Kwanini Rais anatudanganya?

Kwanini Rais anatudanganya?

Kinachoniuma ni pale ambapo nilipigwa na jua kumsikiliza kipindi cha kampeni akaniambia elimu ni bure akatia msisitizo"naposema bure namaanisha bure kwelikweli"lakini leo hii ananiomba nichangie dawati,chakula,nk.
 
msinidraiv msinidraiv nafkiri mmenierewa!!!!!!!!1
 
Ongezea ya 11.
11. Fyatueni(zaeni) watoto tani yenu Serikali ya Magufuli itawasomesha bure.
Leo watotonaa vyuo vikuu waliopata mikopo hawafiki hata 25% ya waliofanyiwa udahili!

Ni bahati mbaya sana Watz mmechaguliwa Rais adiye na vision,asiye na priority,asiye na upendo,roho mbaya ns mkuda.
If you read between the lines ya matamshi yake unaona kabisa hana nia na hana mpango a kuona maisha ya watu yanakuwa bora baali anataka watu waishibkama MASHETANI ndani ya nchi yao.
Rais anayewaambia Wahanga wa Tetemeko la ardhi Kagera wajisaidie wenyewe huku akichangisha michango ni hatari sana!
CCM lazima wajifikirie mara 2 kama huyu ni Rais waliyekusudia au ilikuwa ni mihemko tu!
Imesimama sana komenti yako
 
1: asiyetaka kulipa 200 na apige mbizi kuja posta. Kilichofuata kununua boti chakavu kwa mabilioni pamoja na kukusanya hiyo 200.

2: Matajiri waliishi kama malaika nitahakikisha wanaishi kama mashetani. Kilichofuta walioficha pesa wazitoe niwape maeneo wajenge viwanda.

3: Walioficha sukari wala hawazidi kumi nitawashugulikia kweli kweli. Kilichofuata TPA mpeni sukari yake Bakhiresa wala isilale leo.

4: Mafisadi wakinishinda msiniite Rais . kilichofuata wazee wangu nitawalinda.

5: Kuna watu walisafiri sana kwenda ulaya kuliko walivyosafiri kwenda kuona wazazi wao nyumbani. Kilichofuata hata Bukoba hajafika pamoja na kuwa ni karibu na nyumbani.

6: Watu watetemeke kujenga Nyumba zao wasisubiri serikali tetemeko alijaletwa na Ccm. Kilichofuata ni kuwakamata wapinzani wanaotoa misaada na kuwahoji na kuwazuia..

7: Waliofukuzwa udom ni Vila.za waende watafute vyuo size yao. Kilichofuata msinidrive msinidrive wanaohitaji msaada ni wengi, wakati huo hata dawa na chanjo hospital hakuna .

8: Wanaolalamika walizoea vya bure nitaendelea kuwashugulikia kweli kweli . kilichofuata kutoka bank kuu na bandari hali ya uchumi ni mbaya sana .

9:Nasikia kuwa watalii wanakuja na kukomea kwenye vinchi vya ajabu ajabu. Kilichofuata KDF wakapeleka misaada kagera kabla hata ya Serikali kufika.

10: Ningelikuwa Mimi ningeliwapoteza karibu nusu yao . kilichofuata bado tunakisubiri kama anaweza au laa.

Kuweka matumaini kwa kiongozi kinyonga kama huyu inaitaji moyo wa chuma ..

Alafu ndio eti anatupeleka kwenye serikali ya viwanda sitaki hata kuamini ..

View attachment 424404
Mimi namwamini KWA 99.8 mheshimiwa rais Jpm, ila sitamwamini tena MZEE Lowasa baada ya kashfa ya Richmond maana UMEME ulinitesa sana yaani basi tu.
 
Kanywa kikombe cha babu wa liliondwa jpm sababu ni wale katika 4
1477681155012.jpg
 
1: asiyetaka kulipa 200 na apige mbizi kuja posta. Kilichofuata kununua boti chakavu kwa mabilioni pamoja na kukusanya hiyo 200.

2: Matajiri waliishi kama malaika nitahakikisha wanaishi kama mashetani. Kilichofuta walioficha pesa wazitoe niwape maeneo wajenge viwanda.

3: Walioficha sukari wala hawazidi kumi nitawashugulikia kweli kweli. Kilichofuata TPA mpeni sukari yake Bakhiresa wala isilale leo.

4: Mafisadi wakinishinda msiniite Rais . kilichofuata wazee wangu nitawalinda.

5: Kuna watu walisafiri sana kwenda ulaya kuliko walivyosafiri kwenda kuona wazazi wao nyumbani. Kilichofuata hata Bukoba hajafika pamoja na kuwa ni karibu na nyumbani.

6: Watu watetemeke kujenga Nyumba zao wasisubiri serikali tetemeko alijaletwa na Ccm. Kilichofuata ni kuwakamata wapinzani wanaotoa misaada na kuwahoji na kuwazuia..

