Kwanini SGR inatangulia Mwanza kabla ya Kigoma?

Kwanini SGR inatangulia Mwanza kabla ya Kigoma?

Umesoma au umeamua kubisha tu. Mimi nimekupa reference, nawe nipe reference. Unapobisha uwe na ushahidi, sio kubisha tu.

Vv
Rwanda ni nchi ninayoifahamu, nimeishi na ninaishi. Unataka reference ya mambo yanayoonekana? wewe unanishauri nisome magazeti ya kiingereza ili kujua Rwanda inavyo fumble?
 
Rwanda ni nchi ninayoifahamu, nimeishi na ninaishi. Unataka reference ya mambo yanayoonekana? wewe unanishauri nisome magazeti ya kiingereza ili kujua Rwanda inavyo fumble?
Haya mkuu, lkn kuna wengine wanaifahamu kuliko unavyoifahamu wewe, mtu anayependa maarifa hawezi kuacha kujifunza wengine wamesema nini juu ya jambo lilelile. Anayetaka kujua hachoki kutaka kujua zaidi, anayeamini anajua sana, huyo bado hajajua kama inavyopasa.

Vv
 
Kigoma imetengwa kwa muda mrefu, kwenye miradi yote ya maendeleo imepelekewa ikiwa ýa mwisho. Barabara ya lami imepelekewa baada ya mikoa yote kuwa imeshaunganishwa. Umeme wa gridi, itakuwa ya mwisho kuunganishiwa, na hata reli ya SGR itakuwa ya mwisho maana shurti ifike Mwanza kwanza.

Kigoma imepakana na nchi mbili- Burundi na Kongo, Mwanza imepakana na nchi moja pekee Uganda. Pili, Kigoma ina changamoto nyingi za miundombinu, ilipaswa ipewe kipau mbele kuliko Mwanza ambayo ina miundombinu yote, Uwanja wa Ndege na barabara za lami zinazoiunganisha na mikoa yote.

Napenda kujua, kwa nini Mwanza wanatanguliziwa SGR kabla ya Kigoma wakati Kigoma ni lango kuu kupeleka na kupokea mizigo kutoka Burundi na Congo ukilinganisha na Mwanza ambayo ni Uganda pekee?

Vv
Mliacha kulima mawese......tehe tehe tehe!!!! huu ni utani tuu.
 
Ubishi mwingine hauna maana. Kupeleka Mwanza inamaanisha wanufaika ni shinyanga, simiyu, mwanza, geita, kagera, mara.

Tabora- Kigoma mnufaika ni kigoma tu. Leo hii kusafirisha mizigo ya congo imekuwa ni bora kuliko watanzania walipa kodi!!


Wewe angalia economic benefits kwa nchi nzima siyo kuangalia economic benefits za kanda ya ziwa tu, SGR ikienda Kigoma kabla ya Mwanza licha ya hiyo reli kuanza kujilipa bali uchumi wa nchi utakuwa kwasababu utakuwa unahudumia population ya zaidi 30 million people or so in the eastern Congo and Burundi, Baada ya Kigoma ndipo reli ijengwe kwenda Mwanza, kumbuka haipingwi reli isijengwe kwenda Mwanza lakini swali ni kipaumbele kiwe wapi??.

Tunaona Siasa na Nepotism ndizo zimetamaliki katika masuala ya manufaa kwa nchi yote.
 
Kigoma imetengwa kwa muda mrefu, kwenye miradi yote ya maendeleo imepelekewa ikiwa ýa mwisho. Barabara ya lami imepelekewa baada ya mikoa yote kuwa imeshaunganishwa. Umeme wa gridi, itakuwa ya mwisho kuunganishiwa, na hata reli ya SGR itakuwa ya mwisho maana shurti ifike Mwanza kwanza.

Kigoma imepakana na nchi mbili- Burundi na Kongo, Mwanza imepakana na nchi moja pekee Uganda. Pili, Kigoma ina changamoto nyingi za miundombinu, ilipaswa ipewe kipau mbele kuliko Mwanza ambayo ina miundombinu yote, Uwanja wa Ndege na barabara za lami zinazoiunganisha na mikoa yote.

Napenda kujua, kwa nini Mwanza wanatanguliziwa SGR kabla ya Kigoma wakati Kigoma ni lango kuu kupeleka na kupokea mizigo kutoka Burundi na Congo ukilinganisha na Mwanza ambayo ni Uganda pekee?

Vv

Kupeleka Kigoma huduma ni vizuri, lakini inaenda kuhudumia watu million 2, kupeleka huduma Mwanza unenda kuhudumia watu million 21. Wengi hupendelewa, tena siasa ni hesabu na kwa vyovyote vile hesabu zitawapendelea Mwanza. ( unaanzia Tabora, Shinyanga , Simiyu, Geita, Kagera na Mara, Ni kama 62 % ya Watanzania ama wanaishi au wanatokea mikoa hii )
 
Kupeleka Kigoma huduma ni vizuri, lakini inaenda kuhudumia watu million 2, kupeleka huduma Mwanza unenda kuhudumia watu million 21. Wengi hupendelewa, tena siasa ni hesabu na kwa vyovyote vile hesabu zitawapendelea Mwanza. ( unaanzia Tabora, Shinyanga , Simiyu, Geita, Kagera na Mara, Ni kama 62 % ya Watanzania ama wanaishi au wanatokea mikoa hii )
Ubaguzi hautakusaidia kitu
 
Na

Airport.
Hospital ya Rufaa.
Tanapa HQ kwa kanda hiyo.
Chato NP
Traffic light

Hatupingi maendeleo ila vyote vimefanyika ndan ya miaka miwili.
Pia kuna hambavyo havina tiga...kwa sasa!! Mataa, uwanja.. ..
Traffic light zenye thamani ya boxer mmoja nayo ni nongwa?
Acha kukalili kama Kasuku.
 
