Kwanini Simu za iPhone zina specifications ndogo?

Kwanini Simu za iPhone zina specifications ndogo?

Hizo benchmarks zina mapungufu mengi sana mkuu hasa huu ulimwengu wetu wa sasa, kama unazitumia zikupe tu rough idea ya perfomance,

Hao geekbench waliclaim kuwa tayari processor ya kwenye iphone ina nguvu kushinda processor za laptop kama i5, i7 etc Anandtech wakaja kufanya test zao kwa benchmarking nyengine inaitwa spec2006 na wakapata tofauti.

Pia kampuni za kichina wanazichezea sana mfano Huawei akiingia humo lazima kirin ionekane ipo juu, ila ukija kwenye real world test inakuwa simu inapitwa.

Kifupi dunia ya sasa anae sponsor ndie ambaye score zake zitaonekana nzuri, hivyo kama unataka kuchagua simu ni vyema ukaangalia real world perfomance, ama tumia site zinazoingia deep kuchambua vitu kama vile anandtech.
Shukrani sana mkuu.

Nilikuwa na wasiwasi na kuamini hizi benchmarks. Maana pia suala la bias ya anayefanya hizo benchmarks.

Na side-by-side load time testing nazo unaziongeleaje?
 
Shukrani sana mkuu.

Nilikuwa na wasiwasi na kuamini hizi benchmarks. Maana pia suala la bias ya anayefanya hizo benchmarks.

Na side-by-side load time testing nazo unaziongeleaje?
sometime hazina maana, kuzi fake ni rahisi sana, mfano naweza kufungua hizo apps kwenye simu ya kwanza kisha nikaziacha cache zichukuliwe then ndio nikaanza kurekodi, kila nikifungua app kwenye simu ya kwanza itaonekana zinafunguka upesi sababu tayari kuna cache.

Pia Naweza simu ya kwanza kudisable animation kwenye developer option na ya pili kuongeza animation na ya kwanza kuonekana ina speed zaidi.

Na hata ikitokea mtengeneza video hayuko bias, kila os ina vitu vyake ambavyo inafanya vizuri zaidi hivyo usitumie loading test kufanya hitimisho la simu fulani ni nzuri zaidi.
 
sometime hazina maana, kuzi fake ni rahisi sana, mfano naweza kufungua hizo apps kwenye simu ya kwanza kisha nikaziacha cache zichukuliwe then ndio nikaanza kurekodi, kila nikifungua app kwenye simu ya kwanza itaonekana zinafunguka upesi sababu tayari kuna cache.

Pia Naweza simu ya kwanza kudisable animation kwenye developer option na ya pili kuongeza animation na ya kwanza kuonekana ina speed zaidi.

Na hata ikitokea mtengeneza video hayuko bias, kila os ina vitu vyake ambavyo inafanya vizuri zaidi hivyo usitumie loading test kufanya hitimisho la simu fulani ni nzuri zaidi.
Shukrani sana kwa maelekezo yakinifu. Binafsi nadhani, Android wakiondoa emulator in the launching process inaweza kupunguza/kuondoa lags katika app launch process.
Nadhani Project Fuschia ndo italeta haya.
 
Shukrani sana kwa maelekezo yakinifu. Binafsi nadhani, Android wakiondoa emulator in the launching process inaweza kupunguza/kuondoa lags katika app launch process.
Nadhani Project Fuschia ndo italeta haya.
Ni kweli mkuu hata walipotoa dalvik na kuleta runtime mpya ya ART perfomance boost ilikuwa ni kubwa,

Ila Fuchsia ni os mpya tofauti sidhani kama ina uhai kwa kipindi cha karibuni, inaweza isizinduliwe kabisa.
 
Ni kweli mkuu hata walipotoa dalvik na kuleta runtime mpya ya ART perfomance boost ilikuwa ni kubwa,

Ila Fuchsia ni os mpya tofauti sidhani kama ina uhai kwa kipindi cha karibuni, inaweza isizinduliwe kabisa.
Kwa namna inavyoonekana, Google hawana muda mrefu sana na Android. Ni kama wanaji'distance nayo hivi (cheki hata kwenye event ya Pixel 3 & 3 XL, hawakutamka neno "Android" mara nyingi kama ilivyokuwa hapo awali).
Na Fuschia wakija kui'launch itakuwa na uwanda mpana sana wa matumizi, talking of the IoT. Let's wait and see, bruv!
 
