Baa ni maskani ya ibilisi na washirika wake. Watu wapo kwenye nyumba za ibada
Sijakuelewa..
Mbona Gwajima anashinda kanisani lakini kavunja ndoa ya mtu na kuzini na Flora...
Wanajamii mimi ni mnywaji mzuri sana wa bar tofauti tofauti, lakini cha kushangaza siku za hivi karibuni nikienda bar watu wamepungua sana kwa kiasi kikubwa.
Anzia bar kubwa kama Rozlsi Garden,Corner bar, Break point, Igo bar watu , Uhuru Peak bar,Masai club, Jakalanda pub,.MK bar kote huko watu hamna na bar nyingine nyingi Dar.
Swali, je ni uchumi umeyumba au ni bar zimekuwa nyingi?
Swali la pili, ni watu wameamua kuokoka na kumrudia Mungu?
Wanajamii naombeni tusaidiane maoni.
Sijakuelewa..
Mbona Gwajima anashinda kanisani lakini kavunja ndoa ya mtu na kuzini na Flora...
SEMA WATU WANAOINGIA BAR NI WACHACHE SIO HAKUNA WATU. INAMAANAwanajamii mimi ni mnywaji mzuri sana wa bar tofauti tofauti, lakini cha kushangaza siku za hivi karibuni nikienda bar watu wamepungua sana kwa kiasi kikubwa.
Anzia bar kubwa kama rozlsi garden,corner bar, break point, igo bar watu , uhuru peak bar,masai club, jakalanda pub,.mk bar kote huko watu hamna na bar nyingine nyingi dar.
Swali, je ni uchumi umeyumba au ni bar zimekuwa nyingi?
Swali la pili, ni watu wameamua kuokoka na kumrudia mungu?
Wanajamii naombeni tusaidiane maoni.
wanajamii mimi ni mnywaji mzuri sana wa bar tofauti tofauti, lakini cha kushangaza siku za hivi karibuni nikienda bar watu wamepungua sana kwa kiasi kikubwa.
Anzia bar kubwa kama rozlsi garden,corner bar, break point, igo bar watu , uhuru peak bar,masai club, jakalanda pub,.mk bar kote huko watu hamna na bar nyingine nyingi dar.
Swali, je ni uchumi umeyumba au ni bar zimekuwa nyingi?
Swali la pili, ni watu wameamua kuokoka na kumrudia mungu?
Wanajamii naombeni tusaidiane maoni.
Wanajamii mimi ni mnywaji mzuri sana wa bar tofauti tofauti, lakini cha kushangaza siku za hivi karibuni nikienda bar watu wamepungua sana kwa kiasi kikubwa.
Anzia bar kubwa kama Rozlsi Garden,Corner bar, Break point, Igo bar watu , Uhuru Peak bar,Masai club, Jakalanda pub,.MK bar kote huko watu hamna na bar nyingine nyingi Dar.
Swali, je ni uchumi umeyumba au ni bar zimekuwa nyingi?
Swali la pili, ni watu wameamua kuokoka na kumrudia Mungu?
Wanajamii naombeni tusaidiane maoni.
Nani kasema hazina watu?
Juzi nilikuwa Moro nikapita bar moja iko Kihonda misitu inaitwa Vibe, yaani watu nyomi hatari!