Hivi hamna reli inayo enda Kigoma kweli.. Nakumbuka kwenye maarifa ya jamii.. Wale wenzangu tukumbushane hapa
Hivi ule uwanja wa ndege Chato unaingiza shilingi ngapi kwa mwaka?
 
Ubaguzi hautakusaidia kitu

Tulipeleka simu na umeme milimani kwetu Upareni na Uchagani, mkatoa maeneno mengi bila kutambua wakaazi wa milimani ni wengi kuliko wa mjini. Ni faida Kupeleka umeme milimani kuliko kuusamba Kwa wakaazi wa moshi mjini au Same na Mwanga. The economics of choices and focus.
 
Ingetangulia Kigoma mngeendeleza uzushi wenu kuwa Rais wetu(kipenzi) ni mburundi hivyo anaunganisha TZ na nchi yake...imetangulia Mwanza bado mnaleta kelele.!!!!

Binadamu hamridhiki..
Mizigo inayosafirishwa kuanzia na kuishia Mwanza ni mingi mno kuliko Kigoma kwa kutumia barabara na reli ya kati.
Mwanza ni economic potential hub kubwa kwa mazao ya Kanda ya ziwa kama pamba, kokoto,samadi,mbao,ngozi,katani,mahindi,mchele,ndizi,kahawa,samaki,wasafiri,kuelekea mashariki ya Tanzania na kwinginepo
Pia mizigo ya kutokea Mashariki ya nchi kwenda Kanda ya ziwa kama mafuta,saruji,nondo,mitambo,wasafiri,hardware,mabati,Fertilizern.k

Lakini ni kiungo muhimu kwa usafirishaji wa mizigo ya Uganda kwa kutumia bandari ya Dar-es-salaam na Tanga.
Mjomba Magu anacheza mchezo wa kumvutia Uganda atumie Mwanza kama njia mbadala ya kusafirisha mizigo yake kutumia Marine Ferries.

Kumbuka mizigo mizito ikisafirishwa kwa reli itaokoa barabara zetu na matengezo ya mara kwa mara.
 
Kupeleka Kigoma huduma ni vizuri, lakini inaenda kuhudumia watu million 2, kupeleka huduma Mwanza unenda kuhudumia watu million 21. Wengi hupendelewa, tena siasa ni hesabu na kwa vyovyote vile hesabu zitawapendelea Mwanza. ( unaanzia Tabora, Shinyanga , Simiyu, Geita, Kagera na Mara, Ni kama 62 % ya Watanzania ama wanaishi au wanatokea mikoa hii )
Kwahiyo unawashauri Kigoma wakazane kuzaliana wawe wengi.
 
Kigoma imetengwa kwa muda mrefu, kwenye miradi yote ya maendeleo imepelekewa ikiwa ýa mwisho. Barabara ya lami imepelekewa baada ya mikoa yote kuwa imeshaunganishwa. Umeme wa gridi, itakuwa ya mwisho kuunganishiwa, na hata reli ya SGR itakuwa ya mwisho maana shurti ifike Mwanza kwanza.

Kigoma imepakana na nchi mbili- Burundi na Kongo, Mwanza imepakana na nchi moja pekee Uganda. Pili, Kigoma ina changamoto nyingi za miundombinu, ilipaswa ipewe kipau mbele kuliko Mwanza ambayo ina miundombinu yote, Uwanja wa Ndege na barabara za lami zinazoiunganisha na mikoa yote.

Napenda kujua, kwa nini Mwanza wanatanguliziwa SGR kabla ya Kigoma wakati Kigoma ni lango kuu kupeleka na kupokea mizigo kutoka Burundi na Congo ukilinganisha na Mwanza ambayo ni Uganda pekee?

Vv
Tatizo kigoma wanapanda kwenye treni na miwa, kuku, nk.
 
Hata SGR yetu, kipande cha Dar-Moro-Dodoma ni loss making hadi itakapo cross Isaka na link up na Rwanda.

P
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imesema mwaka wa Fedha wa 2023/2024, Shirika la Reli Tanzania (TRC) lilipata hasara ya Shilingi bilioni 224 ikilinganishwa na Shilingi bilioni 102 mwaka uliopita.

CAG imesema hasara hiyo imechangiwa na kupungua kwa mapato ya usafirishaji kutokana na uhaba wa vichwa vya treni na mabehewa pamoja na mvua kubwa iliyosababishwa kufungwa kwa njia kwa miezi minne.

My Take
Mama akiyabinafsisha mnasema anauza mali zenu za Watanganyika,tuendelee hivi hivi Ili akili ziwakae sawa.
Mkuu ChoiceVariable , naunga mkono hoja kwenye mada yako hii Ripoti ya CAG: TRC imepata Hasara ya shilingi Bilioni 224. Ni Mara 2 ya mwaka uliopita
Mkuu Ngali, Ngalikihinja , asante kuni tag!, hili nimeiona and its not news to me kwasababu hili la hasara, nililiona kitambo, nikashauri kwa kuliandika Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta...

Tulipobinafshisha bandari kwa DPW, nikashauri tena kuhusu SGR, ATCL na DART Hakuna Ubaya Wowote kwa Mtu Yoyote, Taasisi Yoyote, Nchi Yoyote Kusaidiwa Pale Inaposhindwa, Muhimu ni Kuwa Makini Tusipigwe. Je DPW Tunapigwa?

P
 
Back
Top Bottom