Ha ha ha ha!Ukitaka iwe kubwa Dawa yake ndogo sana hiyo:
Chukua pilipili 6, kitunguu saumu 1 na tangawizi 1 kubwa, changanya vyote uvitwange hadi vilainike lainiiiiiiii halafu jipake vizuri huo mchanganyiko kwenye hicho kibamia chako chote asubuhi na jioni. Naamini kitakua kama tango na utawapata tu.
Tumeshapoa scorpio meMlio single bila kupenda poleni sana...
Hope mta find love soon,nawaombea iwe hivyo....
Wew mtoto ebu usimwage mchele kwenye kuku wengi.Nipo na Daby


Unaweza kua ni ndugu yangu wewe
Hunitakii mazuri wewe....Nani kakupa kibali uingie humu? Mpige kibuti huyo daby wako ndo uje humu, Only for single

Dyudyu unapata wapi?Kwa sababu wanavyopata walio double na mie na vipata ..nothing new..haha

Mkuu mleta uzi bado hujachangamkia fursa tu??Hahaaaaa![]()
![]()
Kwani ukoje?? Au ndiyo vinasaba vya wahindikwa sababu sijapata anaenipenda jinsi nilivo

katika ukoo wako wote hakuna alie hata robo yangu kwa uzuri pita kuleeKwani ukoje?? Au ndiyo vinasaba vya wahindi![]()
![]()
![]()
Nipo single kwasababu ya pesa ya kuhinga![]()
![]()
yani nikipigwa mzinga nakuwa kama mgonjwa wa kifadulo
mwenyewe hapa nacheki mwenye sababu nzuri ila wote wazushi tufulsa ndo hii sasa yakuchagua unae umpendae hapa kwasababu umeshajua watafutao wenzako.