Kwa namna inavyoonekana, Google hawana muda mrefu sana na Android. Ni kama wanaji'distance nayo hivi (cheki hata kwenye event ya Pixel 3 & 3 XL, hawakutamka neno "Android" mara nyingi kama ilivyokuwa hapo awali).
Na Fuschia wakija kui'launch itakuwa na uwanda mpana sana wa matumizi, talking of the IoT. Let's wait and see, bruv!
issue ni Apps mkuu, kuna os kibao nzuri hazina apps,
 
Habari wakuu kwa wataalamu wa iphone mnaweza kuniambia ni kwa nini iphone zina lagg sana hasa iphone 5, 5s, 6 na six plus. Binafsi nina i phone 5s ilikua inalagg sana nikadhani ni software nimeupdate still tatizo liko palepale nikakutana na ndugu zangu wawili wote nao zao zina same issue mmoja ameniachia nimpelekee kwa fundi kutokana na nature ya majukumu yake. Kama kuna mtu ni mtaalamu naomba anielekeze nifanye nini nifurahie tunda langu asante
 
Habari wakuu kwa wataalamu wa iphone mnaweza kuniambia ni kwa nini iphone zina lagg sana hasa iphone 5, 5s, 6 na six plus. Binafsi nina i phone 5s ilikua inalagg sana nikadhani ni software nimeupdate still tatizo liko palepale nikakutana na ndugu zangu wawili wote nao zao zina same issue mmoja ameniachia nimpelekee kwa fundi kutokana na nature ya majukumu yake. Kama kuna mtu ni mtaalamu naomba anielekeze nifanye nini nifurahie tunda langu asante
Issue mkuu ni hardware za kizamani na os mpya.

Kama nilivyokuwa nabishana na jamaa hapo juu, Apple wana tabia fulani kuwa simu zao hazihitaji hardware kubwa hivyo kuweka specs ndogo ila kwa long term zinasababisha hayo matatizo.

Mfano kipindi hio iphone 5s na mpaka 6 zinatoka ziliwekwa ram 1gb tu. Leo hii kwenye software ya 2018 ambayo inarun kwenye simu ya 4gb ram usitegemee simu yako ya 1gb kuwa smooth. Na jinsi unavyoi update ndio unavyoongeza uzito kwa kuweka software latest zaidi.

Kama upo comfortable downgrade to ios 10
 
Mkuu nashukuru sana kwa mchango wako je nawezaje kudowngrade? Na nikidowngrade nitapata app latest kweli?
Issue mkuu ni hardware za kizamani na os mpya.

Kama nilivyokuwa nabishana na jamaa hapo juu, Apple wana tabia fulani kuwa simu zao hazihitaji hardware kubwa hivyo kuweka specs ndogo ila kwa long term zinasababisha hayo matatizo.

Mfano kipindi hio iphone 5s na mpaka 6 zinatoka ziliwekwa ram 1gb tu. Leo hii kwenye software ya 2018 ambayo inarun kwenye simu ya 4gb ram usitegemee simu yako ya 1gb kuwa smooth. Na jinsi unavyoi update ndio unavyoongeza uzito kwa kuweka software latest zaidi.

Kama upo comfortable downgrade to ios 10
 
Hizo benchmarks zina mapungufu mengi sana mkuu hasa huu ulimwengu wetu wa sasa, kama unazitumia zikupe tu rough idea ya perfomance,

Hao geekbench waliclaim kuwa tayari processor ya kwenye iphone ina nguvu kushinda processor za laptop kama i5, i7 etc Anandtech wakaja kufanya test zao kwa benchmarking nyengine inaitwa spec2006 na wakapata tofauti.

Pia kampuni za kichina wanazichezea sana mfano Huawei akiingia humo lazima kirin ionekane ipo juu, ila ukija kwenye real world test inakuwa simu inapitwa.

Kifupi dunia ya sasa anae sponsor ndie ambaye score zake zitaonekana nzuri, hivyo kama unataka kuchagua simu ni vyema ukaangalia real world perfomance, ama tumia site zinazoingia deep kuchambua vitu kama vile anandtech.
So kwa nini iPhone hazina RAM kubwa? unaweza nijibu hapo chief
 
Ukitoa kampuni ya Apple na Samsung. ..simu gani nzuri mfano yenye camera kali na inayokaa na charge vizuri?
 
Ukitoa kampuni ya Apple na Samsung. ..simu gani nzuri mfano yenye camera kali na inayokaa na charge vizuri?
Huawei wapo Vizuri kwa hivyo vitu ulivyovitaja Camera na Battery. Na pia simu zao zinadrop sana bei,

Sema kama ni mtu wa flagship tafuta pro series ndio zina camera nzuri kuliko model za kawaida.
 
Kwani wangapi wana uwezo wa kununua iphone 8 achilia mbali flagship ya mwaka jana na mwaka huu!!!!

Msiwe na mitazamo ya ajabu namna hii mnakosa hoja za msingi.

Mwenye uwezo wa kununua iphone ana uwezo wa kununua android yoyote ila wengi wa wenye uwezo wa android hawawezi afford iphone, siyo kwamba watu hawazipendi iphone, sema uchumi unabana
 
Back
Top Bottom