Kwanini siku hizi Imekua rahisi sana kufanya tendo na mpenzi wako muda mfupi tu baada ya kuwa wapenzi?

Habarini!

Najiuliza sana hili swali nashindwa kupata Majibu kulikoni sasahivi imekua very easy kufanya Mapenzi na mpenzi wako mpya yaani anaweza akakubali asubuhi, mchana akaja mkafanya yenu.

Au akakubali leo kesho akaja, hii imeletwa na nini?

Kitambo kidogo ilikuwa hadi mkae muaminiane, siku hizi mbona imekua hivyo ni kizazi au kuna kingine?
Hiki ni kizazi ambacho sex is cheap
"Sex rampant society"
 
Ni nyeg** ndio zinawasabanisha mnyanduane au kunalingine😎
Habarini!

Najiuliza sana hili swali nashindwa kupata Majibu kulikoni sasahivi imekua very easy kufanya Mapenzi na mpenzi wako mpya yaani anaweza akakubali asubuhi, mchana akaja mkafanya yenu.

Au akakubali leo kesho akaja, hii imeletwa na nini?

Kitambo kidogo ilikuwa hadi mkae muaminiane, siku hizi mbona imekua hivyo ni kizazi au kuna kingine?
 
Tatizo lilianzia pale uhusiano ulipo advance toka kwenye mfumo wa Barter Trade kwenda kwenye Business transaction.

Men want sex,,,women want money...Ni exchange process.

Ni transition tu kutoka kwenye mfumo wa awali kipindi ambacho uongo na unafiki ulikuwa na nguvu (dark ages) mpaka sasa ambako tuko kwenye ukweli na uwazi (information age). Watu wako well informed na globalised.

Watoto wa kike washagundua kuwa baada ya porojo za nakupenda sana nakuona kwenye glass dhima hasa ni kuvuliwa chupi tu yani care na upendo ni kama geresha tu sababu they mostly ended being dumped.Hii ilipoteza muda mrefu mno kuanzia 3 months to years to get engaged in bed activity ila takes a few days before being dumped.

Kwahio wamefupisha process tu mambo yasiwe mengi as long as una anachoweza nufaika nacho basi ata respond positively na wengi likely wanavutiwa na pesa tu na material stuffs. Anakulia pesa zako for sometime kisha anakupa usuuze rungu.

Ndio mfumo wa kisasa, change comes with pains always kwahio huu mfumo kuna ambao wanaumia nao ila ndo mabadiliko yalivyo siku zote.
 
Tatizo lilianzia pale uhusiano ulipo advance toka kwenye mfumo wa Barter Trade kwenda kwenye Business transaction.

Men want sex,,,women want money...Ni exchange process.

Ni transition tu kutoka kwenye mfumo wa awali kipindi ambacho uongo na unafiki ulikuwa na nguvu (dark ages) mpaka sasa ambako tuko kwenye ukweli na uwazi (information age). Watu wako well informed na globalised.

Watoto wa kike washagundua kuwa baada ya porojo za nakupenda sana nakuona kwenye glass dhima hasa ni kuvuliwa chupi tu yani care na upendo ni kama geresha tu sababu they mostly ended being dumped.Hii ilipoteza muda mrefu mno kuanzia 3 months to years to get engaged in bed activity ila takes a few days before being dumped.

Kwahio wamefupisha process tu mambo yasiwe mengi as long as una anachoweza nufaika nacho basi ata respond positively na wengi likely wanavutiwa na pesa tu na material stuffs. Anakulia pesa zako for sometime kisha anakupa usuuze rungu.

Ndio mfumo wa kisasa, change comes with pains always kwahio huu mfumo kuna ambao wanaumia nao ila ndo mabadiliko yalivyo siku zote.
Point sana💪💪
 
Back
Top Bottom