Kwanini tung'ang'anie vyeti tusinganganie madawa?

Kwanini tung'ang'anie vyeti tusinganganie madawa?

Nami niongezee ....Hivi kuwa na vyeti feki kuna madhara kwa taifa kuliko madawa ya kulevya....makonda alikua kwenye bunge la katiba. ...makonda alikua dc...kipindi cha kikwete...leo hii ndo vyeti vyake fake vimeleta madhara baada ya kuwataja wahusika wa madawa ya kulevya?..
Rafiki yake mkubwa alikuwa riz. Hivyo mnawaona watanzania wajinga sana. Kitu kibaya tunachofanya ni jamani tusiseme tusije tukamharibia mtu. Magufuli ametufundisha tuwe jasiri na tuongee, na watu sasa wanaongea lakini hataki kusikia.

Hiko cheti kianzio tu. Huyo Bashite sio mtu bright na matukio yanajionyesha. Uende kuvamia sehemu bila kukumbuka kuhusu camera. Naona ilikuwa Shock kuona ile clip. Unachukua magari ya serikali na ya "wauza unga" hufikirii kabisa ownership inaweza kuwa traced. Naamini hapa kuna evidence zaidi hata kuliko shutuma alizomnong'oneza mh mpaka Kabwe akatumbuliwa.

kitu ambacho ungeniambia na kukuelewa ni kwamba kuna ukomo wa kushtakiwa kosa Hilo la jinai. Mathalani ikipita miaka kumi basi hatuwezi kumshtaki. Twende kisheria zaidi.
 
Poleni na majukumu wana JF,

Kila kukicha sikosi kuona uzi wa member kuzungumzia vyeti vya PAUL MAKONDA mpaka hufikia kuchoshwa na swala hili la nyeti.

Sasa nimewaza kwanini tusiache kwanza mambo ya vyeti tukajikita kwa maswala yale ya madawa maana naona kama mmemkatisha tamaa ya hatua nyingine ya kuwataja wale ambao alisema akimtaja mtu habahatishi.

Yawezekana waliyotajwa wanapiga madongo kwa kujihami?

Ni wazo tu karibuni tujadili hili.

Asanteni.
 
Poleni na majukumu wana JF,

Kila kukicha sikosi kuona uzi wa member kuzungumzia vyeti vya PAUL MAKONDA mpaka hufikia kuchoshwa na swala hili la nyeti.

Sasa nimewaza kwanini tusiache kwanza mambo ya vyeti tukajikita kwa maswala yale ya madawa maana naona kama mmemkatisha tamaa ya hatua nyingine ya kuwataja wale ambao alisema akimtaja mtu habahatishi.

Yawezekana waliyotajwa wanapiga madongo kwa kujihami?

Ni wazo tu karibuni tujadili hili.

Asanteni.


Issue ni kuwa wanaopigana vita ya madawa ni wengine, Makonda Sio mpiganaji wa madawa ya Kulevya, alikuwa na issue zake binafsi. Tanzanians are not fool. Hilo ndio husilolifahamu
 
Utaachaje mambo ya vyeti wakati kuna waTz wamefukuzwa kazi kisa vyeti??yeye aachwe Kama nani?
 
Poleni na majukumu wana JF,

Kila kukicha sikosi kuona uzi wa member kuzungumzia vyeti vya PAUL MAKONDA mpaka hufikia kuchoshwa na swala hili la nyeti.

Sasa nimewaza kwanini tusiache kwanza mambo ya vyeti tukajikita kwa maswala yale ya madawa maana naona kama mmemkatisha tamaa ya hatua nyingine ya kuwataja wale ambao alisema akimtaja mtu habahatishi.

Yawezekana waliyotajwa wanapiga madongo kwa kujihami?

Ni wazo tu karibuni tujadili hili.

