Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 52,085
- 125,945
Huo mchana ulikuwa huoni auJamani viatu nimenunua gulioni mchana, ukishindaga njaa unakuwa na kisirani! Nishakwambia tega kikombe nikutilie pesa ya lunch hutaki😆
Huo mchana ulikuwa huoni auJamani viatu nimenunua gulioni mchana, ukishindaga njaa unakuwa na kisirani! Nishakwambia tega kikombe nikutilie pesa ya lunch hutaki😆
Ukiweza kuuepuka huu mtihani, utaweza kuishi ndani ya bajeti.Kama wewe ni mwana wa wana/mtu wa watu hata uende bila hela hela itatumika, Tuu maana utapewa na ukipewa automatically unawiwa kutoa , Lazima ufuate kadi, ama uhamishe kutoka bank au ulipe Kwa kuscan
Stress naachaga ghetto, au nazimalizia humu tu🤸🏽♂️Kwahy stress zako unaenda kuwapelekea wenye furaha zao, kaa na waliokupa stress nyau ww
Utakufa vibaya mdogo’etu 🙆🏽♀️Kutafuta wanawake wa makamo AKA mishangazi AKA makurumbembe.
Wao ndio wakuhudumie au wewe ndio uwahudumie?Kutafuta wanawake wa makamo AKA mishangazi AKA makurumbembe.
Nimemiss ustar fanya kweli basi😁Mm nikirudi na parody zangu naanza na zile picha na video zako 😎
😅😅 jiulize kwanini omba omba wapo wengi bar kuliko kanisaniUwii umenikumbusha juzi nimenunua mimi pia vya kulia vyote aisee🤣
Ndio inakuwa sadaka yako, na hutoboreka na mazingira.🤣Unampa offer barmed ya beer alafu ww unakunywa maji
Sioni nini zumaridi wewe!Huo mchana ulikuwa huoni au
Ni swali zito hili😅😅 jiulize kwanini omba omba wapo wengi bar kuliko kanisani
Bar kumejaa watu wenye upendo wa kweli , bar ni zaidi ya kanisani kwa mbali sana , chachi wamejaa wanafki tuNi swali zito hili
Tusioenda bar tunakoment wapi????
Kabisa!Bar kumejaa watu wenye upendo wa kweli , bar ni zaidi ya kanisani kwa mbali sana , chachi wamejaa wanafki tu
PM kwangu...Tusioenda bar tunakoment wapi????

Kule ndio kwenye wapotevu wanaohitaji neno la bwana.Kule hakuna kuuziana mafuta wala udongo
Labda uniue wewe bimdashi😋Utakufa vibaya mdogo’etu 🙆🏽♀️
Hao wanaotangaza neno, ni wasaka fursa tu na uvivu wa kutokutaka kulima.Kule ndio kwenye wapotevu wanaohitaji neno la bwana.