Kwa akiri za kutengeneza video ya uongo na kulazimisha irushwe Clouds TV kwa lengo la kumchafua Mtu. Akiri hizo zitashindwa kusema [HASHTAG]#Forgo[/HASHTAG] anauza madawa ya kulevya? Kwa chuki tu, au visasi?
Kama jinga hili lilikuwa na nia thabiti ya kuzui na kupambana na wauza madawa ya kulevya basi lisingekuwa linataja watuhumiwa jumanne na kuwataka walipoti polisi ijumaa.... Hata kama babaako ni muuzaji wa madawa, kwa hivo utamkamata?
Anachokifanya sasa kamishina kipo kisheria na ilipaswa kuwa hivyo tangu awali. Daudi alikuwa anatafuta umaarufu na vile ndo muamuzi wa Rais Ikulu basi kwa akiri mgando kama zake mtamuona alikuwa sahihi.
Vita haiwezi kuisha, na wauzaji inabidi wakamatwe ikiwezekana wanyongwe iwe fundisho, sio unatukamatia Chid Benz, Ray C, TID af unajitikisa matako et "Mbabe wa Vita", unakuja kuwataja akina Gwajima then inabainika hawauzi wala hawatumii, What the hell? Unamsafishaje huyo? Na uliwezaje kujiridhisha kumtaja bila kuwa na kidhibiti chochote? tunahitaji sheria ifuatwe na kuwe na kweli,haki na usawa pasipo kupakaziana kisa tulipigana vikumbo uchochoroni.