Deep in their hearts lies the truth. Only hypocrites would say all is well. In one word, what is a person who does not live his words called?kwani ametukana au🙄
Deep in their hearts lies the truth. Only hypocrites would say all is well. In one word, what is a person who does not live his words called?kwani ametukana au🙄
Deep in their hearts lies the truth. Only hypocrites would say all is well. In one word, what is a person who does not live his words called?

1: asiyetaka kulipa 200 na apige mbizi kuja posta. Kilichofuata kununua boti chakavu kwa mabilioni pamoja na kukusanya hiyo 200.
2: Matajiri waliishi kama malaika nitahakikisha wanaishi kama mashetani. Kilichofuta walioficha pesa wazitoe niwape maeneo wajenge viwanda.
3: Walioficha sukari wala hawazidi kumi nitawashugulikia kweli kweli. Kilichofuata TPA mpeni sukari yake Bakhiresa wala isilale leo.
4: Mafisadi wakinishinda msiniite Rais . kilichofuata wazee wangu nitawalinda.
5: Kuna watu walisafiri sana kwenda ulaya kuliko walivyosafiri kwenda kuona wazazi wao nyumbani. Kilichofuata hata Bukoba hajafika pamoja na kuwa ni karibu na nyumbani.
6: Watu watetemeke kujenga Nyumba zao wasisubiri serikali tetemeko alijaletwa na Ccm. Kilichofuata ni kuwakamata wapinzani wanaotoa misaada na kuwahoji na kuwazuia..
7: Waliofukuzwa udom ni Vila.za waende watafute vyuo size yao. Kilichofuata msinidrive msinidrive wanaohitaji msaada ni wengi, wakati huo hata dawa na chanjo hospital hakuna .
8: Wanaolalamika walizoea vya bure nitaendelea kuwashugulikia kweli kweli . kilichofuata kutoka bank kuu na bandari hali ya uchumi ni mbaya sana .
9:Nasikia kuwa watalii wanakuja na kukomea kwenye vinchi vya ajabu ajabu. Kilichofuata KDF wakapeleka misaada kagera kabla hata ya Serikali kufika.
10: Ningelikuwa Mimi ningeliwapoteza karibu nusu yao . kilichofuata bado tunakisubiri kama anaweza au laa.
Kuweka matumaini kwa kiongozi kinyonga kama huyu inaitaji moyo wa chuma ..
Alafu ndio eti anatupeleka kwenye serikali ya viwanda sitaki hata kuamini ..
View attachment 424404
Namba sweven umikosea, "mwenyekiti nchi inakwenda kama gari bovu" musinidiraivu1: asiyetaka kulipa 200 na apige mbizi kuja posta. Kilichofuata kununua boti chakavu kwa mabilioni pamoja na kukusanya hiyo 200.
2: Matajiri waliishi kama malaika nitahakikisha wanaishi kama mashetani. Kilichofuta walioficha pesa wazitoe niwape maeneo wajenge viwanda.
3: Walioficha sukari wala hawazidi kumi nitawashugulikia kweli kweli. Kilichofuata TPA mpeni sukari yake Bakhiresa wala isilale leo.
4: Mafisadi wakinishinda msiniite Rais . kilichofuata wazee wangu nitawalinda.
5: Kuna watu walisafiri sana kwenda ulaya kuliko walivyosafiri kwenda kuona wazazi wao nyumbani. Kilichofuata hata Bukoba hajafika pamoja na kuwa ni karibu na nyumbani.
6: Watu watetemeke kujenga Nyumba zao wasisubiri serikali tetemeko alijaletwa na Ccm. Kilichofuata ni kuwakamata wapinzani wanaotoa misaada na kuwahoji na kuwazuia..
7: Waliofukuzwa udom ni Vila.za waende watafute vyuo size yao. Kilichofuata msinidrive msinidrive wanaohitaji msaada ni wengi, wakati huo hata dawa na chanjo hospital hakuna .
8: Wanaolalamika walizoea vya bure nitaendelea kuwashugulikia kweli kweli . kilichofuata kutoka bank kuu na bandari hali ya uchumi ni mbaya sana .
9:Nasikia kuwa watalii wanakuja na kukomea kwenye vinchi vya ajabu ajabu. Kilichofuata KDF wakapeleka misaada kagera kabla hata ya Serikali kufika.
10: Ningelikuwa Mimi ningeliwapoteza karibu nusu yao . kilichofuata bado tunakisubiri kama anaweza au laa.
Kuweka matumaini kwa kiongozi kinyonga kama huyu inaitaji moyo wa chuma ..
Alafu ndio eti anatupeleka kwenye serikali ya viwanda sitaki hata kuamini ..
