supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,968
Mimi nalazimika kusema nipo singo kila mara sababu nikimjibu mwanamke nina mtu wangu nitamkosa kizembe



Nipo single coz ..... Bado cijapata nliyempenda ile serious ..japo ...mechi za kirafiki nikialikwa kwakwel sikataagi
wewe upo kama mimiNipo single kwa sababu kila nikitongoza nakataliwa hii inatokana na kuwa sina swaga na pia sura yangu mbaya
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
unahitaji kuwa jasiri tuuMh, haya buanaWew mtoto ebu usimwage mchele kwenye kuku wengi.
Nimefukunyua comment yako kumbe imejificha hapa eeh..I'm also with you tho![]()
Vizuri...Tumeshapoa scorpio me
Nimeona binti wa kirombo at maana wilaya yetu inaitwa rombo atindio mim ni ndugu yako
mi pia aiseeNahisi majin/mashetanii walinywea supu ubavu wangu!!!
Kwa kujisifia tu hujambo! Ila uhakika wa yale usemayo ndiyo shida kuyaamini maana sampuli za watani zangu wachagga sinaeleweka mnavinasaba vya wahindikatika ukoo wako wote hakuna alie hata robo yangu kwa uzuri pita kulee
chagga eti
waelewe tu kudanganywa jambo la kawaida huwezi kumpata mkweli 100%mwenyewe hapa nacheki mwenye sababu nzuri ila wote wazushi tu