Kwanini upo single?

Kwanini upo single?

MNAOSEMA MPO SINGLE MNATAKA KUSEMA HAKUNA ANAYEGEGEDWA HUMU WALA KUGEGEDA? SASA OLE WENU NIJE PM MSEME MNA MABWANA
Single unaelewaje mkuu ni mtu ambae hajaoa au kuolewa yaani hata kama ana girlfriend au boyfriend anakua ni wa mpito tu si wa kuishi nae
 
wewe ni single?
Hahahhh
Single niliye sokoni.
Muda wowote nanunuliwa na mteja wangu special.

Ila kuwa single raha sana, nilikuwa narudi muda ninaotaka.
Nipike au nisipike hakuna wa kuniuliza.
Nilale nje au ndani, hakuna wa kunihoji.
Nasafiri popote ninapotaka.
Nzuri kuliko zote, nachagua tu wa kulala nae siku hiyo.

Ndo basi tenaaaaa..
 
Kwa wanaume wote mlio single humu karibuni CHAPUTA fanyeni application mapema fomu ni chache
 
mimi kiukwel cpo cngle ila nataka nijitahidi niwe cngle kama nitaweza, sababu zamimi kutaka kuwa cngle nihuyu mpenz wangu anaongea sana nanimgomv sana yaan akikuta text yamcchana kwasimu yangu inageuka vita, atanikwida namimi huwa ckubali dem anikwide hapo ndipo vita inapoanzia, nimeshampiga sana nayeye alishaniuma meno sana ila sasa nahisi nimechoka ninavyoona nitakuja kumuumiza au hata kumuua kabisa niende jera bure, sasa nataka niwe cngle2
Hahahaa sawa
 
Hahahhh
Single niliye sokoni.
Muda wowote nanunuliwa na mteja wangu special.

Ila kuwa single raha sana, nilikuwa narudi muda ninaotaka.
Nipike au nisipike hakuna wa kuniuliza.
Nilale nje au ndani, hakuna wa kunihoji.
Nasafiri popote ninapotaka.
Nzuri kuliko zote, nachagua tu wa kulala nae siku hiyo.

Ndo basi tenaaaaa..
Dah so soon utatupotea humu?
 
Npo Single Cz nna Machine/P*nis Heavy Duty. Wadada wanaikataaa
 
Back
Top Bottom