Najua umesema hutaki stori za Sodoma na Gomora OK basi tufanye ni uwongo na ww umesema huna dini, lkn wewe ni Muafrika na unakabila, hivi jiulize ktk kabila hivi mila na desturi zenu zinaruhusu huu upuuzi unaoutetea.
Ujue vitu vingine kujiendekeza lkn kabla hawajakuja hao Wazungu na Warabu kusambaza dini, sifa kubwa ya mwanaume wa Kiafrika ilikuwa kufanya kazi kwa bidii, kuoa wanawake wengi na kuzaa watoto wengi na trend ilikuwa hiyo hiyo vizazi na vizazi so hiii inaonyesha sio tabia yetu Wafrika na sio asili yenu,so huko nyuma mwanaume wa Kiafrica alikuwa shababy.
Isitete huu upuuzi sometime hizi exposure walizozipata huko nje zinawafanya watu wawe wehu na kujiona wanaenda na wakati kumbe ni upuuzi mtu na ni kinyume cha asili yetu sisi Wafrika.
Kitu cha msingi tujiulize kama jamii tumekosea wapi, wakati huko nyuma huu upuuzi ulikuwa hamna yaani tumezidiwa mpaka na mababu zetu ambao walikuwa hawana elimu, ila sisi na vielimu tunatetea ujinga.
Hii kitu ni laana kwani ni kinyume na asili yetu sisi Wafrika na kinyume na Mungu, tutimize wajibu wetu kama kuwalea watoto kwenye maadili, turudishe jando na unyago ili watoto wajitambue nini wajibu wao kama mwanamke au mwanaume kwenye familia na kila mmoja amchukulie mtoto wa mwenzie kama wake, kwani mababu zetu huko nyuma waliweza kwa nn ww ushindwe, ila kuitetea hii tabia ni upuuzi WEWE HUNA DINI ILA WW NI MUAFRIKA NA ASILI HUWEZI IBADILI, ACHA KUTETEA UPUUZI.