Nilienda Bar moja Njombe nilivyogombewa na wahudumu nilishangaa sana.
Mapinduzi ya virobaMbona viroba vipo mpaka bar
Wanajamii mimi ni mnywaji mzuri sana wa bar tofauti tofauti, lakini cha kushangaza siku za hivi karibuni nikienda bar watu wamepungua sana kwa kiasi kikubwa.
Anzia bar kubwa kama Rozlsi Garden,Corner bar, Break point, Igo bar watu , Uhuru Peak bar,Masai club, Jakalanda pub,.MK bar kote huko watu hamna na bar nyingine nyingi Dar.
Swali, je ni uchumi umeyumba au ni bar zimekuwa nyingi?
Swali la pili, ni watu wameamua kuokoka na kumrudia Mungu?
Wanajamii naombeni tusaidiane maoni.
Mkuu,
Ile deal ya EPA iliwapitia watanzania wengi,hivyo watuwengi walipata mgao,ila hii ya ESCROW akaunti imegusa fammilia nne tu!
Lazima watu waache kwenda baa!
Wanajamii mimi ni mnywaji mzuri sana wa bar tofauti tofauti, lakini cha kushangaza siku za hivi karibuni nikienda bar watu wamepungua sana kwa kiasi kikubwa.
Anzia bar kubwa kama Rozlsi Garden,Corner bar, Break point, Igo bar watu , Uhuru Peak bar,Masai club, Jakalanda pub,.MK bar kote huko watu hamna na bar nyingine nyingi Dar.
Swali, je ni uchumi umeyumba au ni bar zimekuwa nyingi?
Swali la pili, ni watu wameamua kuokoka na kumrudia Mungu?
Wanajamii naombeni tusaidiane maoni.
hata huko baa kunaweza kuwepo wacha Mungu wachache ambao ni wanywaji tu.
kweli kabisa, mibaa mikubwa sikuhizi naona ushamba. vipub ndo mpango kwanza hakuna kurusha chupa ovyo, watu mnakuwa wengi mnafahamiana hivyo story kunoga, unaweza omba nyimbo naa ukapigiwa. labda kama unatafuta malaya.pamoja na hayo pia kuna mapinduzi yamefanyika. Siku hizi kuna vipub vidogo vizuri vimetapakaa vya kuacomodate watu kama ishirini full kiyoyozi na wahudumu wa ukweli so zile bar za zamani zinazokutanisha watu alfu moja utadhani mkutano wa kijiji lazima zijipange lasivyo zitabaki kufanya vikao vya harus. Kwanza hazina privacy.
Kweli mkuu mambo digitalkweli kabisa, mibaa mikubwa sikuhizi naona ushamba. vipub ndo mpango kwanza hakuna kurusha chupa ovyo, watu mnakuwa wengi mnafahamiana hivyo story kunoga, unaweza omba nyimbo naa ukapigiwa. labda kama unatafuta malaya.