Mkuu Vyama Vingi,
Utekelezaji wa miradi yoyote, hutegemea mambo matatu, 1.progression, 2. logistics na 3. econimic viability.
1. Kwa vile Kigoma ni pembezoni, ujenzi wa mradi wowote utaanzia mwanzo na kumalizikia mwisho. Hivyo ndivyo ilivyo, kama ujenzi wa nyumba, unaanzia chini unakwenda juu. Barabara na reli, unaanzia mwanzo, unamalizia na Mwisho, Kigoma iko mwishoni, hii inaitwa logical progression, huwezi kuanza mwisho ukaruka katikati.
2. Logistics zina determine mradi uanzie wapi, mfano ujenzi wa bomba la mafuta la Hoima Uganda hadi Chongoleani, Tanga, japo mwanzo wa mradi ni Uganda, kufuatia logistics za kupokea mzigo ni bandari ya Tanga, then ujenzi utaanzia Tanga kwenye easy logistics kuelekea Uganda. Kigoma ingekuwa na easy logistics, SGR ingeanzia Kigoma. Japo Tanzania tuna Bandari, mizigo mingi ya Tanga, Moshi na Arusha, inapitia bandari ya Mombasa kwa ajili ya proximity for logistical reasons, kuliko bandari ya Dar ambayo ni mbali zaidi.
3. Economical viability. Ili SGR yoyote iweze kuoparate kwa faida, it has to link up na nchi nyingine. Plan ya SGR ya Mombasa ilikuwa i link up na Uganda, Uganda i link up na Rwanda. Kitendo cha Kagame kujitoa ku link up na Uganda, na badala yake SGR yetu ndio ita link up na Rwanda, kumepelekea SGR ya Mombasa kuwa a loss making white elephant. Baada ya Rwanda kujitoa, Uganda inasua sua, funders wa kipande cha kuunganisha Mombasa na Kampala kagoma kutoa pesa kwa sababu it will be loss making.
Hata SGR yetu, kipande cha Dar-Moro-Dodoma ni loss making hadi itakapo cross Isaka na link up na Rwanda.
SGR ya Mwanza ni more economic viable kwa sababu itakwenda hadi Uganda. SGR ya Kigoma is just a dead end unless in future East DRC ita link. Hivyo ni faida zaidi kuanza na Mwanza kuliko Kigoma for economical viability.
Pole.
P