Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,329
- 7,177
Ukweli upi ss wkt Yeye mwenye kahainisha Tax Examination na Auditing ss km Tax ni hivyo vitu Viwili Sawa ?!
Achana nao hao kodi inakwenda sanjali na hesabu na sheria huyo anayejikuta mhasibu sana ukimuambia aitax partnership atabaki ametoa macho tuu na ndio maana unapewa semina pale ili kukufundisha hata jinsi ya kumtax presumptive asije akakutoa maana na tai yako kwa kukosa kujua sheria.
Wahasibu wanaamini kila kitu ni FS hahaha! Sasa presumptive wanatengeneza hesabu? Ni majitu ya kukariri IAS na kutambisha nina CPA lakini kwenye kodi walio wengi ni karatasi tuu.