Asanteni.
Wazo zuri sana la kizalendo. Yaani nguvu inayotumika kudai vyeti kama ingetumika kuwaumbua wauzaji mpaka sasa tungekuwa tupo kwenye nafasi nzuri ya kutokomeza biashara hiyo haram nchini.

Ni wazalendo tu ndio wanawaza kama wewe. Asante
 
Poleni na majukumu wana JF,

Kila kukicha sikosi kuona uzi wa member kuzungumzia vyeti vya PAUL MAKONDA mpaka hufikia kuchoshwa na swala hili la nyeti.

Sasa nimewaza kwanini tusiache kwanza mambo ya vyeti tukajikita kwa maswala yale ya madawa maana naona kama mmemkatisha tamaa ya hatua nyingine ya kuwataja wale ambao alisema akimtaja mtu habahatishi.

Yawezekana waliyotajwa wanapiga madongo kwa kujihami?

Ni wazo tu karibuni tujadili hili.

Asanteni.
Suala ni uovu wa bashite na sio vita dhidi ya madawa ya kulevya inayoongozwa na kamishina Sianga.
 
Mimi ninachoamini ni kwamba, MTANDAO wa madawa ya kulevya ndio unaofanya kazi ya kueneza propaganda za vyeti ili kujaribu kuficha maovu yao.
Hoja yangu ya msingi ni kwamba, Paul Makonda ameteuliwa muda mrefu sasa kuwa mkuu wa mkoa, hivyo basi;
(1)Kwa nini issue hii ya vyeti isingeibuliwa tangu alipokuwa ametoka tu kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa?
(2)Kwa nini issue za vyeti ziibuliwe mara tu baada ya kutajwa kwa watuhumiwa wa madawa ya kulevya?
Safi kabisa, vyeti vimetajwa baada ya yeye kuanza vurugu (nasema vurugu maana wote aliowataja hakuna aliyeshitakiwa) za madawa ya kulevya.

Hili ni somo kwa viongozi wetu. Wawe waadilifu na wasafi ndo wataweza kupambana na rushwa, ufisadi, madawa n.k. haiwezekani uwakomalie wengine wakati wewe umeiba cheti, umefoji jina n.k.
 
Poleni na majukumu wana JF,

Kila kukicha sikosi kuona uzi wa member kuzungumzia vyeti vya PAUL MAKONDA mpaka hufikia kuchoshwa na swala hili la nyeti.

Sasa nimewaza kwanini tusiache kwanza mambo ya vyeti tukajikita kwa maswala yale ya madawa maana naona kama mmemkatisha tamaa ya hatua nyingine ya kuwataja wale ambao alisema akimtaja mtu habahatishi.

Yawezekana waliyotajwa wanapiga madongo kwa kujihami?

Ni wazo tu karibuni tujadili hili.

Asanteni.
Wewe nga 'ang'a nia madawa.. Tunaijua mchezo tumekaa kimya,,watu kupitia mwamvuli wa madawa wanapiga pesa na magari ya kifahari
 
Poleni na majukumu wana JF,

Kila kukicha sikosi kuona uzi wa member kuzungumzia vyeti vya PAUL MAKONDA mpaka hufikia kuchoshwa na swala hili la nyeti.

Sasa nimewaza kwanini tusiache kwanza mambo ya vyeti tukajikita kwa maswala yale ya madawa maana naona kama mmemkatisha tamaa ya hatua nyingine ya kuwataja wale ambao alisema akimtaja mtu habahatishi.

Yawezekana waliyotajwa wanapiga madongo kwa kujihami?

Ni wazo tu karibuni tujadili hili.

Asanteni.
Hapo ndipo uelewe they so called Great Thinkers!?!?! Yaani Madawa ya kulevya wameona sio siiue kabisa. Halafua bila kujielewa wnegine wanawasindikiza wengine bila kijielewa kwa kushikwa akilili zao na hao wanaouza madawa ya kulevya! Hawasikki hawaoni hawajali athari za madawa ya kulevya!
 
Back
Top Bottom