Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kaka
Ni direct mkuu japokua Ni interview yangu ya pili kufika oral, na status mpaka Sasa inasomeka Selected for oral.
hongera. Hapo kwenye status umenigusa. Kumbe bado mzigo upo for oral. Kwakweli kapige kazi Kakiwakilishe chuo chako na Jina la Familia yako vizuri. Ikawe heri.
Utumishi please , kama kuna Electrical Engineer aliwatukana kwenye interview basi msameeni , maana mnachofanya ni kukomoa , watu wanafanya interviews ,ninyi Kenge hamtoi Placement ,mwaka huu unaisha
Fisi maji ninyi @psrs
Yapo mambo mengi ya kufanya kuliko kuonesha haya. Ni kukosa ustaarabu kuwatukana Utumishi ilihali unataraji wakupe maisha. Au unadhami kuwa na fake ID ndo kigezo.?? Hii binafsi sijaipenda.
 
Jamani mie naomba kuuliza kwenye izi online interview. Inakuwaje mtu anapata 59, 45, 47 ilihari maswali yanakuwa 50 maana ake Kila swali Lina marks mbili jumla 100. Maana mtu akipata 59 maana ake alipata 29.5 je Kuna maswali yanakuwa Yana marks 2.5 au?
Mie mwenyewe nimejiuliza kama wewe nkaona tu ni marks za kubumba izi kwamba kuna kuchagua alipata nusu
 
Kaka

hongera. Hapo kwenye status umenigusa. Kumbe bado mzigo upo for oral. Kwakweli kapige kazi Kakiwakilishe chuo chako na Jina la Familia yako vizuri. Ikawe heri.

Yapo mambo mengi ya kufanya kuliko kuonesha haya. Ni kukosa ustaarabu kuwatukana Utumishi ilihali unataraji wakupe maisha. Au unadhami kuwa na fake ID ndo kigezo.?? Hii binafsi sijaipenda.
Ni wajibu wao kutoa Placement na wala sio hisani , majitu yapo yameajiriwa yanalipwa pesa kunenepeshea matumbo na mashavu halafu delivery na output ni poor .
Hii mentality ya haya mashirika ya uma na taasisi inasikitisha sana .
Mfano ni hawa taasisi ya utumishi ,
Hawa ndio typical example ya mediocrity kwenye taasisi na mashirika ya serikali .
Haya majitu yangekuwa yanafanya kazi , kupewa mikataba na kupimwa kwa " KPI " huu upumbavu ungeisha mara moja na utendaji serikalini ungebadilika kwa kiasi kikubwa sana .
Unaitisha interviews halafu huiiti watu kazini , huo kama si ushenzi ni nini ?
Ni nchi gani au shirika gani ambalo linafanyika watu interviews halafu watu mwaka mzima kimya ni response yoyote ya kinachoendelea ?
Au hujui jinsi watu wanavyotumia gharama na muda kufukuzia hizo interviews za utumishi ?
Hujui maisha ya jobless mtaani ?
Au naongea na mboga saba hapa ?

Kama uhitaji ulikuwa hamna ,kulikuwa na umuhimu gani wa kuitisha usahili ?

Watz ifike mahala tubadilike kwa hii mentality hatufiki popote .
Unapoajiriwa piga kazi ,deliver majukumu yako fully na utoe thamani kwa kipato unachopata .
 
Ni wajibu wao kutoa Placement na wala sio hisani , majitu yapo yameajiriwa yanalipwa pesa kunenepeshea matumbo na mashavu halafu delivery na output ni poor .
Hii mentality ya haya mashirika ya uma na taasisi inasikitisha sana .
Mfano ni hawa taasisi ya utumishi ,
Hawa ndio typical example ya mediocrity kwenye taasisi na mashirika ya serikali .
Haya majitu yangekuwa yanafanya kazi , kupewa mikataba na kupimwa kwa " KPI " huu upumbavu ungeisha mara moja na utendaji serikalini ungebadilika kwa kiasi kikubwa sana
Unaitisha interviews halafu huiiti watu kazini , huo kama si ushenzi ni nini ?
Ni nchi gani au shirika gani ambalo linafanyika watu interviews halafu watu mwaka mzima kimya ni response yoyote ya kinachoendelea ?
Au hujui jinsi watu wanavyotumia gharama na muda kufukuzia hizo interviews za utumishi ?
Hujui maisha ya jobless mtaani ?
Au naongea na mboga saba hapa ?
Sio busara kuwatukana kaka. Sidhani kama n sawa
 
Back
Top Bottom