Kwanini Rais anatudanganya?

Kwanini Rais anatudanganya?

M
Who are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .

Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .

Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.

Pasco
Mmmh!ngoja tusubiri kama atatimiza ahadi zake kweli kama inavyosemwa.
 
M
Mmmh!ngoja tusubiri kama atatimiza ahadi zake kweli kama inavyosemwa.
Kama wote tutasubiri tuu ili tuone kama atatimiza, tutasubiri sana, hivyo hoja sio kusubiri tuu bali kushiriki katika utekelezaji. It can only be done if everybody will play his part!.

Paskali
 
Who are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .

Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .

Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.

Pasco
Pasco na wewe unataka ukurugenzi wa habari pale kwa mkulu? Kazi ndogo tu kamfungie Jesca kamba za viatu kama yule chizi wa Dar kwa Liziwani
 
kumekucha,mpira haujaanza,marefa wamegoma kuingia uwanjani
 
Mtaendesha propaganda mtandaoni ila mwisho wa siku mtafanya kazi tu hamna namna nyingine rais ni jpm kwisha kazi wapiga dili hamna namna safari hii
 
Who are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .

Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .

Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.

Pasco
Hivi amekusahaw Kwenye ukuu wa kata?
 
Who are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .

Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .

Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.

Pasco
Pasco
Ulidhani wanawainchi hawaweki kumbukumbu vichwani kwa anayoimba jamaa yako
 
Back
Top Bottom