Hivi mzee kwanini watetezi huwa mnapenda kutumia hizo shuhuda za zama za kale za chuma ku justify uzembe uliopo sasa ?Yale Ma- pyramid walijenga wazungu !? Ukajifunze kuhusu civilization from kemet utaelewa zaidi
Ni sawa pyramids were built by Africans. But the question is why are we not inventing anything nowadays?
Watoto wanasoma science au historia ya science ?Research and Development. Nchi inatakiwa kuwezesha mazingira ya mtoto kuendeleza kile alichojifunza shuleni. Tunasomesha watoto shule za sayansi lakini akimaliza shule, ni wapi ataweza ku apply kile alichosoma? Ilitakiwa kuwe na labs, karakana, mashamba darasa nk.