Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

Mawazo yangu binafsi juu ya hii hali ni kua inasababishwa na mambo makubwa mawili;
1: Uumbaji wa mungu mwenyewe,yani kuwa hivi ndo the way tulivyoumbwa. DNA zetu ndo zipo hivi.
2: Mazingira,kwa waafrika(maana ndio asili ya weusi) huku Afrika ni bata sana. Hatuhitaji kufikirisha akili zetu kusurvive.
yani ardhi ambayo komba anaweza akaangusha embe hlf miaka kadhaa ukaota muembe hatuwezi fanana na watu ambao toka enzi akili zao zipo on survival mode
Kwa hiyo hatuwezi kubadilika?
 
Swali Zuri,ukizaliwa na uwezo mkubwa wa kufikiria or uvumbuzi,but usipokua exposed na mazingira mazuri iwe elimu nzuri or unapoishi uwezo wako utakua Stagnant,,as they say

"You can't be successful more than your exposure"

Jiulize kwanini wenye vipaji wanakimbilia vyuo bora duniani??au why top scientist wa China 80% wamesoma marekani??
Na hawa wa kwetu wanaosoma nje, wanavumbua nini?
 
Ila makebo hata yanapokuwa gizani wanayaona 😜
Ujengewage mnara wa heshima ili hii comment isifutike mkuu...😜
Hizi ndio comment za maana sasa....
downloadfile-1.png
 
Tatizo ni nini, ipi inaweza kuwa jibu sahihi?
  • Ni vyakula tunavyokula vinadumaza ubongo​
  • Upeo wetu ni mdogo​
  • Hatujakamilika kuwa binadamu kamili​
  • Tumeridhika na vinavyoletwa na wazungu​
  • Tumekata tamaa​
  • Hatujastaarabika​
  • Imani za dini imetuzidi​
  • Si jukumu letu kuvumbua​
  • Tumezaliwa ili tuishi baadaye tufe​
  • Elimu zetu​
  • Bado tupo gizani​
  • Tumelogwa​
  • n.k​
Watu Weusi pia wanavumbua vitu sema Tu huna time ya kuwajua,

Wavumbuzii wake sio wengi mostly sababu zas kiuchumi, siku hizi sayansi ni hela.

Pia Rushwa, culture na mengineyo huchangia.
 
Kwa mfano, ikitengewa hela nyingi, inaweza kuleta matokeo yoyote?
Ndiyo. Kama wataweza kuzisimamia fedha hizo vizuri na kuwe na performance appraisal kwa wasimamizi katika kuleta matokeo chanya. Uvumbuzi huo unaweza kuwekewa mifumo ya kisheria ya patent, ili muwekezaji anayetaka kutumia uvumbuzi huo sharti atenge kiasi cha pesa kumlipa huyo aliyevumbua.

Mbona kuna Mtanzania yule aliyevumbua gauge ya kusoma mtungi wa gesi, jina nimesahau, baada ya kuvumbua ile gauge akaona bongo miyeyusho mingi, akaenda Kenya, muwekezaji alimlipa pesa nzuri tu.(Billions ladhaa) Hiyo stori mpaka ikatolewa kwenye magazeti.
 
Tunagundua mengi tu tatizo ni kuyaendeleza

1. Gobole/bunduki
2. Baiskeli ya miti, ingeendelezwa ingeweza kuwa pikipiki
3. Toroli/kilikuu
4. Gari la udongo/vijiti
5. Sufuria za udongo/kufinyanga

Vipo vingi tu shida ni muendelezo hata aliyegundua ndege sio alieindeleza hadi ikawa kama hizi tunazopanda sasa
 
Tangu awali haujengi akili kuwa na uwezo wa kufikiri kwa ubunifu na kufanya uvumbuzi. Kwa kifupi mfumo wetu wa Elimu unaandaa watu wa kupokea maelekezo na kuyafanyia kazi kama yalivyo(maroboti).
Kwa hiyo, mifumi hairuhusu watu kudadisi?
 
