Kwanini Rais anatudanganya?

Kwanini Rais anatudanganya?

Nakufahamu sana kaka yangu!!!

"Ulizaliwa wakati wa njaa"!!! Thats what he said to you, when he was answering your question!!!
Mkuu Yoga, ni kweli tena sio tuu nilizaliwa wakati wa njaa, bali maisha yangu yote ni ya ki njaa njaa, naishi kwa kuchakura chakura ndipo nile.

Kuna watu wanaoamini kwa vile kuku wa kienyeji anakula kwa jasho lake baada ya kuchakura, then wanamuhurumia sana anavyoteseka, hivyo wanadhani kuku huyo anatamani sana kufugwa bandani, kula bure na kusubiria kuchinjwa kufanywa kitoweo! .

Mwanzo nilikuwa kuku wa kizungu nikifungwa kwenye banda la RTD, DTV na TVT nikila bure chakula cha kuletewa, kulishwa na sometimes hadi kutafuniwa, kazi yangu ni kumeza tuu, lakini baada ya kutimuliwa kazi TBC mwaka 2002 hadi leo, nimekuwa ni kuku wa kienyeji, naishi kwa kuchakura na mara kibao hugeuka Kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda!, hivyo jinsi ninavyochakura hapa eneo la Feri, nyie mnaoniona nikichakura, mnanihurumia kwa jinsi ninavyoteseka na utumbo wa samaki, hivyo kwa fikra zenu, mnadhani natamani kurudi kufugwa ndani ya ule uzio opposite na Feri! .

No way!. Yaani mtu ulikuwa mtumwa ukila bure, kisha ukapata uhuru lakini bado ukatamani kurejea utumwani kisa utakula bure! .

No way! .

Paskali
 
Pasco ni mnafiki namba wahead! Ameandika asichokiamini, mpuuze tu, hana jipya!
Mkuu MTK, human beings are not static, they are dynamic and hence they change with time.

Unakijuaje ninacho kiamini moyoni mwangu hadi kudhania nimeandika nisicho kiamini? .

Paskali
 
Mkuu MTK, human beings are not static, they are dynamic and hence they change with time.

Unakijuaje ninacho kiamini moyoni mwangu hadi kudhania nimeandika nisicho kiamini? .

Paskali


Pasco ni kweli times change as well as human positions on a variety of issues, BUT changing to the extent ya kumkaripia mleta mada bordering on Vitisho, blanket style, pasi na counter argument kwa hoja zake moja baada ya nyingine hiyo sio "dynamism" bali total "metarmophosis" to say the least; yaani ni kama kiwavi kinavyobadilika kuwa kipepeo! Pasco Kweli hii mode ya shifting sands kama za Serengeti wewe hujaiona au unafunika kikombe mwanaharamu apite?! Pasco, call a spade a spade not a BIG spoon!
 
macho mawili ili uone mengi masikio mawili ili usikie mengi mdoma mmoja ili useme machache tatizo pale umapotaka mdomo useme sana kuliko macho yanavyoona na vile masikio yalivyosikia hapo ndipo kwenye shida tafakari
 
Pumzi imekata naona, hamna hoja mpya??? Mbona mnarudia rudia zile zile?? Naona mmebanwa penyewe!!
Zinapenya vby sana,na nyie mbona mnarudia rudia khs lowasa?HV c mmeshaanza kesi kule?au bado upelelezi haujakamilika?Muongooooo.hii kitu haijawahi mama yangu.mna kazi asee,na anawabebeshaa???
 
11. serikali yangu haitakuwa ya michakato... kilichofuata tangu mwezi Wa 4 hadi Leo mchakato Wa watumishi hewa haujaisha...

12.nasitisha nyongeza za mishahara, upandaji Wa vyeo na ajira mpya kwa mwezi mmoja au mmoja na nusu Haitazid miwili.. kilichofuata.. hadi Leo miezi miwili haijaisha
14.wanafunzi wote wa elimu ya juu watapata mikopo wakati... kilichofata ni wahitaji wengine kusomeshwa na wana instag..ram na wengine wamerudi kwao
 
Who are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .

Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .

Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.

Pasco
We vipi na mimi namuunga mkono. Ndyo nimuongo. Nipo tiyari kutoa ushahidi wa uongo wake.
 
We vipi na mimi namuunga mkono. Ndyo nimuongo. Nipo tiyari kutoa ushahidi wa uongo wake.
Mkuu
Heradius, rais ni mkuu wa nchi, ni kama baba nyumbani, anahitaji kuheshimiwa no matter what. Hivi baba yako au mama yako unaweza kumuita muongo?. Hata akisema uongo, huwezi kusema baba ni muongo bali unasema baba hayuko sahihi sana. Vivo historia kwa mkuu wa nchi, huwezi kumuita muongo, bali anakuwa hajashauriwa vizuri, au kapotoshwa na wasaidizi wake, Kwa sababu in principle, Ikulu ni mahali patakatifu, mpangaji wa pale ni mtakatifu, mtu akiishakuwa mtakatifu huwezi kumvunjia heshima kumuita muongo.

Paskali
 
Who are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .

Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .

Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.

Pasco
Ni kosa vilevile kutomwita mtu mwongo mwongo!
 
Who are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .

Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .

Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.

Pasco
Nwasiwasi na Elimu yako ya Sheria uliyoipata either hauitumii kwa muda mrefu means umeipotezea so umeisahau kabisa au imekutoka Kichwani... Neno Muongo tafsiri yake ni rahisi sana na wala haihitaji kamusi... ni mtu anayekuambia habari Isiyo ya kweli... So Mtoa Mada anatakiwa achambuliwe kwa hilo neno Uongo... Sasa Kama Raisi kasema jambo fulani na ukitizama kwa jicho la pili unakuta ni tofauti na aliyoyasema hapo aitwe nani basi kwa jina la Kisheria au watu waseme Inshallah tu?

Tuliambiwa kuna watu walikuwa wanalipwa mshahara wa Million 25 hadi 30 sijui 40 na Msajali kaweka wazi kuwa Kipindi cha Awamu zilizopita hakujawahi kuwa na mtu aliyewahi lipwa kiwango hicho cha Pesa... Mkulu alitamka kwa msisitzo akisikitika sura kaikunja kuonesha masikitiko nasi tuliamini asilimia 100% kumbe sivyo.... ! Nakumbuka Jk alimuita Lisu Mzandiki na kuna watu wana viwanda vya Uongo... So Acha uoga mtu mzima wewe Raisi hawezi kukufikiria kwa kutetea kitu ambacho amekisema kwa Moyo wake umtetee akuone unamfaa.
 
Who are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .

Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .

Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.

Pasco

Pasco ni ukweli? Kuna mahali kadanganya? Let us define these terms to be on the safe side and to have a common base for our argiment!
 
Kuna watu Serikalini wanalipwa mshahara wa milioni 40....Uongo mwingine wa Magufuli, halafu hapo hapo yeye mshahara wake hadi hii leo anaufanya siri pamoja na kuahidi kuweka salary slip yake hadharani miezi 9 iliyopita.
 
ameUOTE="Pascal Mayalla, post: 18218767, member: 17813"]Who are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .

Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .

Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.

Pasco[/QUOTE]
ame maanisha raisi wa manzese au raisi wa wasafi
 
Huyu Jonus Pilipili Mbaya maji yamesha mfika kooni
 
Back
Top Bottom