Kwanini Simu za iPhone zina specifications ndogo?

Kwanini Simu za iPhone zina specifications ndogo?

Kwasababu ni affordable
Mkuu sidhani kama ni jibu sahihi saana. Hivi unajua sababu kubwa ya Android OS kuwa na market share kubwa kwenye OSs duniani ni nini?
Android OS inampa mtumiaji "The Ultimate User Experience".
Mfano mzuri tu, wewe binafsi huwa unapenda kitu flani kiwe namna flani kifit matamanio yako, si ndio?!
Na hapo ndo sehemu Android walifaulu tangu zamani. Kumpa mtumiaji uhuru wa kuamua kifaa ki'reflect mtumiaji mwenyewe. Ukishazoea tumia Android kama "Power User" na mwenye kujua potential ya smartphone kwa kiasi flani, asee bro nakwambia utafeel discomfort flani hivi ukipewa iOS.
Na sio kwa sababu hujui kutumia iPhone, la hasha!, ila ni kwa sababu unakuta mtu ushazoea customization, longer battery life, cool UI, new features everyday with every Flagship,.
Na kitu kingine ni, ushindani ulioko kwenye Android ecosystem. Kila kampuni inajitahidi kuwa innovative kila leo na kuja na kifaa kinachorahisisha siku ya mtumiaji. Na hapa sisemi kuwa Apple sio innovative.

Ila Apple sio innovative katika speed zilizopo Android OEMs na katika consistency kubwa. Hadi uje uone something really game-changing kwa iPhones bas ujue kuna generations nzima ya new device imepita hapo katikati.

Na ukisema affordability mkuu bado sana, kuna Android zinauzwa bei ghali tu na watu wanazipangia budget. Ni vile tu Android ina uwanda mpana wa mtu kuchagua.
borngeechee_BZLvPyzBw8J.jpeg
 
Ungeinunua walau uitumie km mwez hv ungejijib vzr sana. Ninachopendea hz simu hawatumii vilaza. Over.

iPhone sio simu za vilaza
Kwanza iPhone ukishaiweka loak ndio basi Tena hakina mtu wa kuifanya lolote yaani ukiiba au ukiokota iPhone ww mpe mwanao wa miezi mitatu aigeuze toy hawa jamaaa wapo sicurity kinoma saiv OS12 hata screen used huwezi kuuza yaani haitokubali kwenye iPhone nyengine nazani umenisoma

Wee Baki na Samsung yako ikiibiwa mtu anatoa loack anatumia

So iPhone wapo juu
Ni simu za kishuaa🤪🤪🤪🤪🤪
 
Kusema ukweli Mimi androids nimetumia sanaaa na nilikua sifikishi nazo miez 6 nauza mpk mpenz wng akawa anakasirika....ila toka nimeamia kwny iphone ni mwaka wa 4 huu hii simu ya 2 nafanya ku upgrade tu....sirudi kwny androids ata kwa bastolaa...kwnza toka niwe na hii iphone sijawahi kuona ikistuck....ila nunua tecno apo ya ram 6 gb hlf ukae nayo mwez uone balaa lake...kustuck kama kote
 
Hamna kampuni ya simu au tablet inayoweza kusimama na Apple Kwa sasa, haipo , na ndo maana hapa kwenye huu mjadala ni all Android Phone’s against iPhone. Ila ukisimamisha kampuni moja inaonekana kama mtoto anayetambaa mbele ya apple.

Apple washindanishe na all other phones combined ila siyo one one

Tuendelee kubishania ram , speed na megapixels lakini suala la experience na ufanyaji kazi wa Apple devices ni habari nyingine

Na juzi imetoka IPad Pro ambayo inaendeleza mauaji ya tablets sokoni zikiwemo Microsoft surface, Samsung tabs, dell n.k

Niwaambie tu tunapoongelea Apple tunaongelea success story , weka ushabiki pembeni Apple ni mfano wa kuigwa kuanzia ubora wa bidhaa, care , supply chain, ushirikiano wake na makampuni mengine kuhakikisha mteja anapata bidhaa bora, privacy and pirate protection just to mention few.
 
