HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

Hoja ya Mdau inayopendekeza maboresho au mabadiliko ndani ya jamii, inayotakiwa kuangakiwa kwa mapana na Mamlaka husika
Tangazo lenye MB nyingi lililokuwa linasubiriwa Kwa hamu kubwa

TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI ZA UMMA.jpg

Page 2 TANGAZO.jpg

Page 3.jpg
 

Attachments

duuuuh hongera sana kaka kwa kupata kazi inaonekana hukati tamaa mapema kiongozi pia pole sana kwa kupigwa ban kwaio moderators walikupiga ban sababu umeanzisha uzi wa kufufua matumaini ya sisi tuliowengi au kuna sababu nyingine waliyokupiga ban?
Kama sababu ni huu uzi basi tunamuomba Maxence Melo amtolee BAN yake.

Imagine JamiiForums wenyewe waliwahi kupost huu uzi kwenye kurasa zao zingine(Twitter, Telegram, Insta, FB). Kelele tunazopiga humu ziliwasukuma hadi waweze kuupost huko kama ishara ya kupaza sauti juu ya tatizo hili.

Maxence Melo nakuomba kwa niaba ya wapambanaji wa uzi huu, umtolee BAN OP wa uzi huu.
 
Kwa hiyo wa mwezi November na December wameshaisha..?, wamebaki waliofanya interview january na febuar
According to archives,zilizofanyika nov na dec ni

NOVEMBER 2022

MOCU
ASA
MUCE
ARU
LITA
WIZARA YA KILIMO
OSHA
MWAUWASA
TMDA
TARI
TGDC
BASATA

DEC 2022

AICC
TRA
MUCE
OUT
NAMANYERE HOSP
MJNUAT

Sasa hapo utoe ambazo tayar washaitwa utapata zilizobaki
 
Ndugu Zangu nawashukuru sana,tuendelee kupambana,nami ni mojawapo niliyepata placement Jana.Sio Kwa uwezo wangu ila najua ni Kwa uweza wa Mungu pekee.
Tusikate tamaa,mapambano yaendelee.
Napenda kuwatakia kazi njema watumishi wote wa
Sekretarieti ya Ajira.Hili ndio kimbilio letu wasaka Ajira wote.Sina connection nilipambana baada ya kufeli saili kadhaa bila kwenda Oral.Ila sikuchoka niliamini kama ipo na ipo.Hatimaye siku imefika.
Wale wote mnaosubiri placements pia msikate tamaa,Kikubwa ni kuombea mchakato wako kila siku,Mungu ni mwema sana.

#Tusikate Tamaa.
#Kazi Iendelee
 
Guys nimepata Kazi...mimi Ndio muanzilishi wa huu Uzi sema Account ilipigwa BAN.
Ila tuendeleee kupambana.

Nimepata kaz bila connection.
Japo nilikandwa Taasisi kama 5 uko Nyuma.
Sikutegemeea kupata kazi.

Ila tupambaneni wadau Mungu Ni Wetu Sote.
Hongera sana mkuu we ndo umesababisha tuwepo hapa hongera sana muasisi.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
According to archives,zilizofanyika nov na dec ni

NOVEMBER 2022

MOCU
ASA
MUCE
ARU
LITA
WIZARA YA KILIMO
OSHA
MWAUWASA
TMDA
TARI
TGDC
BASATA

DEC 2022

AICC
TRA
MUCE
OUT
NAMANYERE HOSP
MJNUAT

Sasa hapo utoe ambazo tayar washaitwa utapata

According to archives,zilizofanyika nov na dec ni

NOVEMBER 2022

MOCU
ASA
MUCE
ARU
LITA
WIZARA YA KILIMO
OSHA
MWAUWASA
TMDA
TARI
TGDC
BASATA

DEC 2022

AICC
TRA
MUCE
OUT
NAMANYERE HOSP
MJNUAT

Sasa hapo utoe ambazo tayar washaitwa utapata zilizobaki
LITA ilikuwa December 7, na sio November mkuu.
 
Back
Top Bottom