mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,674
Hongera afsa ,status kwenye app ilikua inasomaje mkuu??namshukuru MUNGU
Hongera afsa ,status kwenye app ilikua inasomaje mkuu??namshukuru MUNGU
Shukrani ndugu,Usikate tamaa kaka mkubwa, kikubwa ni UHAI ambao utakufanya uendelee kupambania kesho yako
Shukrani nduguPOle sana....ushuhuda mzuri
Nadhani hii post ya Jana mnaikumbuka vyema......
Ilikuwa ni live coverage.Ahsante sana mkuu.
Tupo tuna warm up hapa, mashambulizi yanaandaliwa na PSRS kutukanda kama kawaida yao.
Kaubaridi jepesi kameanza kuwarahisishia PSRS kazi hapa[emoji3][emoji3][emoji3]
hongera mkuuMy first oral interview, my first job. God is so Good
Tuendelee kuombeana, mliniombea nami jukumu langu ni kuwaoombeeniNimeonja joto la Oral, rasmi nimeingia kwenye list ya wasubiri placements.
Ahsanteni kwa Dua zenu, sasa tushikamane tena kwenye kuombeana kwenye hatua zote alizopo kila mmoja wetu.
Ipo hvyo ndy maana nimeona Sawa Kabsa uwenda tupo kwny kusubirNgoma ilikua ngumu, kwenda oral ilihusisha watu 700, nafasi 187 kwa hao Tax Management Officer, kwahiyo, wachache ilipasa waende, wengi kusubiri.
Dua zenu zilipotia wepesiNimegusa maswali yote kwa point tano tano kama walivyotaka. Tuombea angalau niingie kwenye kanzidata
Katika kunitia moyo, ulisema hivi.Wewe ushapata kazi... Believe me Mkuu
Alhamdulilah mdogo wangu ametoboa
Naamini upo kwenye database, Mungu akakupe Kibali kwenye taasisi uipendayo.Kiukweli sisi tulifanya interview zaidi ya watu 600 written wakiwa wanahitaji 26 ila tulibahatika kufika oral 59 nina imani walioitwa walikua bora pia na wanastahili ngoja tusubiri nafasi zetu zitakazopatikana kwingine ambako mpaka sasa hatufahamu.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
daah mbon unatukatisha tamaa sie wa selected for practical interview[emoji1787][emoji1787] Safari inaanza Upya tena? Hongeren Kwa Mliobahatika kupata Ajira TRA Mwenyezi Mungu akawasimamie mkawe watumishi wema!.
Nilikuwa kwny Orodha ya wasubiri PDF lkn Kwa Idadi iliyoitwa nimeona nisawa kutokuwepo uwenda Nyakati yng bado haijafika.
Ushuhuda wa Status.
Nilipitia change zote mpk Mwisho ilikuwa Ikisoma SELECTED for Practical Interview
Pole sana mkuu, kweli inaumiza sanaaa lakini usikate tamaa endelea kupambana.Selected for practical interview , aisee nimekatwa .. Very painful yan
God is Good. Selected for practical nami nimepata
Ila kuna rafiki yangu nae alikuwa selected for practical hajapata
Usivunjike moyo mkuu, riziki yako ipo...Endelea kupambana.Ngoma ilikua ngumu, kwenda oral ilihusisha watu 700, nafasi 187 kwa hao Tax Management Officer, kwahiyo, wachache ilipasa waende, wengi kusubiri.
me sim yangu ilikuw haisupport applicationHongera afsa ,status kwenye app ilikua inasomaje mkuu??
Huu ndio ulikuwa mrejesho wa maswali nilioulizwa.1. Tell us about your life history, schools and College
2. Objectives of perfomance Audit
3. Characteristics of good quality audit report
Haya ndio maswali ya general anayoweza kuulizwa kila mtu wa Audit.
Mengine kama 3 hivi yalihusu kqda yangu ya Afya kwenye kudeal na ishu za hospital.
Halafu wameniuliza maswali zaidi ya 5 aisee, maana kila nikimaliza kujibu wananipa lingine tena.
Muda wa mkando wote walinitengea dk 15
Uskate tamaa,learn from the mistakes,tukiachana na kudra zake Mungu,unahis swali gani lilikutoa mchezoniSelected for practical interview , aisee nimekatwa .. Very painful yan