Tatizo ni nini, ipi inaweza kuwa jibu sahihi?
  • Ni vyakula tunavyokula vinadumaza ubongo​
  • Upeo wetu ni mdogo​
  • Hatujakamilika kuwa binadamu kamili​
  • Tumeridhika na vinavyoletwa na wazungu​
  • Tumekata tamaa​
  • Hatujastaarabika​
  • Imani za dini imetuzidi​
  • Si jukumu letu kuvumbua​
  • Tumezaliwa ili tuishi baadaye tufe​
  • Elimu zetu​
  • Bado tupo gizani​
  • Tumelogwa​
  • n.k​
1. Tatizo Katiba tuliyonayo imempa nguvu nyingi sana Rais.
2. Tatizo la pili utawala mbaya wa CCM..
3. Tatizo la 3 ni kukithiri kwa rushwa


Hayo hapo juu ni majibu ya watu wasiopenda kukiri mapungufu yao.
 
Tatizo ni nini, ipi inaweza kuwa jibu sahihi?
  • Ni vyakula tunavyokula vinadumaza ubongo​
  • Upeo wetu ni mdogo​
  • Hatujakamilika kuwa binadamu kamili​
  • Tumeridhika na vinavyoletwa na wazungu​
  • Tumekata tamaa​
  • Hatujastaarabika​
  • Imani za dini imetuzidi​
  • Si jukumu letu kuvumbua​
  • Tumezaliwa ili tuishi baadaye tufe​
  • Elimu zetu​
  • Bado tupo gizani​
  • Tumelogwa​
  • n.k​
Watu weusi wamevumbua vitu vingi sana tena tunavitumia kwenye maisha ya kila siku. Nilitaka kuandika hii mada lakini gunduzi zilikuwa nyingi nikaona uvivu kuandika.
Lakini waty weusi wapiogundua vitu wengi wao ni Black Americans, so inaonekana tatizo sio kuwa mweusi, bali mazingira unayoishi

Pia usisahau, haijalishi Africa iligundua vingapi before, history yetu ilikuwa erased na watu weupe, ila historians wanadai kulikuwa na a lot if civilizations in Africa lakini white supremacy ndio chanzo cha kuifukia isijulikane na dunia
 
Na hawa wa kwetu wanaosoma nje, wanavumbua nini?
Mkuu maswali yako majibu unajua ila tunapoteana muda,wewe vidudu hadi High school umesoma NECTA,Chuo SUA,halafu masters ndio umepata sponsorship huko,itasaidia nini??..still upo shallow,hata ungeenda kusoma bachelor degree still sio issue,Msingi na mazingira yalishakua mabovu Tangu awali,kwa wenzetu wapo serious na elimu ya watoto kuzidi Vyuo..

Tunaweza ku argue kua "mbona kuna shule za international hapa,still wamegundua nini" well hao ni 00.01
 
Ndiyo. Kama wataweza kuzisimamia fedha hizo vizuri na kuwe na performance appraisal kwa wasimamizi katika kuleta matokeo chanya. Uvumbuzi huo unaweza kuwekewa mifumo ya kisheria ya patent, ili muwekezaji anayetaka kutumia uvumbuzi huo sharti atenge kiasi cha pesa kumlipa huyo aliyevumbua.

Mbona kuna Mtanzania yule aliyevumbua gauge ya kusoma mtungi wa gesi, jina nimesahau, baada ya kuvumbua ile gauge akaona bongo miyeyusho mingi, akaenda Kenya, muwekezaji alimlipa pesa nzuri tu.(Billions ladhaa) Hiyo stori mpaka ikatolewa kwenye magazeti.
Ni nani anayetakiwa kuanzisha hili hitaji la kutengwa fedha kwa ajili ya uvumbuzi wa kisayansi, ni vyuo vikuu, vyuo vya kati, vyuo vyote au ni wizara?​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom