maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,806
- 2,349
that erra has alredy gone pasco this new generationThe Boss is always right.
Pasco
that erra has alredy gone pasco this new generationThe Boss is always right.
Pasco
Pasco umechelewa kucheza karata zako mapema, turufu ulizibania, wenzako wakakupiku, lakini usife moyo, kwani " there is always one more chance! so keep it up"Who are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .
Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .
Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.
Pasco
The Boss is always right,may be a popular corporate mantra. Lakini"Boss ndio mtu anaezunguzwa,kajadiliwa na kukosolewa kuliko mtu mwengine yeyote kwenye taasisi.Kwa hivyo kwa lugha nyengine "Boss is not always right"The Boss is always right.
Pasco
tafadhali nina shida na wewe muhimu.nahisi kama utanisaidia.Thanks kwa kulielewa hili, watu msituone hivi mkadhania tumesomea elimu zetu kwenye madarasa ya chini tuu, tumesomea hadi madarasa ya juu ghorofani hivyo elimu ya Juu pia tunayo.
Pasco
Karibu PM mrembo Kisukari.tafadhali nina shida na wewe muhimu.nahisi kama utanisaidia.
Kwani huyo rais yeye ni mungu mpaka asiambiwe anapokosea??? Mbona leo unaandika ujinga ujinga??Who are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .
Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .
Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.
Pasco
Kwani yeye ni mungu??Msimjaribu Presidaa.
Acha utoto we kijana sawa? Kwani alichosema si kweli? Au kuna kitu kamsingizia??Si vema kusema Rais muongo.
Kwani yeye ni mungu??
Pasco nna mashaka umeanza kupokea 7000 kutoka cccm!Hahahaha alisema katika serikali yake hakuna mwanafunzi atakaye kosa mkopo. Ja hapa hakuna time frame?
Hii itakuwa ni kali ya mwaka! ,Pasco wa JF naye ajiunga rasmi na kundi la buku 7! .Pasco nna mashaka umeanza kupokea 7000 kutoka cccm!
Utakufa na kihoro nakushauri Fanya Kazi zingine1: asiyetaka kulipa 200 na apige mbizi kuja posta. Kilichofuata kununua boti chakavu kwa mabilioni pamoja na kukusanya hiyo 200.
2: Matajiri waliishi kama malaika nitahakikisha wanaishi kama mashetani. Kilichofuta walioficha pesa wazitoe niwape maeneo wajenge viwanda.
3: Walioficha sukari wala hawazidi kumi nitawashugulikia kweli kweli. Kilichofuata TPA mpeni sukari yake Bakhiresa wala isilale leo.
4: Mafisadi wakinishinda msiniite Rais . kilichofuata wazee wangu nitawalinda.
5: Kuna watu walisafiri sana kwenda ulaya kuliko walivyosafiri kwenda kuona wazazi wao nyumbani. Kilichofuata hata Bukoba hajafika pamoja na kuwa ni karibu na nyumbani.
6: Watu watetemeke kujenga Nyumba zao wasisubiri serikali tetemeko alijaletwa na Ccm. Kilichofuata ni kuwakamata wapinzani wanaotoa misaada na kuwahoji na kuwazuia..
7: Waliofukuzwa udom ni Vila.za waende watafute vyuo size yao. Kilichofuata msinidrive msinidrive wanaohitaji msaada ni wengi, wakati huo hata dawa na chanjo hospital hakuna .
8: Wanaolalamika walizoea vya bure nitaendelea kuwashugulikia kweli kweli . kilichofuata kutoka bank kuu na bandari hali ya uchumi ni mbaya sana .
9:Nasikia kuwa watalii wanakuja na kukomea kwenye vinchi vya ajabu ajabu. Kilichofuata KDF wakapeleka misaada kagera kabla hata ya Serikali kufika.
10: Ningelikuwa Mimi ningeliwapoteza karibu nusu yao . kilichofuata bado tunakisubiri kama anaweza au laa.
Kuweka matumaini kwa kiongozi kinyonga kama huyu inaitaji moyo wa chuma ..
Alafu ndio eti anatupeleka kwenye serikali ya viwanda sitaki hata kuamini ..
View attachment 424404
Nani huyo?Soon tutakuwa nae hapa kisu-tuuuu
Sijasema umejiunga..nimesema "itakua"!! Kwa hii comment yako ya leo ni dalili kwamba wenda..au unajiunga au ushajiunga na lile kundi la buku saba!!!Hii itakuwa ni kali ya mwaka! ,Pasco wa JF naye ajiunga rasmi na kundi la buku 7! .
Pasco
Kwani kuna kitu mleta mada kasema uongo??Utakufa na kihoro nakushauri Fanya Kazi zingine
Mkuu Upepo wa Senti, Pasco wa JF sio mwanachama wa chama chochote cha siasa na hatumikii chama chochote, wala kumtumikia mwanasiasa yoyote, bali ni mtumishi wa watu.Sijasema umejiunga..nimesema "itakua"!! Kwa hii comment yako ya leo ni dalili kwamba wenda..au unajiunga au ushajiunga na lile kundi la buku saba!!!
These are just mere words! show us what you are saying is true!!Mkuu Upepo wa Senti, Pasco wa JF sio mwanachama wa chama chochote cha siasa na hatumikii chama chochote, wala kumtumikia mwanasiasa yoyote, bali ni mtumishi wa watu.
Pasco