Kwanini unaenda bar na maeneo ya starehe?

Kwanini unaenda bar na maeneo ya starehe?

Pombe inaongea , kuna miaka fulani niuziwa viatu elfu 60 bar vya kushoto vyote
Very same situation ila siyo bar , Tumetoka Tarangire, night Kali saa 4-5 hivii Hapo Chugadansi bamnyogode, Mchizi kichizi kusogea dirishani Na Tims + All staa zimenyooka ile laana, Oya arifu miguu hii hapa, Bei Kitonga 150 , zote kwa pamoja ,
😂😂😂😂😂

Wana Tumezicheki zote Ziko sawa , mchizi katoa hela Tunafika Home Zote Miguu ya kushoto
 
Eeh hapo umenena sana bana, mimi pia naenda kwa vibe na kuosha macho, lakn pesa ndo inaumiza bana. Muziki mzuri na mabibi wazuri ni dawa ya moyo kweli.
Kweli pesa inatumika sana, ila kama utaweza kuisimamia bajeti yako vizuri inawezekana, kama utasema nitatumia elfu 20 tu na ukaweza kuishi ndani ya hiyo bajeti, hakutakuwa na shida.
 
Kweli pesa inatumika sana, ila kama utaweza kuisimamia bajeti yako vizuri inawezekana, kama utasema nitatumia elfu 20 tu na ukaweza kuishi ndani ya hiyo bajeti, hakutakuwa na shida.
Kama wewe ni mwana wa wana/mtu wa watu hata uende bila hela hela itatumika, Tuu maana utapewa na ukipewa automatically unawiwa kutoa , Lazima ufuate kadi, ama uhamishe kutoka bank au ulipe Kwa kuscan
 
Very same situation ila siyo bar , Tumetoka Tarangire, night Kali saa 4-5 hivii Hapo Chugadansi bamnyogode, Mchizi kichizi kusogea dirishani Na Tims + All staa zimenyooka ile laana, Oya arifu miguu hii hapa, Bei Kitonga 150 , zote kwa pamoja ,
😂😂😂😂😂

Wana Tumezicheki zote Ziko sawa , mchizi katoa hela Tunafika Home Zote Miguu ya kushoto
Hii ni chuga bablai, mambo hayaendi kwa macho tu, lazima uyapige quality control , budaa kapiga 150K, delivery imefika salama, ila wote wamekuwa lefthand drive 😂

Gademitt
 
Back
Top Bottom