mimi namfuatilia sana mh majaliwa ni mtu mwenye kujielewa sana na yupo makini sana kwenye kazi yake kuliko mawaziri wakuu waliopita tabia anafanana na sokoine.
Sijaona au kusikia mh waziri mkuu akimsema vibaya marehemu makufuli sijamsikia kabisa mh majaliwa ni muungwana sana.
Mbali na rais na baadhi ya mawaziri na viongozi wa vyama CCM na upinzani kumsema vibaya jpm lakini majaliwa sijawahi kumsikia huyu ndie anafaa kuwa Rais wa Tanzania.
Sijaona au kusikia mh waziri mkuu akimsema vibaya marehemu makufuli sijamsikia kabisa mh majaliwa ni muungwana sana.
Mbali na rais na baadhi ya mawaziri na viongozi wa vyama CCM na upinzani kumsema vibaya jpm lakini majaliwa sijawahi kumsikia huyu ndie anafaa kuwa Rais wa Tanzania.