Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kuna jambo linanifilirisha labda naweza kuwashirikisha na nyinyi wadau kuhusu milihani ya online ya utumishi.

Hii mitihani ya online kada za ICT huwa yana maswali 50 ya kuchagua na ukizidisha kwa 2 kwa kila idadi ya maswali ambayo umefaulu ili upate juu ya asilimia 100 ni lazima upate namba shufwa.

Sasa namba witiri katika matokeo yanatokeaje?! Au kwenye mfumo wanaedit matokeo?

Na lingine kwa kipindi hiki matokeo unayotarajia huwa tofauti kabisa licha mtihani kuona umeuweza tofauti na zamani. Hii inamaana gani?

Ninamashaka na utumishi na mfumo wao wa ajiraportal huenda wanachezea matokeo.
 
Kuna jambo linanifilirisha labda naweza kuwashirikisha na nyinyi wadau kuhusu milihani ya online ya utumishi.

Hii mitihani ya online kada za ICT huwa yana maswali 50 ya kuchagua na ukizidisha kwa 2 kwa kila idadi ya maswali ambayo umefaulu ili upate juu ya asilimia 100 ni lazima upate namba shufwa.

Sasa namba witiri katika matokeo yanatokeaje?! Au kwenye mfumo wanaedit matokeo?

Na lingine kwa kipindi hiki matokeo unayotarajia huwa tofauti kabisa licha mtihani kuona umeuweza tofauti na zamani. Hii inamaana gani?

Ninamashaka na utumishi na mfumo wao wa ajiraportal huenda wanachezea matokeo.
Na pia kwa nini matokeo ya alama yanachukua muda mrefu kutoka? Wakati mfumo unaweza kusahihisha na kutoa matokeo papo kwa hapo? Je muda wote huo lazima kuna namna wanachakachua.
 
Kuna jambo linanifilirisha labda naweza kuwashirikisha na nyinyi wadau kuhusu milihani ya online ya utumishi.

Hii mitihani ya online kada za ICT huwa yana maswali 50 ya kuchagua na ukizidisha kwa 2 kwa kila idadi ya maswali ambayo umefaulu ili upate juu ya asilimia 100 ni lazima upate namba shufwa.

Sasa namba witiri katika matokeo yanatokeaje?! Au kwenye mfumo wanaedit matokeo?

Na lingine kwa kipindi hiki matokeo unayotarajia huwa tofauti kabisa licha mtihani kuona umeuweza tofauti na zamani. Hii inamaana gani?

Ninamashaka na utumishi na mfumo wao wa ajiraportal huenda wanachezea matokeo.
Ah ah upo sahihi apo kwenye namba witiri Mkuu maana Kuna mtiani ulikuwa na maswali 50 Cha ajubu waliokuwa selected wamepata 85 na chini ya apo not selected, sasa apa unajiuliza kwamba baahadi ya maswali Yana alama kubwa kuliko mengine au ni mfumo tuu umechezeshwa?
 
Ah ah upo sahihi apo kwenye namba witiri Mkuu maana Kuna mtiani ulikuwa na maswali 50 Cha ajubu waliokuwa selected wamepata 85 na chini ya apo not selected, sasa apa unajiuliza kwamba baahadi ya maswali Yana alama kubwa kuliko mengine au ni mfumo tuu umechezeshwa?
Ndio maana wanasema twende veta kwa kuwa wanauhakika wa kupitisha watu wao.
 
Wakuu salama,
Samahanini kwa yoyote mwenye maswali ya Data analyst practical naomba anisaidie. Au anaejua abc zozote za kushauri.

Naomba kuwasilisha
Asante
 
Kuna jambo linanifilirisha labda naweza kuwashirikisha na nyinyi wadau kuhusu milihani ya online ya utumishi.

Hii mitihani ya online kada za ICT huwa yana maswali 50 ya kuchagua na ukizidisha kwa 2 kwa kila idadi ya maswali ambayo umefaulu ili upate juu ya asilimia 100 ni lazima upate namba shufwa.

Sasa namba witiri katika matokeo yanatokeaje?! Au kwenye mfumo wanaedit matokeo?

Na lingine kwa kipindi hiki matokeo unayotarajia huwa tofauti kabisa licha mtihani kuona umeuweza tofauti na zamani. Hii inamaana gani?

Ninamashaka na utumishi na mfumo wao wa ajiraportal huenda wanachezea matokeo.
Mkuu hili swala hata mimi linaniumiza kichwa, inavyo onekana kuna watu wana pass kweli, ila kuna wengine wanawekwa iyo utake usitake.

Sema kama mpambanaji upaswi kukata tamaa keep pushing mkuu.
 
20250317_041832.jpg
 
Hua ni tofauti, kwa kada yangu niliulizwa maswali tofauti ila yote ukiondoa swali la kwanza ambalo hua ni common la Kujielezea we mwenyewe mengine yalikua niya fani yangu
Asante sana mkuu, kwa hiyo kwenye maswali ya fani hapo ni yale ya kawaida juu ya uelewa wako kuhusu fani husika hayahusiani na madesa au lazima tena kukomaa na desa? Maximum muda ni dk ngapi?
 
  • kwenye nchi hii wenye mishahara mikubwa sio wabunge tu mbunge analipwa 16m, mkuu Kuna Majaji, CEO wa mashirika makubwa, CEO wa mabenki na wafanyakazi waliofikia managerial cadre,makamishna wa TRA
  • kama take home haifiki 5m ww si uache kazi ukawe kama diamond
  • ofisa wa ngazi gani wa Tanroads anayelingana na mabosi wangu wa halmashauri? Mkurugenzi wa halmashauri huyo yupo level ya managerial cadre huyo alitakiwa alinganishwe na Meneja wa Tanroads mkoa na sio entry level wa Tanroads
-
Mbungi inapigwa hapa
 
Asante sana mkuu, kwa hiyo kwenye maswali ya fani hapo ni yale ya kawaida juu ya uelewa wako kuhusu fani husika hayahusiani na madesa au lazima tena kukomaa na desa? Maximum muda ni dk ngapi?
Mkuu kula shule tuu sanaa, inasaidia kuongeza confidence, japo sometimes wanatoa maswali ya uelewa, lakini kula shule ni muhimu..
 
Asante sana mkuu, kwa hiyo kwenye maswali ya fani hapo ni yale ya kawaida juu ya uelewa wako kuhusu fani husika hayahusiani na madesa au lazima tena kukomaa na desa? Maximum muda ni dk ngapi?
Soma kiongozi, maswali yanakua ndani ya modules ulizosoma kuanzia first year kwa level yangu mfano diploma waliniuliza maswali ma 5, na yote yalikua ya level 4, 5 na 6 wanachukua tu popote

Muda sana hua wanasema ni dk 15 ila mi kiukweli sijui hata kama zangu zilifika 10, nilikua na kiwewe, ilikua ndo mara yangu ya kwanza kuhudhuria Interview
 
Soma kiongozi, maswali yanakua ndani ya modules ulizosoma kuanzia first year kwa level yangu mfano diploma waliniuliza maswali ma 5, na yote yalikua ya level 4, 5 na 6 wanachukua tu popote

Muda sana hua wanasema ni dk 15 ila mi kiukweli sijui hata kama zangu zilifika 10, nilikua na kiwewe, ilikua ndo mara yangu ya kwanza kuhudhuria Interview
Kwa hiyo huko mjengoni. Kwa sasa unakula honoraria mkuu au unasubiri pdf ya majina?
 
Back
Top Bottom