Mkuu wengi walioitwa wengine hata hawakuitwa Oral, wengi ni watoto wa wakuu wa Idara ndani ya TRA.Ndo maisha ya bongo ila huu mchakato mwishoni umeumiza sana wengi hata mimi nikiwa ni mmoja wao tulioumia.
Amini nakumbia wengi ni connections, kuna mtu hakuitwa Oral, na kwenye mafunzo ya Ajira yupo mbele kabisa! Hii ni AfricaNitazungumzia upande wa Tax Management Officer II.
Mchakati wa usahili wa mahojiano iliendeshwa kwa umakini wa hali ya juu sana, lakini, namna mchakati ulivohitimishwa kwa kupitia hizo e-mails bila kuchapisha majina ya walioshinda usahili huo na kupata kazi umeondoa umakini ulioshuhudiwa katika stage ile.
Namna mchakati ulivotamatika inatia mashaka kwa TRA na Bodi ya wahasibu na wakaguzi (NBAA) waliokua wanaendesha zoezi zima la usahili. Ni jambo la kushangaza na kusikitisha, ajabu wanahimiza uwajibikaji.
Ndo maana hata wao hawaoneshi sura za furaha cos wanajua wamezurumu haki za watu ila mungu ni mkubwa kila mtu huumpa na kumnyima kwa sababu anazozijue yeye.Amini nakumbia wengi ni connections, kuna mtu hakuitwa Oral, na kwenye mafunzo ya Ajira yupo mbele kabisa! Hii ni Africa
Dah.Ndo maana hata wao hawaoneshi sura za furaha cos wanajua wamezurumu haki za watu ila mungu ni mkubwa kila mtu huumpa na kumnyima kwa sababu anazozijue yeye.
Acha tu mkuu, hii mambo inaumiza sana.Dah.
Walioingia gharama kubwa kwa ajili written na oral, Mungu awatie nguvu aisee.
Wanaweza wakawa wamepata kwa haki kabisa sema tuu kutotangaza waliopata kazi kunafanya kila mtu aonekane mdhambi!Ndo maana hata wao hawaoneshi sura za furaha cos wanajua wamezurumu haki za watu ila mungu ni mkubwa kila mtu huumpa na kumnyima kwa sababu anazozijue yeye.
Mtaa unazeesha kakaMbona watu wamezeeka wote?
Ili uweze kua fair kwenye kutumia email. Inatakiwa uwa notify wote waliopata na wasiopata kwa email 2 tofautiSijajua kwa sababu gani TRA wamefanya hivi, lakini wote waliofanikiwa kupata kazi hizi walitumiwa Emails kwamba wamefanikiwa so kama hukutumiwa ni automatically haukufanikiwa, the same to kama pdf ya majina ingetoka, kama hukufanikiwa basi hata kwenye majina mtu usingekuwepo. Cha msingi ni kuendelea kupambana tu. Kumbuka tu naunga mkono uwazi na ukweli, lakini pia naheshimu taratibu zao na njia walizotumia.
Yeah this is true kabisa. Wale ambao hawakufanikiwa pia walitakiwe watumiwe email kwamba hawajapata. This is a challenge na nakubaliana na wewe. Afu hii issue sijui kwanini, sio kwa TRA pekee hadi kwa taasisi nyengine za private wana tabia ya kukaa kimya kama myu hujafanikiwaIli uweze kua fair kwenye kutumia email. Inatakiwa uwa notify wote waliopata na wasiopata kwa email 2 tofauti
kwann unasema watu wa banking wakasumbuliwa?Nimecheka kama mazuri 😂😂
Pole yao wapambanaji waliotoswa.
Nimewaza tu namna watu walihangaika kusoma,wakisubiri paper,,bado paper lenyewe watu wa banking wakasumbuliwa sana
Na bado ajira wamekosa
Tz ni kiboko🙌
Labda Mungu aje aingilie kati.
Watu wa banking wengine baadae waliambiwa hawana vigezokwann unasema watu wa banking wakasumbuliwa?
Hizi sio taratibu,hapo wameficha majina ya watoto zao na ndugu zao.haiwezekani Ata hizo email za walioitwa kazini haikutaja jina imesema tu dear applicant.kwann email za kuitwa kwenye usaili ziwe na majina na kuitwa kazini zisiwe na majina?hiyo ni kuficha hili watu wasianze kucompare pdf la kuitwa kwenye interview na kuitwa kazini.This is totally un acceptedSijajua kwa sababu gani TRA wamefanya hivi, lakini wote waliofanikiwa kupata kazi hizi walitumiwa Emails kwamba wamefanikiwa so kama hukutumiwa ni automatically haukufanikiwa, the same to kama pdf ya majina ingetoka, kama hukufanikiwa basi hata kwenye majina mtu usingekuwepo. Cha msingi ni kuendelea kupambana tu. Kumbuka tu naunga mkono uwazi na ukweli, lakini pia naheshimu taratibu zao na njia walizotumia.
Yeah, hawakutaja majina katika hizo barua za kuitwa kazini, ilhali e-mail za kuita katika usahili zilitaja majina ya kila msahili. Tumefika pabaya sanaWengi waliitwa kazini hawakufanya usaili na ndomana Ata email za kuitwa kazini hazikuwekwa majini wametumia dear applicant tu wakati email za kuitwa kwenye interview Zina majina