Kwanini Rais anatudanganya?

Kwanini Rais anatudanganya?

Who are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .

Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .

Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.

Pasco
Pasco umechelewa kucheza karata zako mapema, turufu ulizibania, wenzako wakakupiku, lakini usife moyo, kwani " there is always one more chance! so keep it up"
The Boss is always right.
Pasco
The Boss is always right,may be a popular corporate mantra. Lakini"Boss ndio mtu anaezunguzwa,kajadiliwa na kukosolewa kuliko mtu mwengine yeyote kwenye taasisi.Kwa hivyo kwa lugha nyengine "Boss is not always right"
 
Thanks kwa kulielewa hili, watu msituone hivi mkadhania tumesomea elimu zetu kwenye madarasa ya chini tuu, tumesomea hadi madarasa ya juu ghorofani hivyo elimu ya Juu pia tunayo.
Pasco
tafadhali nina shida na wewe muhimu.nahisi kama utanisaidia.
 
Who are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .

Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .

Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.

Pasco
Kwani huyo rais yeye ni mungu mpaka asiambiwe anapokosea??? Mbona leo unaandika ujinga ujinga??
 
Huyu si wa kumuamini!...watu washamsoma hataa ccm wenzake washamjua.si wa kumtegemea
 
1: asiyetaka kulipa 200 na apige mbizi kuja posta. Kilichofuata kununua boti chakavu kwa mabilioni pamoja na kukusanya hiyo 200.

2: Matajiri waliishi kama malaika nitahakikisha wanaishi kama mashetani. Kilichofuta walioficha pesa wazitoe niwape maeneo wajenge viwanda.

3: Walioficha sukari wala hawazidi kumi nitawashugulikia kweli kweli. Kilichofuata TPA mpeni sukari yake Bakhiresa wala isilale leo.

4: Mafisadi wakinishinda msiniite Rais . kilichofuata wazee wangu nitawalinda.

5: Kuna watu walisafiri sana kwenda ulaya kuliko walivyosafiri kwenda kuona wazazi wao nyumbani. Kilichofuata hata Bukoba hajafika pamoja na kuwa ni karibu na nyumbani.

6: Watu watetemeke kujenga Nyumba zao wasisubiri serikali tetemeko alijaletwa na Ccm. Kilichofuata ni kuwakamata wapinzani wanaotoa misaada na kuwahoji na kuwazuia..

7: Waliofukuzwa udom ni Vila.za waende watafute vyuo size yao. Kilichofuata msinidrive msinidrive wanaohitaji msaada ni wengi, wakati huo hata dawa na chanjo hospital hakuna .

8: Wanaolalamika walizoea vya bure nitaendelea kuwashugulikia kweli kweli . kilichofuata kutoka bank kuu na bandari hali ya uchumi ni mbaya sana .

9:Nasikia kuwa watalii wanakuja na kukomea kwenye vinchi vya ajabu ajabu. Kilichofuata KDF wakapeleka misaada kagera kabla hata ya Serikali kufika.

10: Ningelikuwa Mimi ningeliwapoteza karibu nusu yao . kilichofuata bado tunakisubiri kama anaweza au laa.

Kuweka matumaini kwa kiongozi kinyonga kama huyu inaitaji moyo wa chuma ..

Alafu ndio eti anatupeleka kwenye serikali ya viwanda sitaki hata kuamini ..

View attachment 424404
Utakufa na kihoro nakushauri Fanya Kazi zingine
 
Siku zote nasema Mzee hafahamu bado udelicate, ukubwa, ukuu, na utakatifu wa kaxu aliyonayo! Leo anasema hili, kesho anasema lingine. Hajui yeye ni authority hata katika academics? Assumption ni.kwamba anachozungumza rais kimefanyiwa utafiti kabla ya kukitoa. Na ndio maana tumempa priviledge kubwa sana ya kiishi kifalme. Ni ili atufanyie mambo kwa viwango! Sasa huyu anaongea tu kama sisi wa huku vijiweni! Inaonekana hata wale wanaomzunguka na kumshauri wamedhindwa kumaintain utakatifu na ukuu wa presidency! Rais skikosea, mfano kuonesha ubaguxi lazima wawepo watu wa kumkemea vikali!
 
Hii itakuwa ni kali ya mwaka! ,Pasco wa JF naye ajiunga rasmi na kundi la buku 7! .
Pasco
Sijasema umejiunga..nimesema "itakua"!! Kwa hii comment yako ya leo ni dalili kwamba wenda..au unajiunga au ushajiunga na lile kundi la buku saba!!!
 
Sijasema umejiunga..nimesema "itakua"!! Kwa hii comment yako ya leo ni dalili kwamba wenda..au unajiunga au ushajiunga na lile kundi la buku saba!!!
Mkuu Upepo wa Senti, Pasco wa JF sio mwanachama wa chama chochote cha siasa na hatumikii chama chochote, wala kumtumikia mwanasiasa yoyote, bali ni mtumishi wa watu.

Pasco
 
Mkuu Upepo wa Senti, Pasco wa JF sio mwanachama wa chama chochote cha siasa na hatumikii chama chochote, wala kumtumikia mwanasiasa yoyote, bali ni mtumishi wa watu.

Pasco
These are just mere words! show us what you are saying is true!!
 
Back
Top Bottom