supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,970
Mimi nalazimika kusema nipo singo kila mara sababu nikimjibu mwanamke nina mtu wangu nitamkosa kizembe[emoji1] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] wewe upo kama mimiNipo single coz ..... Bado cijapata nliyempenda ile serious ..japo ...mechi za kirafiki nikialikwa kwakwel sikataagi
[emoji3] [emoji3] unahitaji kuwa jasiri tuuNipo single kwa sababu kila nikitongoza nakataliwa hii inatokana na kuwa sina swaga na pia sura yangu mbaya
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mh, haya buanaWew mtoto ebu usimwage mchele kwenye kuku wengi.
Nimefukunyua comment yako kumbe imejificha hapa eeh..I'm also with you tho [emoji13][emoji13]
Vizuri...Tumeshapoa scorpio me
Nimeona binti wa kirombo at maana wilaya yetu inaitwa rombo atindio mim ni ndugu yako
Scorpio me nakutaka![emoji30] [emoji30] [emoji30]Vizuri...
mi pia aiseeNahisi majin/mashetanii walinywea supu ubavu wangu!!!
Kwa kujisifia tu hujambo! Ila uhakika wa yale usemayo ndiyo shida kuyaamini maana sampuli za watani zangu wachagga sinaeleweka mnavinasaba vya wahindi[emoji116] [emoji116] [emoji116] chagga etikatika ukoo wako wote hakuna alie hata robo yangu kwa uzuri pita kulee
waelewe tu kudanganywa jambo la kawaida huwezi kumpata mkweli 100%mwenyewe hapa nacheki mwenye sababu nzuri ila wote wazushi tu