Kwanini upo single?

Kwanini upo single?

Sijamstukia tu ubavu wangu
1475775690102.jpg
 
dah ila sjui swaga au ndo mikwanja mana toka nlivyopendwa primary na o level naona nyota sina kabisa
ulikuwa unapata wasichana wacha niseme wasichana ambao walikuwa hawayajui maisha bado ukiingia kitaani ndo utajua kataingia diploma kila siku kanataka katokezee kifasheni ndo wenye mkwanja wanapopata nafasi kuwa nao hata madem 20 hakunaga bahati siku hizi
 
Nipo single sababu tulienda Mikumi ubavu wangu ukaliwa na simba.
 
Wengine tumetoka kupata uCHAPUTA EXPERT MEMBER juzi juzi tu
 
Hii ni kwa wale walio single kama mimi, nadhani kila aliye single ana sababu zake za msingi zinazompelekea awe single. Kuna wanaopenda kuwa hivyo na wasiopenda.

Kwa kila aliye single aeleze sababu zinazompelekea yeye kuwa hivyo na yawezekana ukapata suluhisho hapa.

Tukianza na mimi
Nipo single sababu sijampata msichana sahihi anayenifaa

Niko single kwakua madem wengi wananifanya kama baba yao kama mama yao au ATM ya ki bank.kuombwa pesa zisizo n msingi wwte katika mausiano yetu.
 
no money ila moyo wakumpenda ambaye yupo tayari kupendwa na kuthaminiwa,,,ninao
 
Back
Top Bottom