View attachment 424404
hahahaha Lakini ujumbe umafika.
swissme[/QUOTE mambo mrembo
The Boss is always right.
Pasco
si kile kipind anazindua barabara kule maeneo ndo kazindua na kikombe ili watu waendelee? kwani yeye alkua anaumwa?Kanywa kikombe cha babu wa liliondwa jpm sababu ni wale katika 4
Marais wengi ni waongo hata Rais wa TFFWho are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .
Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .
Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.
Pasco
Who are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .
Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .
Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.
Pasco
Rais wa nchi ni kama baba wa familia, anahitaji kuheshimiwa.Mkuu Pasco Mtu anayekupa taarifa ya ambayo haiko sahihi utamuitaje?
Ukaguzi maalumu uliofanywa na ofisi ya CAG katika kipindi cha mwaka wa fedha 2010/11 na 2011/12 umebaini kuwa taarifa iliyotolewa na Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli, bungeni Novemba 2013 kuwa fedha hizo zilitumika kwa miradi ya ujenzi wa barabara, haikuwa sahihi.
Ufisadi wa kutisha waibuliwa
Rais wa nchi ni kama baba wa familia, anahitaji kuheshimiwa.
Hata akikosea anakosolewa kwa heshima fulani.
Hata akidanganya haitwi muongo.
Hata akichelewa kwenye shughuli haambiwi kachelewa maana mkubwa hachelewi bali anakuwa hajafika.
Simaanishi Magufuli ni malaika au hawezi kufanya makosa, Magufuli naye ni binaadamu tuu kama binaadamu wengine na siku zote binaadamu ni viumbe dhaifu, hivyo Magufuli naye ana madhaifu yake ikiwemo kupenda misifa, kuropoka na kufanya maamuzi ya papara na kukurupuka ila kwa vile ndie kiongozi Mkuu wetu kuna mambo ambayo hatupaswi kuyasema ikiwemo kumuita rais ni muongo hata kama ni kweli ni muongo.
Hata majumbani mwetu baba ambaye ni kichwa cha nyumba, ana madhaifu mengi ambayo mama huyajua lakini hayasemi hadharani.
Kuna namna ya ukosoaji wa heshima wenye lengo la kujenga, a constructive criticism ambao hufanywa in good faith na kuna ukoasoaji wa udhalilishaji ambao hufanywa in bad faith, ridiculously kumdhalilisha, kumjengea chuki, achukiwe, kumshushia heshima etc ambayo japo is the truth but the motive behind is ill motive.
Simaanishi sasa ndio wote kazi yetu iwe ni kumuimbia nyimbo za sifa na mapambio, no tumkosoe kwa heshima na kwa nia njema kabisa kwa lengo la kumrekebisha na kumsaidia na sio kumdhalilisha.
Tanzania ni yetu sote, sio Tanzania ya Magufuli pekee, we all have a role to play and a responsibility of duty of care kujenga na sio kubomoa.
Katika kujenga nchi the motive iwe ni kujenga kila kitu ikiwemo kujenga watu akiwemo rais anahitaji kuendelea kujengwa na sio kubomolewa tuu.
Japo nafahamu katika kujenga, kuna sehemu itakubidi ubomoe ndipo ujenge, ubomoaji huo hufanyika kwa makini sana ili usibomoe kusiko husika na kila ubomoaji huo ukifanyika hufuatiwa na ujenzi papo kwa papo! .
Nitapenda kuiona jf ya hivyo, wale waashi mahiri wa jf ambao kazi yao ni kubomoa tuu, wapewe jukumu la kujenga pia sio kila siku wao ni kubomoa tuu, mwisho watapewa sifa ya kuitwa wabomoaji tuu ili hali tuna wajenzi imara na mahiri humu tena waliopitia kozi za uanagenzi kwa wale mahiri kabisa.
Mungu Ibariki Tanzania.
Pasco.
Hizo lugha kwanza sio matusi, vilaza au mashetani ni maneno tuu, kama kuna kiongozi aliwatukana Watanzania ni Mkapa siku ile Jangwani alipoita watu Wapumbavu.Jiulize kwanini Mwalimu aliheshiwa na anaendelea kuheshimiwa na Watanzania sana hata baada ya miaka 17 baada ya kufariki? Jibu ni kwamba Mwalimu pamoja na kukaa madarakani miaka 23 hata kwa sekunde moja hakuthubutu kuwatusi Watanzania au kuwadharau kwa namna yoyote ile kama kuwaita vil.aza, mashetani etc. Huyu mwingine in less than year kisharusha matusi dhidi ya Watanzania ambao hawajamkosea chochote na hawala hawakustahili kutukanwa.
