili ayaprint anakuwepo afisa kutoka ofisi ya usalama yani kwa DSO kiufupi wanajitahidi sana kutenda haki usawa unakuwepo ukifanya vizuri unachukuliwa bila upendeleo na akishatangaza matokeo ndipo anaondoka kurudi dodomaNyingi za Halmashauri za nafasi moja moja ni hizi za Watendaji wa Mtaa/Kijiji.
Za kinondoni ni nyingi na za mkataba wa mwaka 1 na watu wanaotafutwa ni wenye Degree zao. Hizi zinaweza kuendeshwa na PSRS na wala si zile watendaji wa Mtaa/Kijiji.
Kwa hiyo nimalizie kuwa, PSRS hawaendeshi sahili za Watendaji wa Mtaa/Kijiji ambapo matangazo yao mengi yanapostiwa pia kwenye Website yao
Hilo ni kweli kabisa, kuna interview nilishawah kuhudhuria ilikua inandeshwa na tume ya mahakama, haikutangazwa kabisa psrs but siku ya oral alikuepo mtu kutoka tume ya ajiraHuwa anateuliwa afisa mmoja kutoka utumishi anaenda halmashaur husika kwenye hizo interview za watendaji na hata za mkataba za halmashaur huwa anakuja na analipwa posho na halmashaur husika ila kuhusu maswali anatumiwa asubuhi na tume ya utumishi kabla ya interview kuanza na kufungua maswali ili ayaprint anakuwepo afisa kutoka ofisi ya usalama yani kwa DSO kiufupi wanajitahidi sana kutenda haki usawa unakuwepo ukifanya vizuri unachukuliwa bila upendeleo na akishatangaza matokeo ndipo anaondoka kurudi dodoma
Twendeni tweeterYes, huko twitter response zitakua faster, jamaa alieretweet ana followers kibao
Raha ya pdf mtu alikute jina lake..Leo kuna dalili ya kuepo kwa PDF
BaSI na written ni bahati TU.leta matokeo ya oral sehemu yeyote ile duniani,
kama hujapata sio bahati yako basi.
Mtazamo wa wengi sio wangu MzeeMtazamo wako huo.
PSRS wakikusikia wataweza kulifanyia kazi
Post mkuu gani mkuuNaona hata uvvu kusoma hizi nlizoapply
WcfPost mkuu gani mkuu
Usichoke my dear mpambanaji huwa hachoki, na akichoka ujue amepata i feel you. Even me nilikuwa nasoma mpk tone la mwisho na wakati huo nishafanya oral nyingi wadau wanaelewa, after kujiona ndio nikaacha kwa hiyo post, nakupa moyo usichoke assume nyuma halijatokea jambo look forward, suprises are better than dissapoitment, kwa maana katika post zoote ulizofanya na unazotarajia kuzifanya hujui ipi, muda wala saa itakayokutoa, usichoke mpendwa, kerp it up, Mungu ni mwrma anaziona jitihada zako usiogope.Naona hata uvvu kusoma hizi nlizoapply
Hamna kukata tamaa kaka, kazi iendelee kwenye kuutafuta mrija wa asali ya taborayani kila pdf mpya lazima uipakue kucheki kama utaotea ama laah,aiseeh mliotoboa clean haikuwa rahisi hongereni sana
Sawa,nitajaribuUsichoke my dear mpambanaji huwa hachoki, na akichoka ujue amepata i feel you. Even me nilikuwa nasoma mpk tone la mwisho na wakati huo nishafanya oral nyingi wadau wanaelewa, after kujiona ndio nikaacha kwa hiyo post, nakupa moyo usichoke assume nyuma halijatokea jambo look forward, suprises are better than dissapoitment, kwa maana katika post zoote ulizofanya na unazotarajia kuzifanya hujui ipi, muda wala saa itakayokutoa, usichoke mpendwa, kerp it up, Mungu ni mwrma anaziona jitihada zako usiogope.