Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,211
- 42,074
Huu ni utaratibu mpya wa kutoa ajira? Kwanini Majina ya waajiriwa hayawekwi hadharani? Kwanini watumiwe tuu Email?
Mbona kweye usaili waliweka hadharani namba na wahusika wa Usaili?
Kuna shida gani kuujuza Umma kuwa nafasi 500+ zimepata wahusika? Kuna shida gani TRA?
Hapa chini ni waajiriwa wapya walio anza mafunzo leo. Nafikiri kila waliofanya usaili wa mdomo wamestuka kuona wenzao wameanza mafunzo!
Mbona kweye usaili waliweka hadharani namba na wahusika wa Usaili?
Kuna shida gani kuujuza Umma kuwa nafasi 500+ zimepata wahusika? Kuna shida gani TRA?
Hapa chini ni waajiriwa wapya walio anza mafunzo leo. Nafikiri kila waliofanya usaili wa mdomo wamestuka kuona wenzao wameanza mafunzo!