Hizo lugha kwanza sio matusi, ****** au mashetani ni maneno tuu, kama kuna kiongozi aliwatukana Watanzania ni Mkapa siku ile Jangwani alipoita watu Wapumbavu.
Huyu Msukuma, hivyo vineno ni vineno vya kawaida kwa Ngw'ana Ngosha.
Sema Nyerere alikuwa na lugha tamu na laini wakati Magufuli ana lugha ngumu iliyokaza. Nyerere aliwahi kuita watu "Mazuzu ", aliwahi kuita watu Wajinga, aliwahi kuita watu Wapumbavu na aliwahi kusema viongozi wetu wanafanya "madudu" ila aliyasema yote hayo kwa lugha fulani ambayo haitii hasira.
Nyerere ni Nyerere na Magufuli ni Magufuli, kila mtu hivyo alivyo ni ndivyo alivyo, tusimlazimishe Magufuli awe Nyerere au ajifanye Nyerere, the best thing to do is to appreciate the situation kuwa huyu yuko hivi, the sooner we accept the better, ibaki kazi ya kumrekebisha kiungwana, kistaarabu kwa lugha ya staha, na amini nakuambia, atajirekebisha kidogo kidogo, mfano mzuri ni zile papara za utumbuaji wa mwanzo mwanzoni unaziona tena? .
Akabadilika tuu, hata kama yeye hataki kubadilika, then muda utambadilisha tuu, human beings are not static, they are dynamic and hence they change with time, if he won't change with time, then time will change him. Tumpe muda.
Pasco
Thanks a million.Rais wa nchi ni kama baba wa familia, anahitaji kuheshimiwa.
Hata akikosea anakosolewa kwa heshima fulani.
Hata akidanganya haitwi muongo.
Hata akichelewa kwenye shughuli haambiwi kachelewa maana mkubwa hachelewi bali anakuwa hajafika.
Simaanishi Magufuli ni malaika au hawezi kufanya makosa, Magufuli naye ni binaadamu tuu kama binaadamu wengine na siku zote binaadamu ni viumbe dhaifu, hivyo Magufuli naye ana madhaifu yake ikiwemo kupenda misifa, kuropoka na kufanya maamuzi ya papara na kukurupuka ila kwa vile ndie kiongozi Mkuu wetu kuna mambo ambayo hatupaswi kuyasema ikiwemo kumuita rais ni muongo hata kama ni kweli ni muongo.
Hata majumbani mwetu baba ambaye ni kichwa cha nyumba, ana madhaifu mengi ambayo mama huyajua lakini hayasemi hadharani.
Kuna namna ya ukosoaji wa heshima wenye lengo la kujenga, a constructive criticism ambao hufanywa in good faith na kuna ukoasoaji wa udhalilishaji ambao hufanywa in bad faith, ridiculously kumdhalilisha, kumjengea chuki, achukiwe, kumshushia heshima etc ambayo japo is the truth but the motive behind is ill motive.
Simaanishi sasa ndio wote kazi yetu iwe ni kumuimbia nyimbo za sifa na mapambio, no tumkosoe kwa heshima na kwa nia njema kabisa kwa lengo la kumrekebisha na kumsaidia na sio kumdhalilisha.
Tanzania ni yetu sote, sio Tanzania ya Magufuli pekee, we all have a role to play and a responsibility of duty of care kujenga na sio kubomoa.
Katika kujenga nchi the motive iwe ni kujenga kila kitu ikiwemo kujenga watu akiwemo rais anahitaji kuendelea kujengwa na sio kubomolewa tuu.
Japo nafahamu katika kujenga, kuna sehemu itakubidi ubomoe ndipo ujenge, ubomoaji huo hufanyika kwa makini sana ili usibomoe kusiko husika na kila ubomoaji huo ukifanyika hufuatiwa na ujenzi papo kwa papo! .
Nitapenda kuiona jf ya hivyo, wale waashi mahiri wa jf ambao kazi yao ni kubomoa tuu, wapewe jukumu la kujenga pia sio kila siku wao ni kubomoa tuu, mwisho watapewa sifa ya kuitwa wabomoaji tuu ili hali tuna wajenzi imara na mahiri humu tena waliopitia kozi za uanagenzi kwa wale mahiri kabisa.
Mungu Ibariki Tanzania.
Pasco.
Wacha uongo msukule katolikiWho are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .
Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .
Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.
Pasco
Haaaaah maana yake?Wacha uongo msukule katoliki
wala haiifuti kuwa hakusema uwongo ndio rais ni mwongo na pili hana busara na hekima fullstopWho are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .
Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .
Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.
Pasco