Kwanini SGR inatangulia Mwanza kabla ya Kigoma?

Kwanini SGR inatangulia Mwanza kabla ya Kigoma?

Kigoma endeleeni na mradi wenu wa TELEZA reli itakuja. Tunaunganisha reli pande zote but tunaanza na kuliko na biashara na watu wengi. Sitasahau mlivyo kuwa wachafuzi wa mabehewa nyie kina Zitto!
Miradi ya aina hiyo imejaa Tanzania yote, tatizo kubwa ni umasikini na elimu duni.

Nenda Njombe, utakuta mauaji ya watoto, nenda Mbeya, utakuta uchunaji ngozi za watu, kupiga nondo na mengine, nenda Shinyanyanga, utakuta ushirikina wa ajabu hadi kwenye ngoma. Yaani ushirikina kila sehemu nchini.

Vv
 
Kigoma kuna nini cha maana mpaka wapelekewe reli ya kisasa? mradi wao wa TELEZA una watosha
 
Kigoma kuna nini cha maana zaidi ya kutegemea Burundi ambayo ni sawa na Wilaya ya Kahama? Kanda ya ziwa kuna migodi kibao ambayo matumizi ya mafuta ni zaidi ya Burundi angalia malori ya mafuta yanayopeleka mafuta kwenye migodi ya Kahama Geita Tarime Mwadui bado matumizi ya wananchi wa kawaida. Kweli unaweza kulinganisha population ya kanda ya ziwa na Kigoma?? You are kidding!
UNAJITAMBUA LAKINI??? UNAELEWA ULICHOANDIKA??
 
Mkuu Vv, karibu darasa hili

P
 
watanizangu bwana ngoja niwasaidie
  1. njia haina wapiga kura wengi wanaokiunga chama kama mwanza
  2. hakuna vigezo na fursa zilizosababisha kujengwa kwa reli mwanzo kama biashara ya utumwa na meno ya tembo hata ingekuwepo siku hizi waha wanakula chips hanawanguvu tena.
  3. wavumilivu na wanaakiba ya chakula kiasi wanaweza kutembea na chakula kilichopikwa bila mboga kwa siku zaidi ya saba
  4. wabishi
  5. bodo biashara za ndani ya nchi ni kubwa njia ya Mwanza kuliko kigoma
  6. lakini kwa kuwa Kigoma ni mwisho wa reli basi wawe wavumilivu watakuwa wa mwisho pamoja na kuwa na mainjinia wengi sana wa ujenzi kwa miaka mingi hawakuweza kuisaidia kigoma katika biashara na kuwa na watu wengi waliosoma na kuwa mawaziri na makatibu wakuu wakiwemo mawziri wa fedha wawili akiwemo wa sasa.
 
Mkuu Vv, karibu darasa hili

P
Pasco, kutoka Tinde mpaka Mwanza ni kilometa ngapi?

Vv
 
Napenda kujua, kwa nini Mwanza wanatanguliziwa SGR kabla ya Kigoma wakati Kigoma ni lango kuu kupeleka na kupokea mizigo kutoka Burundi na Congo ukilinganisha na Mwanza ambayo ni Uganda pekee?

Mwanza haipakani au haipo mpakani na nchi yeyote ile, labda kama kuna mabadiliko ya mipaka ya mikoa ambayo hayajatufikia huku.
 
Kigoma imetengwa kwa muda mrefu, kwenye miradi yote ya maendeleo imepelekewa ikiwa ýa mwisho. Barabara ya lami imepelekewa baada ya mikoa yote kuwa imeshaunganishwa. Umeme wa gridi, itakuwa ya mwisho kuunganishiwa, na hata reli ya SGR itakuwa ya mwisho maana shurti ifike Mwanza kwanza.

Kigoma imepakana na nchi mbili- Burundi na Kongo, Mwanza imepakana na nchi moja pekee Uganda. Pili, Kigoma ina changamoto nyingi za miundombinu, ilipaswa ipewe kipau mbele kuliko Mwanza ambayo ina miundombinu yote, Uwanja wa Ndege na barabara za lami zinazoiunganisha na mikoa yote.

Napenda kujua, kwa nini Mwanza wanatanguliziwa SGR kabla ya Kigoma wakati Kigoma ni lango kuu kupeleka na kupokea mizigo kutoka Burundi na Congo ukilinganisha na Mwanza ambayo ni Uganda pekee?

Vv
Acha wivu......!

ILI MRADI TABORA INA PITA
 
Hiyo reli ujenzi wake ulianzia wapi? Dar au Kigoma?
Hapo sijui lakini ninachojua ni KIGOMA MWISHO WA RELI sasa ipi ilianza sijui na kama ilianzia huko ilikuwaje hawajawahi kubisha pamoja kuwa ni wabishi na wakaweka kigoma mwanzo wa reli?
 
Unategemea itawezaje kuchangia iwapo mazingira ya uwezeshaji hayajawekwa? Unawezaje kutegemea maziwa kutoka kwa ng'ombe usiyemlisha? Mikoa mingine imewezaje kuchangia hadi mingine ishindwe?

Watanzania tumekuwa watu wa ajabu saba, yaani tunategemea kupata matokeo pasipo kuweka misingi imara ya kuwezesha matokeo kupatikana. Ndio maana nchi yetu inaiongoza kwa imani za kishirikina Afrika Mashariki na Kusini, yaani tunategemea mazuri yatokee kimiujiza, tutajirike na kufanikiwa kimiujiza-ujiza. Ni Tanzania pekee ndipo matangazo ya waganga wa kienyeji yamesambaa mitaani na kwenye media maana tunaamini mafanikio ya kimiujiza-ujiza.

Serikali sio mfanyabiashara, serikali ni mzazi anayepaswa kuhakikisha inawawekea misingi imara watoto wake ili wafanikiwe. Kanuni za maendeleo ziko wazi duniani kote, serikali inawezekana ktk miundombinu imara na kuweka sheria na kanuni zinazochochea maendeleo.

Vv
ili uweze kuwasaidia wanao wasio na uwezo ili nao wajiweze inabidi uboreshe kwanza eneo linakuingizia kipato kwa muda huo ndipo uwasaidie wengine, kuwa mpole muda utafika tu maana pesa itakayopatikana Mwanza, Dar, Mbeya, Arusha pia itaisaidia kigoma kijikwamua kwa kuendeleza miradi mikubwa ya kimaendele😵ver.
 
Mwanza ndio nchi
Baeleze baelewe, haba baitu ni bazito sana kuelewa, hubezi kubananisha banchi ba bazawa ba bamji ba bageni. Tena bakoloni ndio angalau bamesaidia kwa bipaka ya bikoloni ikabamega baitu ba majirani na kubaleta kwaitu, actually they belong there.

Mimi papaa P.6
 
kwanza niaze na mtoa mada je unaujua mikoa itayo pita hiyo sgr ni tabora shinyanga simiyu na geita ambaki
 
Back
Top Bottom