Nifundishe Shemeji Kifaransa
Ukitoka hapo utakuja kuuliza kwanini majina ya miezi yanatumika na viongozi wa serikali, mfano kuna January Makamba.Habari zenu wanajf ,kama kichwa cha habari kinavyosema ni hivi..
Jumatatu
apo kuna majina mawili juma na tatu,juma linafaamika sana na tatu linafaamika pia nilakike katika zunguka yangu nilkutana na tatu kama wanne wote waisilamu.
Jumanne
ili linafaamika ingawa pia kunawakristu hulitumia lakini wengi wao waisilamu.
Jumatano
Apa juma kamakawaida lakini tano sijawai liskia popote.
Alhamisi
Apa kunamajina mawili kuna Ali na Hamisi.
Ijumaa
Apa nilshakutana na watu wanaitwa "jumaa"kama wa tatu ivi ni waisilamu.
Jumamosi
Apa lipo jina la "juma" ila "mosi"sijawai kuliskia
Jumapili
Apa yapo majina mawili tena kuna "juma" na "Pili"nilishakutana na jina la Pili mala tatu wote waislamu.
Kwa ayo majina hakuna tatzo lolote ila tu kwanini yatoke upande mmoja
Karibuni ndugu mnipe majibu.....
Na pia kuna watu wanaitwa kina Sande (Sunday) hilo sijui hakuliona..!!!Kweli hata
Monday
Tuesday
Wednesday
Thursday
Friday
Nayo ni kiisilam
Alkhamisi inatokana na neno la kiarabu 'khamsa' yaani tano, kumbuka kwa kiarabu jumapili ni Al-ahad yaani (siku ya) 'kwanza' ikaendelea hivyo hivyo 'Al-Ithnaan' yaani (siku ya) 'pili' vivyo hivyo mpaka 'Al-khaamis' yaani (siku ya) tano.Nilifikiri kuna tofauti kati ya kiarabu lugha na uislamu dini. Pili hata mimi nisiejua kiarabu najua juma ni kitambulisho cha mwanzo cha siku fulani ndani ya wiki. Mosi, pili, tatu, nne na tano ni namba. Labda alhamisi na Ijumaa ndio tofauti. Ni vizuri tujue kama haya yana maana gani au imekuwaje yasiitwe jumasita na jumasaba? Nawasilisha.
Sio chote mkuu, ila ni sehemu kubwaKiswahili chote kimeanzia kwa waislam
Merci Mon ami!
french iko sexy sana
"Kiswahili chote" mkuu uliponukuu nakushauri urudi ujisomee halafu ndo uje ukomenti. Usidanganye watu.Kiswahili chote kimeanzia kwa waislam
Why mkuu unasema iko sexy, many people say iko sexy,.. mbona kama sioni hilo.
hahaha kweli great thinkerKweli hata
Monday
Tuesday
Wednesday
Thursday
Friday
Nayo ni kiisilam
Asilimia 90 ya watanganyika tungeweza kusoma kuruani.Hii mpya kama kiswahili ni kiarabu! !! Yaani nikiingia uarabuni napiga kiswahili nao wanapiga kiarabu tunaelewana! !!!! Sidhani hata kama kuna maneno lukuki ya kiarabu.
"Kiswahili chote" mkuu uliponukuu nakushauri urudi ujisomee halafu ndo uje ukomenti. Usidanganye watu.
Siku ya kwanza ni JumamosiInamaana in Arabic Sunday ni siku ya kwanza....