Proffesor
JF-Expert Member
- Aug 13, 2014
- 2,115
- 2,849
Kesho wakristu duniani kote wanasherekea kuzaliwa kwa Yesu kristu mfalme... duniani kote wakristu wana sherekea siku hii December 25 na ni kila mwaka. Swali langu n moja kwann kifo na ufufuko wa Yesu kusingekuwa na specific date kama Christmas...?? Heri ya Christmas wana Jamii Forum....!!!