Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,094
- 62,032
- Thread starter
- #61
Anza kwenda sasa, uone uumbaji wa MunguHuwa siendi kabisa.
Anza kwenda sasa, uone uumbaji wa MunguHuwa siendi kabisa.
Kukaa bar ni njia mojawapo ya watu wenye upweke kukabiliana na changamoto zao plus stress.Mimi huwa naenda kwa ajili ya kusikiliza mziki wenye 'vibe' pamoja na kuosha macho kwa kuona warembo walivyopendeza. Hii inaniondolea msongo wa mawazo wa kimaisha na kuendelea kutamani kuishi zaidi na zaidi.
Pia nakuwa sina muda wa kutembelea watu mbali mbali majumbani mwao, kwa sababu binadamu wa sasa wengi ni wanafiki, na kujikuta nikitembelea maeneo yaliyo changamka bila kumkwaza mtu pamoja na kutokuathiri mipangilio yangu n.k
Je wewe, kwa nini unaenda bar na maeneo ya starehe?
Wanasema kazi na dawaNaenda Kujipoza na machungu ya wiki nzima nakuua ubongo
Tunahudumiana.Wao ndio wakuhudumie au wewe ndio uwahudumie?
Hao unaokaa nao ndani ndio wanao ongeza stress, mara watakuambia elfu 20 ulioacha asubuhi imeisha leta nyingine, mara sukari imeisha n.kKukaa bar ni njia mojawapo ya watu wenye upweke kukabiliana na changamoto zao plus stress.
Acha bangi, zimeanza kuua macho hayo 😂Sioni nini zumaridi wewe!
Nshakuambia nakuja na video zako, kaa kitaalamu 😎Nimemiss ustar fanya kweli basi😁
Mimi ninaokaa nao siwaachii 20k.Hao unaokaa nao ndani ndio wanao ongeza stress, mara watakuambia elfu 20 ulioacha asubuhi imeisha leta nyingine, mara sukari imeisha n.k
Hawakupi chachu za kimaendeleoMimi ninaokaa nao siwaachii 20k.
Kimsingi kila kitu kipo store, maisha ya kununua mahitaji kila siku ni ya kizamani.
Ili nigundue nini???PM kwangu...![]()
Maendeleo ni kununua kilo 50 za sukari kwa pamoja.Hawakupi chachu za kimaendeleo
The same here 😄😄Kujichanganya na wenye furaha!
Halafu kuna baa kama hizi, unaenda kustarehe lakini mguu mmoja ndani mmoja nje, saa yoyote kinawaka
Baada ya taarifa kutoka Mwanza ya kuwa kijana ameuliwa na mabaunsa wa Bar, nimeona nitoe elimu kidogo ambayo haitolewi popote
Hii ni elimu ya mtaa
1. Bar sio sehemu ya watu wanyonge.
Ukijua wewe ni mlaini usikanyage bar au night clubs, watakupiga wakuuwe
2. Hakikisha una kampani.
Kampani itakuhakikishia usalama ndo maana matajiri hulipa machawa na wapambe ili kuwa na ulinzi kipaumbele
3 kuwa na silaha iwe ya jadi au ya moto
Bar hasa usiku Kuna ubabe kwaiyo kuwa na mguu wa kuku ni vyema zaidi.
Watu makini Huwa hawaendi bar chukuchuku
4 Kagua milango ya kutokea na kutoroka in case...
- ngara23
- bar namba salama
- Replies: 266
- Forum: Habari na Hoja mchanganyiko
Toka leo ukaoshe machoMaendeleo ni kununua kilo 50 za sukari kwa pamoja.
Sio kila week unanunua kilo moja moja
Upo chimbo gani?Matajiri wa jf karibuni
Nikiona picha yako, nalegea kabisaIli nigundue nini???
Na ntakuua kweli we mtoto!Labda uniue wewe bimdashi😋
Niko kikomando nakungoja farasi wewe😁Nshakuambia nakuja na video zako, kaa kitaalamu 😎