Kwanini siku hizi Bar hazina watu?

Kwanini siku hizi Bar hazina watu?

Mtaani ni rahisi hamna usumbufu wala majaribu unabaki njia kuu

inamaana kinafanya unakosa hamu<

ila kiroba hakitaki kuremba kama serenget, yaan sekunde tu umemaliza na kuendelea na kaz zako. ila mchupa mpaka ukae wakuletee glas,,, ni kupoteza mda
 
tatizo sio pesa mzazi...tatizo sukari...halafu siku hizi ukiona mtu anapagawa na bar kubwa kubwa kama ulizo zitaja basi huyo wakuja..kuna vi pub uswahilini unapokaa vikali kinoma..habari za unakaa tabata unaenda kunywa bia masaki zilipitwa na wakati..

all in all dokta kashauri watu wawe wanajogi ili kupunguza idadi ya vijana wanaotumia viagra
 
Wana jamii mm ni mnywaji mzuri sana wa bar tofauti tofauti, lkn cha kushangaza siku za hivi karibuni nikienda bar watu wamepungua sana kwa kiasi kikubwa, anzia bar kubwa kama rozi gaden, kona bar brek point, igo bar watu , uhuru peak bar masai clabu jakalanda pub, mk bar, kote huko watu hamna,na bar nyingine nyingi dar, swali je ni uchumi umeyumba au ni bar zimekuwa nyingi? Swali la pili ni watu wameamua kuokoka na kumedia mungu? Wana jamii naombeni tusaidiane maoni

mbona hueleweki wewe ni mnywaji wa Bar tofauti tofauti kivipi?
Any way bar hazina watu ila zina mbwa?
 
Mmewanyanyasa sana mafisadi ona sasa wamefinya mirija yote ya fedha.
 
Big john ,java na tanzanite watu hakuna aisee,back to the topic huu ni mwisho wa mwaka watu wanajipanga kwa ajili ya sikuu na kujiandaa na balaa la mwezi wa kwanza maana una watoto wa nne wote ada milion mbili kila mmoja kazi yenyewe kwa manji quality group
 
Wana jamii mm ni mnywaji mzuri sana wa bar tofauti tofauti, lkn cha kushangaza siku za hivi karibuni nikienda bar watu wamepungua sana kwa kiasi kikubwa, anzia bar kubwa kama rozi gaden, kona bar brek point, igo bar watu , uhuru peak bar masai clabu jakalanda pub, mk bar, kote huko watu hamna,na bar nyingine nyingi dar, swali je ni uchumi umeyumba au ni bar zimekuwa nyingi? Swali la pili ni watu wameamua kuokoka na kumedia mungu? Wana jamii naombeni tusaidiane maoni
Hili tatizo limesababishwa na foleni za hapa jijini,unakunywa bia halafu unakaa kwenye foleni masaa 3 unapofika nyumbani pombe yote imekata,hatimaye watu wakaona suluhu ni baa za karibu na nyumbani,hasara ni kuwa ukifika bia ya pili wife huyu kakufuata anataka urudi nyumbani au anaanzisha zali akikuta umekaa na barmaid,kuepusha shari watu wameamua kunywea majumbani mwao.
 
Wana jamii mm ni mnywaji mzuri sana wa bar tofauti tofauti, lkn cha kushangaza siku za hivi karibuni nikienda bar watu wamepungua sana kwa kiasi kikubwa, anzia bar kubwa kama rozi gaden, kona bar brek point, igo bar watu , uhuru peak bar masai clabu jakalanda pub, mk bar, kote huko watu hamna,na bar nyingine nyingi dar, swali je ni uchumi umeyumba au ni bar zimekuwa nyingi? Swali la pili ni watu wameamua kuokoka na kumedia mungu? Wana jamii naombeni tusaidiane maoni

Siku nyengine sema wewe ni MLEVI MZURI ndio utaeleweka. Ukisema mnyeaji tu hatutajua mywaji wa kinywaji gani togwa, maji au soda. Lakini lakisema wewe ni MLEVI tutajuwa wewe ni wale wanaokunywa ULEVI mpaka wakadondoka na kujisaidia kwenye suruali.
7ff77c274524381801f83c9f4476a492.jpg
089463dbd2918aba57f077ae57ffcd5c.jpg

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Mmmh! watu wengi ni wagonjwa wa maradhi mbalimbali kuanzia malaria, pressure, figo, uhanithi, kisukari, HIV na ugumba. Hivyo, baadhi ya masharti wanayopewa na madaktari wao kutibu maradhi yao ni kuacha kunywa pombe, hence low attendance.

