Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 6,469
- 11,584
sasa hii ya kuuza kahawa si nitaambiwa mshahara 20k per month?Nyingi ni za kutembea
sasa hii ya kuuza kahawa si nitaambiwa mshahara 20k per month?Nyingi ni za kutembea
hapana wala situmiiHuwa wanakuhonga bia?
Nakwepa stress homeMimi huwa naenda kwa ajili ya kusikiliza mziki wenye 'vibe' pamoja na kuosha macho kwa kuona warembo walivyopendeza. Hii inaniondolea msongo wa mawazo wa kimaisha na kuendelea kutamani kuishi zaidi na zaidi.
Pia nakuwa sina muda wa kutembelea watu mbali mbali majumbani mwao, kwa sababu binadamu wa sasa wengi ni wanafiki, na kujikuta nikitembelea maeneo yaliyo changamka bila kumkwaza mtu pamoja na kutokuathiri mipangilio yangu n.k
Je wewe, kwa nini unaenda bar na maeneo ya starehe?
Unatumia ninihapana wala situmii
Yeah watu wa bar wana furaha, nasio wanafki, naona nyuzi za bar na pombe zimetaradadi
hata nikisema hakiwez nifikia hicho unachotaka kuninunuliaUnatumia nini
Nikununulie
MnoSisi ni watu waamani
Mchumba wewe kiti moto nakuopoa😆hata nikisema hakiwez nifikia hicho unachotaka kuninunulia
Wewe sema tuhata nikisema hakiwez nifikia hicho unachotaka kuninunulia
BwasheeeMchumba wewe kiti moto nakuopoa😆
Ni adje mkali?Bwasheee
Unataka kuruka naye huyo mamaa?Ni adje mkali?
huo uchumba umeanza liniMchumba wewe kiti moto nakuopoa😆
Naenda kulewaMimi huwa naenda kwa ajili ya kusikiliza mziki wenye 'vibe' pamoja na kuosha macho kwa kuona warembo walivyopendeza. Hii inaniondolea msongo wa mawazo wa kimaisha na kuendelea kutamani kuishi zaidi na zaidi.
Pia nakuwa sina muda wa kutembelea watu mbali mbali majumbani mwao, kwa sababu binadamu wa sasa wengi ni wanafiki, na kujikuta nikitembelea maeneo yaliyo changamka bila kumkwaza mtu pamoja na kutokuathiri mipangilio yangu n.k
Je wewe, kwa nini unaenda bar na maeneo ya starehe?
Pale ambapohuo uchumba umeanza lini
unachokunywa wew😬Wewe sema tu
Chawa wangu Atakuletea popote ulipo.
Mimi natumia Altar Wine.unachokunywa wew😬
😅😅 safi pombe ya waumini hiyo, kwa jina la damu ya yesuMimi natumia Altar Wine.
😅😅😅 tunapiga vitu loko.😅😅 safi pombe ya waumini hiyo, kwa jina la damu ya yesu