emmadizzo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 1,340
- 1,436
Habari zenu wanajf ,kama kichwa cha habari kinavyosema ni hivi..
Jumatatu
apo kuna majina mawili juma na tatu,juma linafaamika sana na tatu linafaamika pia nilakike katika zunguka yangu nilkutana na tatu kama wanne wote waisilamu.
Jumanne
ili linafaamika ingawa pia kunawakristu hulitumia lakini wengi wao waisilamu.
Jumatano
Apa juma kamakawaida lakini tano sijawai liskia popote.
Alhamisi
Apa kunamajina mawili kuna Ali na Hamisi.
Ijumaa
Apa nilshakutana na watu wanaitwa "jumaa"kama wa tatu ivi ni waisilamu.
Jumamosi
Apa lipo jina la "juma" ila "mosi"sijawai kuliskia
Jumapili
Apa yapo majina mawili tena kuna "juma" na "Pili"nilishakutana na jina la Pili mala tatu wote waislamu.
Kwa ayo majina hakuna tatzo lolote ila tu kwanini yatoke upande mmoja
Karibuni ndugu mnipe majibu.....
Jumatatu
apo kuna majina mawili juma na tatu,juma linafaamika sana na tatu linafaamika pia nilakike katika zunguka yangu nilkutana na tatu kama wanne wote waisilamu.
Jumanne
ili linafaamika ingawa pia kunawakristu hulitumia lakini wengi wao waisilamu.
Jumatano
Apa juma kamakawaida lakini tano sijawai liskia popote.
Alhamisi
Apa kunamajina mawili kuna Ali na Hamisi.
Ijumaa
Apa nilshakutana na watu wanaitwa "jumaa"kama wa tatu ivi ni waisilamu.
Jumamosi
Apa lipo jina la "juma" ila "mosi"sijawai kuliskia
Jumapili
Apa yapo majina mawili tena kuna "juma" na "Pili"nilishakutana na jina la Pili mala tatu wote waislamu.
Kwa ayo majina hakuna tatzo lolote ila tu kwanini yatoke upande mmoja
Karibuni ndugu mnipe majibu.....