Ni kweli waliokuwa wanywaji wakubwa wa pombe wengi wako hoi kwa maradhi.Pia watu hela wanazo kidogo.Wanakunywa siku kama tano za mwisho wa mwezi ndio utaona baa zimejaa sana.Baada ya tarehe hizo wanapotea.
Lakini baa zitaanza kujaa sana mwakani kabla ya uchaguzi.Kampeni nyingi za kisiasa na vikao vya kampeni huendeshwa kwenye mabaa.
 
Dah mimi sijui nimekua? Nina mwezi sijagusa kinywaji na hata hapo awali ilikua nakunywa mwenyewe. Kwa sasa yani idea ya kwenda bar imentoka kabisaaaa! Imekua pointless kiaina. Sijui mamii kanipiga pingu kijanja. sababu ni job, gym, home. Fullu stopu! Weekend kucheki miradi na kutulia tu.

Safi kabisa Mungu azidi kukuongoza na atuongoze sote
Amin.
 
siku hizi watu wameacha pombe wamehamia kny ile makitu inafanyikia guest/lodge manake
pombe samtym upo na jamaa zako raundi inakuhusu lakin guest/lodge unapiga peke yako kwa raha zako..
 
Wana jamii mm ni mnywaji mzuri sana wa bar tofauti tofauti, lkn cha kushangaza siku za hivi karibuni nikienda bar watu wamepungua sana kwa kiasi kikubwa, anzia bar kubwa kama rozi gaden, kona bar brek point, igo bar watu , uhuru peak bar masai clabu jakalanda pub, mk bar, kote huko watu hamna,na bar nyingine nyingi dar, swali je ni uchumi umeyumba au ni bar zimekuwa nyingi? Swali la pili ni watu wameamua kuokoka na kumedia mungu? Wana jamii naombeni tusaidiane maoni

Ninakuombea umrudie Mungu,maana mwisho wa yote utapotea milele.
 
Wiki nzima sijaenda Bar nimefulia, labda na wenzangu sababu ni hizo hizo kufulia. Naionea huruma serikali yangu inategemea hizo bia tunywe ipate ushuru
 
Jibu sahihi wanalo TBL na maagent wa vileo. kuna hotel ipo Tabata nilimpeleka mgeni wangu akalale nilishangaa sana kuambiwa vyumba vimejaa, walinipa chumba baada ya kuwabana na wananifahamu iko chumba ndio kilikuwa cha mwisho walikiweka akiba.

imagine sehemu ya pembeni kama Tabata hotel tena ya ghorofa vyumba vinajaa.
 
Mmmh! watu wengi ni wagonjwa wa maradhi mbalimbali kuanzia malaria, pressure, figo, uhanithi, kisukari, HIV na ugumba. Hivyo, baadhi ya masharti wanayopewa na madaktari wao kutibu maradhi yao ni kuacha kunywa pombe, hence low attendance. Acha mwenyewe leo kunywa pombe kabla hujaambiwa na dk. wako uache kunywa pombe. Watu wamegeukia kunywa Tanga fresh na mlonge, na kula matunda tu.
Wewe unakunwa bar kumbe siku hizi bar nayo inanyweka.
 
Kwa kifupi wengi wetu tumebadilika kwa sababu tifauti. 1. Uchumi wetu umechoka. Purchasing power ya mtanzania wa kawaida ni dhaifu sana. Biashara nyingi zinakufa natural death matokeo ni wengi kudaiwa na mabenki. 2. Majukumu ktk familia has taken toll. School fees paid through the nose! 2. Mabadiliko ya attitude in general. Kuosha jina mujini! Mademu hawaishi so is HIV. Wakuja ndio waosha macho corner bar au boda boja wanavyojaa sansiro na nk nk. Wengi tumepunguza sana na tukinywa ni karibu na home na wote majirani tunajuana na lengo sio mademu.
 
Back
Top Bottom