Usingle inategemeana kuna dadaangu alikua na marafiki. Zake walioolewa km wawili ndoa zao zilikuwa shida, mara mume atembee na huyu mara binti wa kazi, mara jirani, mke. Akiongea lolote kuhusu michepuko ni kipigo mpaka hawa mmoja kaaachika mngine alifariki inasadikika kwa. Kupigwa na mumewe. Huyo mmoja mmew e alikuwa anatembea na binti jirani mara mke kamfumania watu kibao, binti kamshushia matusi mke, mumeo alinambia k yako imeharika ni mbaya. Haina shape ndo maana ananipenda mimi, mke kusikia kazimia, mpaka leo dadaangu ana 43 hataki kabisa wanaume na virgn kabisa