Kwanini Rais Hatembei na Mume wake? CCM Haina washauri wa maadili?

Kwanini Rais Hatembei na Mume wake? CCM Haina washauri wa maadili?

Status
Not open for further replies.

Ponjoro wa Kinondoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
2,882
Reaction score
7,916
Miaka ya uchaguzi Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa, mzee Kikwete na Mzee Magufuli walikuwa wakitembea huku na kule na wenzi wao. Je rais Samia hana washauri juu ya hili? Kwanini anamtenga mume wake?

Je, anatoa picha gani kwa umma? Kikwete aliwahi kumlazimisha Magufuli kumtambulisha mke wake kwenye ufunguzi wa kampeni, kwanini hamlazimishi Samia kutembea na mume wake?
images (44).jpeg
 
JPM kuna maneno ya chini kwamba alikuwa ana mgogoro na wife wake, lakini baada ya kuwa rais ikabidi wife wake apelekwe jumba jeupe chap...

Kwa Mkapa pia ilikuwa hivyo...

Mkuu umeuliza swali la msingi sana..
Naam, nikweli hata JK inasemekana alikuwa na mgogoro wa ndani ila kwakuwa taifa haliongozwi na wahuni, walilazimika kuambatana na wenzi wao.
 
Naam, nikweli hata JK inasemekana alikuwa na mgogoro wa ndani ila kwakuwa taifa haliongozwi na wahuni, walilazimika kuambatana na wenzi wao.
Kwa hiyo unataka kusema kwa sasa taifa linaongozwa na nani...maana muhuni ni mwanaume, mwanamke sote tunajua anaitwaje.

Sikumbuki yule mzee lini alionekana kwa watu. Japo naamini hata ingekuwa mimi huenda nisingekuwa naenda na wife. Thamani yako inashuka maana hupewi airtime, ni mke tu.
 
Si wanasema uongozi bora huanzia nyumbani, huoni kama kuonekana na mwenza kama kiongozi inakuwa ni alama au mfano kwa taifa wa familia bora na mshikamano?
Nioneshe mke wa Putin au Modi China juzi ?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom