CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,786
- 15,737
Vijana, kwenye Uhasibu KODI ni LAZIMA sio OPTION. Afu nimesema hapo, weka hizo expenses, hii kusema sijui Section ngapi imeeleza ndio nini?Tatizo Jamaa sijui wanabisha nn
Vijana, kwenye Uhasibu KODI ni LAZIMA sio OPTION. Afu nimesema hapo, weka hizo expenses, hii kusema sijui Section ngapi imeeleza ndio nini?Tatizo Jamaa sijui wanabisha nn
Sure hii nakubaliana nanyi kabisa...mie nilifanya oral ya Tutorial Assistant (kiswahili) ya chuo X, tulikuwa watu 7 nafasi ilikuwa 1, kuna jamaa alipata ila juzi tu hapo Mzumbe wametangaza tena nafasi ya Tutorial Assistant (kiswahili) nafasi moja.Hadi sasa hatujawahi kuona Data base yao badala yake huwa tunaona re-advertise. Kwa hiyo tunaweza kuhitimisha kuwa hakuna database ya Wakufunzi.
🤣🤣🤣🤣 kijana Mwifwa yuko speed, sasa angetupa link io, tulikuwa pamoja humu nyakati za huzuni, nyakati za furaha izi hataki ku share link.Atakua ameshavuta huyo mnyama mwitu(mnyama wa forest a.k.a Forester) sababu jana niliona namba E pale NAOT nikiwa naelekea psrs
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Hapo Usitegemee km naweza kukujibu? Maana hata hizo ambazo Ni NON ALLOWABLE EXPENSES/EXPENDITURES zinakuwa add back Kwa sababu ya Mistreated Tu (Km Ikisoma vzr nilisema zinapingana na Sheria yako)Vijana, kwenye Uhasibu KODI ni LAZIMA sio OPTION. Afu nimesema hapo, weka hizo expenses, hii kusema sijui Section ngapi imeeleza ndio nini?
Vijana, kwenye Uhasibu KODI ni LAZIMA sio OPTION. Afu nimesema hapo, weka hizo expenses, hii kusema sijui Section ngapi imeeleza ndio nini?
Wanapenda sana kuvimbiana hawa jamaa hahah sjui ndo ethics za mambo yao ya uhasibu au niajeWatu wa account na kodi, wakianzishaga balaa lao ni unstoppable. Isije kuwa kama lile la set of financial statement sijui🤣🤣🤣 palikua hapakaliki humu.
Hii ndio counter umepiga jamaa? We jamaa lala tu sasa huna ujualo.Kajamaa haka bhana akishaweka ndo keshakuwa msomi?
1. Cafteria services provided under discriminatory is not allowable expenses.
2. Same to medical services
3. Provisional expenses
4. Expenses with capital nature.
5. Depreciation calculated without using Depreciatable asset pools under tax schedules.
Mzee hadithi ni nyingi muda ni mchache sheria inatoa miongozo mbali mbali.
Acha nikupige counter attack uta prove vipi sales za company ambayo inafanya manufacturing au inauza unprocessed agricultural products apart from using EFD Annual report?
Pasi kwako CPA and ACCA.
Hii ndio counter umepiga jamaa? We jamaa lala tu sasa huna ujualo.
Zile mention 5 points mule ndan ukiwa na panel usichukulie powa kama ujajipanga unaishia kutia huruma , Huwa ni balaaDuh oral tano sio poa ! Huyo anatutisha hata Sisi jobless tunaopasha misuli kuanza harakati za kukimbizana na utumishi mwaka huu ,damn ! Oral tano na bila bila , mhh
Hao jamaa wanajua kukariri act tu, hata kuchanganua bajeti hawawezi, ukiwakuta ofisini wamekariri sheria hata ukiwapa uhalisia wa nini kinafanyia hawawezi kuelewa lolote.Kwanini sijawahi sikia commissioner wa tra ana elimu tu ya kodi why wengi huwa na accountancy plus cpa
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ukweli ni kwamba mtu wa accounts akija kwenye field ya kodi anakuwa nondo sana especially kwenye tax examination na auditing anakuwa ashikiki hii ni kwa sababu anakuwa na uelewa mpana juu ya financial statements preparation and interpretation,gaps zote mianya yote anakuwa nayo familiarKwanini sijawahi sikia commissioner wa tra ana elimu tu ya kodi why wengi huwa na accountancy plus cpa
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kwanza utambue Kodi (Course zake) Tanzania imeanza kuingia 2008 kuanza kufundishwa ss umri wa CG ukiangalia unahisi 2008 alikuwa bado anasomaKwanini sijawahi sikia commissioner wa tra ana elimu tu ya kodi why wengi huwa na accountancy plus cpa
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ukisoma kodi tupu always unakuwa mweupe kwenye mambo mengi, au jamaa atuambie hapoKwanini sijawahi sikia commissioner wa tra ana elimu tu ya kodi why wengi huwa na accountancy plus cpa
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hawataki kukubali ukweli MCHUNGU.Ukweli ni kwamba mtu wa accounts akija kwenye field ya kodi anakuwa nondo sana especially kwenye tax examination na auditing anakuwa ashikiki hii ni kwa sababu anakuwa na uelewa mpana juu ya financial statements preparation and interpretation,gaps zote mianya yote anakuwa nayo familiar
Battle zito kati mazakayo na wahasibu mshindi na kununulia pepsi big😆😆😆😆Watu wa account na kodi, wakianzishaga balaa lao ni unstoppable. Isije kuwa kama lile la set of financial statement sijui🤣🤣🤣 palikua hapakaliki humu.
Hawa hawanaga muafaka utachok ww na hutapata mshindi🤣🤣🤣🤣🤣, wakisha anza hawa unawaachia uwanja wafarakane.Battle zito kati mazakayo na wahasibu mshindi na kununulia pepsi big😆😆😆😆
Ndio vizuri ,wengine ambao hatukugusa masomo ya biashara /uchumi chuo au Advanced level ndio tunajikumbushia bookkeeping ya Olevel , terminologies hizo kuna ambazo bado niko farmiliar nazo ,😃😃😃😃Hawa hawanaga muafaka utachok ww na hutapata mshindi🤣🤣🤣🤣🤣, wakisha anza hawa unawaachia uwanja wafarakane.
Ukweli upi ss wkt Yeye mwenye kahainisha Tax Examination na Auditing ss km Tax ni hivyo vitu Viwili Sawa ?!Hawataki kukubali ukweli MCHUNGU.