1. Flagship ya oppo entry device inaanzia dola 1000 kuendelea, same kwa mchina mwengine ambaye ataweka latest specification kwenye simu yake, simu inauzwa bei rahisi sababu inakuwa haina vitu fulani. Same kwa wengine kama kina huawei flagship zao baadhi zinazidi hadi dola 1000. Huyo samsung nae pia ana vimeo vyake vinauzwa rahisi kama simu za kichina mfano on series.
2. Hayo ni matumizi yako, wengine matumizi yao yanahitaji simu kubwa zaidi, kuna watu matumizi yao ile simu ya kisasa zaidi haiwezi yatimiza hivyo ananunua yenye nguvu zaidi kila mwaka ili aweze kuyatimiza hayo matumizi angalau kwa asilimia kadhaa.
Mfano game jipya la android ambalo ni port ya pc linaitwa fortinite linahitaji hizi specs.
-Ram 3GB
-free space 3GB
-GPU adreno 530 na mali G72 MP12 ama zaidi
Hizo gpu zote ni flagship class GPU hakuna kisimu cha mwenzangu na mimi kitachorun hata kiwe na oreo ama android pie, sasa mtu hela anayo anataka kucheza hilo game kwanini asinunue kitu roho inapenda?
Hilo ni moja bado kuna emulation, conversion, multitasking, note taking, display quality, camera, warranty nzuri etc vyote vinapatikana kwa ubora zaidi kwenye simu highend kuliko simu lowend ama za zamani.