7: Waliofukuzwa udom ni Vila.za waende watafute vyuo size yao. Kilichofuata msinidrive msinidrive wanaohitaji msaada ni wengi, wakati huo hata dawa na chanjo hospital hakuna .

8: Wanaolalamika walizoea vya bure nitaendelea kuwashugulikia kweli kweli . kilichofuata kutoka bank kuu na bandari hali ya uchumi ni mbaya sana .

9:Nasikia kuwa watalii wanakuja na kukomea kwenye vinchi vya ajabu ajabu. Kilichofuata KDF wakapeleka misaada kagera kabla hata ya Serikali kufika.

10: Ningelikuwa Mimi ningeliwapoteza karibu nusu yao . kilichofuata bado tunakisubiri kama anaweza au laa.

Kuweka matumaini kwa kiongozi kinyonga kama huyu inaitaji moyo wa chuma ..

Alafu ndio eti anatupeleka kwenye serikali ya viwanda sitaki hata kuamini ..

View attachment 424404

taahira wewe.
 
raisi aliepoteza mvuto na kuchokwa mapema kushinda maraisi wote,japo alikuwa na ahadi motomoto kushinda hata za ari mpya nguvu mpya na kasi mpya...!!!mpaka sasa sina uhakika kama alishinda kweli
hakushinda
 
Mleta mada unajitahidi sana kujenga negative image, lakini huko duniani watu wanampigia kura ili apewe tuzo ya FORBES.

Wenye kutazama mambo katika hali isiyokuwa na unafiki, wamechangia mpaka dakika hii kiongozi unayemponda wewe, awe na anapata asilimia 70 na kuendelea.

Nyinyi mlitaka kutuingiza cha kike, mkakuta kuwa nchi hii inalindwa na Mungu.

Mleta uzi unaelewa maana ya ile mikesha ya sala inayofanyika pale uwanja wa Taifa usiku wa kuamkia tarehe moja January ya kila mwaka?.

Tafuta watu wazima wenye busara na hekima watakuambia nguvu ya zile sala za usiku wa kuaga mwaka mmoja na kuukaribisha mwingine.
 
Who are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .

Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .

Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.

Pasco

Ni kweli kabisa,na tumeona ahadi ya ombaomba imeshatekelezwa,watu kuish km mashetani implemented,kubana matumizi hadi ya dawa na chanjo is ready,kuwashughulikia walanguz wa sukar tayar now sukar ni elf 1 tu mtaani,majizi akina Loogoomee yameswekwa ndani yanalialia
 
11. serikali yangu haitakuwa ya michakato... kilichofuata tangu mwezi Wa 4 hadi Leo mchakato Wa watumishi hewa haujaisha...

12.nasitisha nyongeza za mishahara, upandaji Wa vyeo na ajira mpya kwa mwezi mmoja au mmoja na nusu Haitazid miwili.. kilichofuata.. hadi Leo miezi miwili haijaisha

15Wafanyakaz wa nchi hii nazijua shida zenu,
Kilichofata shida zao zimesahaulika
 
Ongezea ya 11.
11. Fyatueni(zaeni) watoto tani yenu Serikali ya Magufuli itawasomesha bure.
Leo watotonaa vyuo vikuu waliopata mikopo hawafiki hata 25% ya waliofanyiwa udahili!

Ni bahati mbaya sana Watz mmechaguliwa Rais adiye na vision,asiye na priority,asiye na upendo,roho mbaya ns mkuda.
If you read between the lines ya matamshi yake unaona kabisa hana nia na hana mpango a kuona maisha ya watu yanakuwa bora baali anataka watu waishibkama MASHETANI ndani ya nchi yao.
Rais anayewaambia Wahanga wa Tetemeko la ardhi Kagera wajisaidie wenyewe huku akichangisha michango ni hatari sana!
CCM lazima wajifikirie mara 2 kama huyu ni Rais waliyekusudia au ilikuwa ni mihemko tu!

Watu wameambiwa wafyatue watoto then dawa hospital hata za kununua hazipo
 
Tena msaada wenyewe ni kujengewa MSIKITI na UWANJA wa Mpira dola milioni 80-100! Swali ni, Jr huo mskti wataingia Waislamu wangapi kama Watz na huko Uwanja wa mpira sztaingia Watz wangapi kama mashabikiout of approx.50m Tanzanians!
Afadhali ange liomba Viwanda vya Sukari,Gasi adilia,Hospitali au Chuo Kikuu. Hapa ndipo naweza kujua kama Rais ana vipa umbele au hana!
Poleni sana Wabongo, endeleeni kuisoma namba mpaka.......:-!!!

Kwanza kama ulishasema hutak misaada unaomba vya nini???komaa kivyako tu,huku unasema hutak misaada kule unasema naomba
 
Who are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .

Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .

Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.

Pasco
Usemaji wa ikulu huooo kaka yangu!!! Atakukumbuka tu kaka!!!
 
Back
Top Bottom