Mwenye uwezo wa kununua iphone ana uwezo wa kununua android yoyote ila wengi wa wenye uwezo wa android hawawezi afford iphone, siyo kwamba watu hawazipendi iphone, sema uchumi unabana

Hizi ndio akili za mkumbo sasa.

Unazijua simu ngapi za android ambazo bei yake dukani ni zaidi ya $1000???
 
iPhone sio simu za vilaza
Kwanza iPhone ukishaiweka loak ndio basi Tena hakina mtu wa kuifanya lolote yaani ukiiba au ukiokota iPhone ww mpe mwanao wa miezi mitatu aigeuze toy hawa jamaaa wapo sicurity kinoma saiv OS12 hata screen used huwezi kuuza yaani haitokubali kwenye iPhone nyengine nazani umenisoma

Wee Baki na Samsung yako ikiibiwa mtu anatoa loack anatumia

So iPhone wapo juu
Ni simu za kishuaa🤪🤪🤪🤪🤪

Loak=lock
Sicurity=security
Saiv=sasa hivi

Halafu acha uongo,screen gani ambayo haifanyi kazi kwenye simu nyingine???unazungumzia flat screen???
 
Hamna kampuni ya simu au tablet inayoweza kusimama na Apple Kwa sasa, haipo , na ndo maana hapa kwenye huu mjadala ni all Android Phone’s against iPhone. Ila ukisimamisha kampuni moja inaonekana kama mtoto anayetambaa mbele ya apple.

Apple washindanishe na all other phones combined ila siyo one one

Tuendelee kubishania ram , speed na megapixels lakini suala la experience na ufanyaji kazi wa Apple devices ni habari nyingine

Na juzi imetoka IPad Pro ambayo inaendeleza mauaji ya tablets sokoni zikiwemo Microsoft surface, Samsung tabs, dell n.k

Niwaambie tu tunapoongelea Apple tunaongelea success story , weka ushabiki pembeni Apple ni mfano wa kuigwa kuanzia ubora wa bidhaa, care , supply chain, ushirikiano wake na makampuni mengine kuhakikisha mteja anapata bidhaa bora, privacy and pirate protection just to mention few.
Then explain this

Apple will no longer report iPhone numbers after growth went to 0%, and analysts are now worried iPhone sales may decline
 
Loak=lock
Sicurity=security
Saiv=sasa hivi

Halafu acha uongo,screen gani ambayo haifanyi kazi kwenye simu nyingine???unazungumzia flat screen???
Sijui ametoa wapi hiyo info! Emb alete source ya hiyo claim yake ya kioo hakitaweza fanya kazi kwenye simu nyingine.
 

Hawa ni analysts na mawazo Yao hatuwezi kukataa au kukubali na hayaondoi ukweli kwamba hamna kampuni inasimama mbele ya Apple , lakini tukija real figures bila ku guess guess kama article yako inavyo guess Kwa kujaribu kumlisha maneno Tim Cook . Hamna smartphone zinazouza kama Iphones na hii ni Kwa miaka mingi tu including mwaka huu na mwaka jana. Units sold iPhones ziko juu sana

IMG_0230.JPG

IMG_0232.JPG
 
Hawa ni analysts na mawazo Yao hatuwezi kukataa au kukubali na hayaondoi ukweli kwamba hamna kampuni inasimama mbele ya Apple , lakini tukija real figures bila ku guess guess kama article yako inavyo guess Kwa kujaribu kumlisha maneno Tim Cook . Hamna smartphone zinazouza kama Iphones na hii ni Kwa miaka mingi tu including mwaka huu na mwaka jana. Units sold iPhones ziko juu sana

View attachment 919218
View attachment 919219
Umesoma vizuri lakini?
 
Back
Top Bottom