Tangu wenye ma-bar walivyoanza kutembea na wahudumu wao na wateja nao wakawasusia bia zao.
Hhahahahahahahaa kuna kaukweli ndani yake
Tangu wenye ma-bar walivyoanza kutembea na wahudumu wao na wateja nao wakawasusia bia zao.
Tatizo pesa zote zimeibiwa na kina pinda na kundi lake
Na afadhali zile za Epa walipiga zikaingia kwenye mzunguko lakini hizi za Pinda na Werema wameenda kuzichimbia nje
Ndio maana unaona hata serekali haina pesa za kununua dawa,sasa kama dawa hamna nchi nzima hizo bia zinanyweka vipi?
Tusubiri subiri uchaguzi ukaribie waende kwenye machimbo yao walipoziifadhi hizo pesa walete mtaani kuhonga watu hapo utaona bar zote tanzania zinajaa na watu wanaongea siasa!!
Ila kuna ukweli coz kiwanja changu "masai ya kino karbia na uhuru peak" watu wamepungua. But kuna mademu wakareeee ndo maana huwa cpakoci
Wana jamii mm ni mnywaji mzuri sana wa bar tofauti tofauti, lkn cha kushangaza siku za hivi karibuni nikienda bar watu wamepungua sana kwa kiasi kikubwa, anzia bar kubwa kama rozi gaden, kona bar brek point, igo bar watu , uhuru peak bar masai clabu jakalanda pub, mk bar, kote huko watu hamna,na bar nyingine nyingi dar, swali je ni uchumi umeyumba au ni bar zimekuwa nyingi? Swali la pili ni watu wameamua kuokoka na kumedia mungu? Wana jamii naombeni tusaidiane maoni
Nmekunywa sana hapo meridian.
Kiroba kimeleta mapinduzi