kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,501
- 4,282
Hawa jamaa ukisikia kimeo ndo hawa yani,watu wamepiga oral tangu tarehe 16 April,ila cha kushangaza mpaka leo yenyewe hayajawajulisha wahusika kama wamepata au not.
Hawa watu ukiwatizama wana changamoto nyingi unaweza kusema wanatengeneza mazingira ya kupachika watu wao.mifano ni hii.
1. Mchakato wao kuanzia kutangaza ajira mpaka kuita written interview umejawa na usiri mkubwa sana,yani wenyewe wanatangaza tu kwenye website yao na wakt taasisi zingine za umma mfano tra,utumishi,BOT na hata TAA wanatangaza kwenye media mbalimbali.
2. Hawatoi majina ya waliofaulu kwenda oral badala yake wenyewe wanapiga tu simu, imagine mtu kachoma nauli yake kutoka kigoma kuja Dar kufanya written halafu mpaka leo hajui kama alifaulu lie written au hakufaulu,wao wamewapigia tu watu waliofaulu kuwaalika kwenye oral interview lkn matokeo ya written mpaka leo hawajawahi kuyatoa.
3. Ucheleweshaji wa majibu ndo usipime,utumishi huwa wanatumia muda wa siku 2-3 kutoa majibu ya waliofaulu kwenda oral na ikumbukwe utumishi huwa wanaita watu maelfu kwa maelfu lkn wanatumia muda mchache kuita watu ila hawa jamaa wenyewe mchakato wa recruitment ulianza mwaka jana mwezi December ila mpaka leo hakuna kinachoeleweka huko.
Tangu April 16 watu wamefanya oral ila mpaka leo hakuna majibu wkt kuna watu wamepiga interview ya tfs juzi tu hapa majibu yao yametoka tayari ila hawa jamaa wa gaming board walikua na candidates wachache tu mpaka leo hakuna kitu kinachoendelea, ukiwapigia simu kuwauliza ndo kwanza wanasema mchakato bado unaendelea.
WITO
Hawa jamaa nimewafuatilia mchakato wao wa kurecruit tangu 2019 nimegundua wana magumashi mengi,hivyo naomba mchakato wao uwe unapitia utumishi kuanzia sasa.
Hawa watu ukiwatizama wana changamoto nyingi unaweza kusema wanatengeneza mazingira ya kupachika watu wao.mifano ni hii.
1. Mchakato wao kuanzia kutangaza ajira mpaka kuita written interview umejawa na usiri mkubwa sana,yani wenyewe wanatangaza tu kwenye website yao na wakt taasisi zingine za umma mfano tra,utumishi,BOT na hata TAA wanatangaza kwenye media mbalimbali.
2. Hawatoi majina ya waliofaulu kwenda oral badala yake wenyewe wanapiga tu simu, imagine mtu kachoma nauli yake kutoka kigoma kuja Dar kufanya written halafu mpaka leo hajui kama alifaulu lie written au hakufaulu,wao wamewapigia tu watu waliofaulu kuwaalika kwenye oral interview lkn matokeo ya written mpaka leo hawajawahi kuyatoa.
3. Ucheleweshaji wa majibu ndo usipime,utumishi huwa wanatumia muda wa siku 2-3 kutoa majibu ya waliofaulu kwenda oral na ikumbukwe utumishi huwa wanaita watu maelfu kwa maelfu lkn wanatumia muda mchache kuita watu ila hawa jamaa wenyewe mchakato wa recruitment ulianza mwaka jana mwezi December ila mpaka leo hakuna kinachoeleweka huko.
Tangu April 16 watu wamefanya oral ila mpaka leo hakuna majibu wkt kuna watu wamepiga interview ya tfs juzi tu hapa majibu yao yametoka tayari ila hawa jamaa wa gaming board walikua na candidates wachache tu mpaka leo hakuna kitu kinachoendelea, ukiwapigia simu kuwauliza ndo kwanza wanasema mchakato bado unaendelea.
WITO
Hawa jamaa nimewafuatilia mchakato wao wa kurecruit tangu 2019 nimegundua wana magumashi mengi,hivyo naomba mchakato wao uwe unapitia utumishi kuanzia sasa.