Kwanini upo single?

Kwanini upo single?

Pole sana binti wa kirombo, Scorpion wako kashakamatwa yupo ananyea debe so usijali jipange upya jiandae utampata wa kwako mpyaaa tena wa peke ako na atakusahaulisha yale yote maudhi na mabaya ya Scorpion

Asante kwa kunipa moyo nami naamini ipo siku yangu nitasahau machungu yote niliyopitia nitangara kama dhahabu..hakika naamini ipo siku yangu
 
weeeee nan kasema niko single?? ha ha ha napita tu sa hv nina dem buana
 
Sijasikia aliye single kwa ajili ya kuwa na kibamia.
Fungukeni wadau.....tunawasoma
 
Nipo single kwa sababu nilijipangia kuoa nikiwa na Miaka 25, nilipofikisha Miaka 22, nilianza kuchunguza wanandoa ndani ya ukoo wetu, majirani na marafiki. Cha ajabu sikupata hata ndoa moja ya kunivutia kama mfano, zote zilikuwa zinamuonekano mzuri kwa nje, lakini kwa ndani zilikuwa na mbaya mno!
Sikuweza kuchunguza ndoa ya wazazi wangu kwa kuwa niliondoka nyumbani kwenda kutafuta Maisha nikiwa na Miaka 19, lakini naweza kusema haikuwa na kitu kilichonivutia, ilikuwa na usiri mkumbwa mno, sikuwahi kuona hata siku moja baba na mama wakikwaruzana japo baba alikuwa na wake wawili wakiishi nyumba moja na kupika pamoja.
Vijana wengi wa lika langu wengi wameoa na kuacha, hii pia inaonyesha huko siyo salama. kwa sasa Niko hapili singo, na sins mpango wa kuipoteza hiyo furaha.
 
Huwa unaonekana unapenda mwenye hela, ivo ndo ulivyo?
hebu nioneshe sehemu moja tu nilishawai kuzungumzia mwanaume mwenye hela. kuna tofauti ya mwanaume mwenye hela na mwanaume anaejali maiosha ya mwenzake .kwanza kuna mtu hana hela siku hizi?
 
Sijampata tu wa kunilazimisha kuachana na huyo single akipatikana hata sasa nitamtolea posa tu kwa kua kimaisha mungu hajanitupa kabisa
 
mungu ubariki uzii huu! naona watu wengi wako single leta ubavu wao uwaumbue wanywa supu
 
Siku kadhaa zijazo natimiza umri wa miaka 25 sasa huu umri akijitokeza wa kuishi nae na sio wa maslahi natoa posa kabisa
 
Back
Top Bottom