Kwanini upo single?

Kwanini upo single?

Mi nipo single kwa sababu nna kabamia!
Ukitaka iwe kubwa Dawa yake ndogo sana hiyo:

Chukua pilipili 6, kitunguu saumu 1 na tangawizi 1 kubwa, changanya vyote uvitwange hadi vilainike lainiiiiiiii halafu jipake vizuri huo mchanganyiko kwenye hicho kibamia chako chote asubuhi na jioni. Naamini kitakua kama tango na utawapata tu.
 
mimi nipo single ila nataman kumpata anipendaye kwa dhati na mtoa mizingaaa
 
tupo single kwa sababu
wengine tuna ogopa kumchezea mwanamke na kumwacha tunaona sio fair so we wait until we find de true love
 
Hivi na wanawake walio single wapo maana huku mtaani wanajibu nina mchumba.
 
Back
Top Bottom